πNaona amepata support
Lol pole sana mjomba ila najua hawakosi bana hujaamua tuacha siku ndefu sana hii, hata pa kutelezea hapaonekanani tunabaki kung'aa ng'aa macho tu πππ wa kutuonea huruma hawapo
Nimeamua na nime kosa kwaiyo nimetulia πππLol pole sana mjomba ila najua hawakosi bana hujaamua tu
Usisahau kujisnap utupie kule mjomba can't wait to see my mjomba kwa suit Moja matata sana awwwwwwwwwww!πHata hiyo yatosha Shangazi.. wacha nivae ka suti ka mchongoo hapa ππ
Thubutuuuu!! Wewe mjomba wangu Huyo???Nimeamua na nime kosa kwaiyo nimetulia πππ
Eeeh! shangazi nipo hapa ndio maana nimedamkia huku kupiiza hata nawazo ya kukosa π€£π€£π€£Thubutuuuu!! Wewe mjomba wangu Huyo???
Weee mafia mjomba mbinu zote zimelala hapo hujaamua nakwambia!Eeeh! shangazi nipo hapa ndio maana nimedamkia huku kupiiza hata nawazo ya kukosa π€£π€£π€£
πππ Totoz siku hizi zinekuwa janja kweli kweli, sijui zime ji update kwnye system zao hazinasi kabisaa πππWeee mafia mjomba mbinu zote zimelala hapo hujaamua nakwambia!
Miongozo[emoji1787][emoji1787]!!Aunt natumai umepata miongozo
Wee najua hushindwi mjomba!! Tumia mbunu ile ya kimafiaaa[emoji3][emoji3][emoji3] Totoz siku hizi zinekuwa janja kweli kweli, sijui zime ji update kwnye system zao hazinasi kabisaa [emoji2][emoji2][emoji2]
ndio nimeshindwa tayari nimekuwa kama thimba wa mletee mzunguu ππWee najua hushindwi mjomba!! Tumia mbunu ile ya kimafiaaa
Thimba makolo tu yule wee ni master mjomba ! Au nililetee chuntama mjomba wangu?? Naona unadhindwa kutumia mbunu za kimafia kabisandio nimeshindwa tayari nimekuwa kama thimba wa mletee mzunguu ππ
ππππ shida tozo nyingi shangazi .. acha tubakie kuwa mashemeji tuuThimba makolo tu yule wee ni master mjomba ! Au nililetee chuntama mjomba wangu?? Naona unadhindwa kutumia mbunu za kimafia kabisa
Sasa kipindi hicho sindiyo alikua na huyo single faza πAlafu alinikataa huyu huko pm π€£π€£π€£π€£
Kwa hiyyo sasa nirudishe majeshiπππSasa kipindi hicho sindiyo alikua na huyo single faza π
Hahahaaa! Komaa nao hivohivo mjomba au tumia mbunu za kidiplomasia basii!!ππππ shida tozo nyingi shangazi .. acha tubakie kuwa mashemeji tuu
Rudisha majeshi ila dada hataki tena singo fazaKwa hiyyo sasa nirudishe majeshiπππ
Mwanao huyo...Nimejisikia vibaya nahisi huu ukaribu Sasa utaleta tafrani nataka nikae mbali na huyu mtoto bila kumuonyesha kuwa sipo kbisa na babaake
namnagan nimuweke mbali na isimuathiri huyu mtoto?