Nataka kuachana na Mwanamke niliyemtolea mahari

Nataka kuachana na Mwanamke niliyemtolea mahari

Mimi ni kijana umri Miaka 28. Naishi Dar es salaam.

Baada ya kupata shauku kuoa niliamua kusafiri na kurudi kijijini kwetu ambako wazazi wanaishi.

Nilifanya uchunguzi kwa binti kadhaa waliokuwepo kijijini. Kutokana na Mimi kutokuwepo kijijini kwa Muda mrefu ilikuwa ngumu kujua yupi ni mtu sahihi kwangu hivyo basi nikapata msaada kutoka kwa ndugu wengine.

Baada ya wiki kadhaa binti mdogo wa Miaka 20 akapatikana. Akamwagiwa sifa nyingi tu. Basi utararibu wa kutoa mahari ukaanza.

Mama yake akakubali binti pia akakubali kuolewa na Mimi lakini baba yake akakubali ila akasema mahari hapokei yeye alipoulizwa sababu ni nini hakuitaja.

Ikumbukwe Mila na desturi za mkoa wa mara baba wa binti kama yuko hai ndo anapokea mahari. Baada ya huyo mshua kukata ikabidi Wazee wenzake waitwe ili waongee nae Kikao kikakaa kwa masaa zaidi ya matano bado mzee anashikilia msimamo wake.

Alivyobanwa Sana akakubali ila akatoa sharti kwamba siku ya kupokea mahari ataipanga yeye. Basi Kikao kikaisha.

Ikapita siku na hatimae wiki mzee yuko kimya. Wazee wakamrudia tena vipi mbona kimya yule mshua akawaambia wasimpelekeshe. Kwa kifupi mzee alikwepa kwa kisingizio cha yeye kupanga Siku ya kupokea Mahari.

Basi mama mtu akasema kama hataki yeye yuko tayari kupokea mahari. Ikapangwa idadi ya mahari na siku ya kutoa kisha shughuli ikafanyika. Huyo baba mkwe ameoa wanawake wawili.

Mama wa binti niliemuoa anaishi kivyake ni kama wametengana japo sio rasmi kwa talaka maana mzee haendi kwa huyo mama wala hatoi matumizi yoyote.

Siku ya kutoa mahari watu walijaribu kupeleka ng'ombe anakoishi mzee lakini alitoka nje na kuwafukaza waondoke wazipeleke kwa huyo mke Wake mdogo ambae ndio mama wa huyo binti wakapeleka na shughuli ikaisha.

Kumbuka huyo binti nilikuwa simjui kabisa tumekutanishwa na kuoana. Miezi mitatu baada ya Kuoana japo sio kwa Ndoa ya Kanisani.

Nimegundua binti ana kiburi ni mbishi hataki umuelekeze ukifanya hivyo ananuna hata unyumba inakuwa tabu tunamaliza mpaka mwezi hatujasex.

Mambo madogo ya ndani kwetu anamsimlia mama ake na ndugu zake. Kwa kifupi nimemchoka ghafla hasa nikikumbuka jinsi mchakato ulivyokuwa especial baba ake alivyokataa kupokea mahari napata hofu hata tukifunga Ndoa inaweza kukosa baraka.

Hii tabia ya mzee wake kukataa kupokea mahari haijaanzia kwangu tu. Dada ake na mke wangu pia ilikuwa hivyo baba alikataa kupokea mama akapokea ila baada ya kama Miaka miwili hivi yule jamaa alifarika na kuacha mjane na mtoto mmoja.

Pia Kuna mabinti wengine wawili mzee alileta ugumu kupokea mahari mpaka leo wanaishi na wanaume wao lakini mahali hawajatoa.

Sasa ndugu zangu nisaidieni mawazo nifanye nini. Je lengo langu la Kumuacha liko sahihi. Sababu ya kumuacha haiwezi kukosa bahati nzuri hutujazaa bado na wala hana Mimba.
Ila wakurya kwa asili ni watu wenye viburi na jeuri lakini pia ni watu wenye visasi na chuki zisizo na msingi hapo ukiangalia baba na mtoto wote ni walewale

Ushauli wangu Kama uko kanda ya ziwa nenda usukumani utapata mke bora lakini sio ukuriani, uhayani, ujitani hayo makabila yana watu washenzi sana
 
Huku Dar hukuwa na wanawake?au ndo uliwatumia kama kipoozeo tu kuoa ukaenda Mara.
Sasa nakuambiaje vita ni vita mura pambana na hali yako.

Mara lakimoja aowe mikoani kuriko dar babaa. Mabinto wa dar most of zem jeuri, malaya, vibuli na ujuwaji mnoo.


Muraa Pore sana,,,,kuna msemo unasema "uckosee kuowa"
 
Baba mtu kukataa mahari ilitakiwa iwe danger sign ya kwanza ya wewe kushika break...

Baada ya hapo ulipaswa kujua historia ya hiyo familia, wamezaliwa wangapi na hao ndugu zake wengine maisha yao yakoje, kama wameshaoa na kuolewa je ndoa zao ziko imara ama ndio tia maji tia maji.

Ila kwa sababu ulienda ukiwa na moto wa kurudi na mbususu Dar, basi sio mbaya ukikomaa nayo ivoivo maana bado hujakomaa, ukikomaa utatafuta mke na sio mbususu.
 
Dar wachache mnoo warioturia.
Basi tu kwa Dar tuombe Mungu, nina jamaa zangu wawili mmoja alivyotaka kuoa,mzee wake akaenda Kibaha kumtafutia mke kaoa 2016.

Nina mshikaji wangu dereva wa canter, naye binti alimpatia Chole uzalamuni huko alivyo enda kuchukua machungwa kaoa 2014 na ndoa zao zipo poa, ila sisi wa Dar........ full kucheza kamari.
 
Kwa nini ujipe taabu isiyo na maana,rudi dar oa wanawake wa pwani,utapewa papuchi mpaka ukinai,huyo achana nae maana maisha yenyewe mafupi kisha utafute pesa kwa taabu na mkeo nae uishi nae kwa taabu!khaaa!!
 
Basi tu kwa Dartuombe Mungu, nina jamaa zangu wawili mmoja alivyotaka kuoa,mzee wake alienda Kibaha kumtafutia mke kaoa 2016.

Nina mshikaji wangu dereva wa canter, naye binti alimpatia Chole uzalamuni huko alivyo enda kuchukua machungwa kaoa 2014 na ndoa zao zipo poa, ila sisi wa Dar........ full kucheza kamari.

Aisee,,hongera yao mkuu.
 
Mimi ni kijana umri Miaka 28. Naishi Dar es salaam.

Baada ya kupata shauku kuoa niliamua kusafiri na kurudi kijijini kwetu ambako wazazi wanaishi.

Nilifanya uchunguzi kwa binti kadhaa waliokuwepo kijijini. Kutokana na Mimi kutokuwepo kijijini kwa Muda mrefu ilikuwa ngumu kujua yupi ni mtu sahihi kwangu hivyo basi nikapata msaada kutoka kwa ndugu wengine.

Baada ya wiki kadhaa binti mdogo wa Miaka 20 akapatikana. Akamwagiwa sifa nyingi tu. Basi utararibu wa kutoa mahari ukaanza.

Mama yake akakubali binti pia akakubali kuolewa na Mimi lakini baba yake akakubali ila akasema mahari hapokei yeye alipoulizwa sababu ni nini hakuitaja.

Ikumbukwe Mila na desturi za mkoa wa mara baba wa binti kama yuko hai ndo anapokea mahari. Baada ya huyo mshua kukata ikabidi Wazee wenzake waitwe ili waongee nae Kikao kikakaa kwa masaa zaidi ya matano bado mzee anashikilia msimamo wake.

Alivyobanwa Sana akakubali ila akatoa sharti kwamba siku ya kupokea mahari ataipanga yeye. Basi Kikao kikaisha.

Ikapita siku na hatimae wiki mzee yuko kimya. Wazee wakamrudia tena vipi mbona kimya yule mshua akawaambia wasimpelekeshe. Kwa kifupi mzee alikwepa kwa kisingizio cha yeye kupanga Siku ya kupokea Mahari.

Basi mama mtu akasema kama hataki yeye yuko tayari kupokea mahari. Ikapangwa idadi ya mahari na siku ya kutoa kisha shughuli ikafanyika. Huyo baba mkwe ameoa wanawake wawili.

Mama wa binti niliemuoa anaishi kivyake ni kama wametengana japo sio rasmi kwa talaka maana mzee haendi kwa huyo mama wala hatoi matumizi yoyote.

Siku ya kutoa mahari watu walijaribu kupeleka ng'ombe anakoishi mzee lakini alitoka nje na kuwafukaza waondoke wazipeleke kwa huyo mke Wake mdogo ambae ndio mama wa huyo binti wakapeleka na shughuli ikaisha.

Kumbuka huyo binti nilikuwa simjui kabisa tumekutanishwa na kuoana. Miezi mitatu baada ya Kuoana japo sio kwa Ndoa ya Kanisani.

Nimegundua binti ana kiburi ni mbishi hataki umuelekeze ukifanya hivyo ananuna hata unyumba inakuwa tabu tunamaliza mpaka mwezi hatujasex.

Mambo madogo ya ndani kwetu anamsimlia mama ake na ndugu zake. Kwa kifupi nimemchoka ghafla hasa nikikumbuka jinsi mchakato ulivyokuwa especial baba ake alivyokataa kupokea mahari napata hofu hata tukifunga Ndoa inaweza kukosa baraka.

Hii tabia ya mzee wake kukataa kupokea mahari haijaanzia kwangu tu. Dada ake na mke wangu pia ilikuwa hivyo baba alikataa kupokea mama akapokea ila baada ya kama Miaka miwili hivi yule jamaa alifarika na kuacha mjane na mtoto mmoja.

Pia Kuna mabinti wengine wawili mzee alileta ugumu kupokea mahari mpaka leo wanaishi na wanaume wao lakini mahali hawajatoa.

Sasa ndugu zangu nisaidieni mawazo nifanye nini. Je lengo langu la Kumuacha liko sahihi. Sababu ya kumuacha haiwezi kukosa bahati nzuri hutujazaa bado na wala hana Mimba.
Mkuu Kama bado hujazaa naye na umeshayaona mapungufu yake mapema Bora utuishe mzigo mapema Tafta mtu sahihi ambaye moyo wako unapenda usichukue mtu kwa kuwasikiliza watu/ wajumbe
 
Baba mtu kukataa mahari ilitakiwa iwe danger sign ya kwanza ya wewe kushika break...

Baada ya hapo ulipaswa kujua historia ya hiyo familia, wamezaliwa wangapi na hao ndugu zake wengine maisha yao yakoje, kama wameshaoa na kuolewa je ndoa zao ziko imara ama ndio tia maji tia maji.

Ila kwa sababu ulienda ukiwa na moto wa kurudi na mbususu Dar, basi sio mbaya ukikomaa nayo ivoivo maana bado hujakomaa, ukikomaa utatafuta mke na sio mbususu.
Yaani hata sijui akili zilikuwa wapi. ASANTE kwa ushauri wako
 
Miaka 20 kwa asilimia kubwa bado watoto sana kwenye maswala ya ndoa. Alaf wenda hicho kiburi anakitoa kwa mama ake
 
Back
Top Bottom