Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Ngoja nijisogeze [emoji3526]Tumeshindwa sabbu ni za kimapenzi zaidi sio tabia Kwamba mtarekebishana sio rahis kuzimaliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nijisogeze [emoji3526]Tumeshindwa sabbu ni za kimapenzi zaidi sio tabia Kwamba mtarekebishana sio rahis kuzimaliza
utafanya vibaya kaa nae mtoto hivohivo.Natumain wazima kama kichwa Cha habari kinavojieleza.
Nilikuwa kwenye mahusiano na mtu lakini nilikuta tayari anamtoto wa miaka 5 mwenzangu hakuwai Kuishi na mzazi mwenzio na mtoto analelewa Kwa bibi yake, baada ya kunitambulisha yule mtoto kiukweli nilikuwa nampenda sana na mtoto alikuwa Yuko karibu sana na Mimi ni mpole anaadabu sana.
Baada ya muda nikahama mkoa x ila mtoto Kila akiwa na babaake anasema msalimie mama na simu anaomba anipigie niongee nae now nimetengana na baba Kwa sabbu tulizoshindwa kuzitatua na mtoto sahiz anamiaka 8 lakini nikirudi haipiti siku lazima Aje kunisalimia na ananiita mama lakin sioni tatizo najua ni upendo tu.
Kubwa kuliko Wana mahafali madrasa akaja kunipa taarifa na kilasiku huwa anakuja kunikumbusha nisisahau kwenda kutokana na ubusy na kwakuwa ni mtoto Kuna details hakunipa yaani muda wa sherehe na mahitaji mengine nikaamua kumpigia simu babaake kumuuliza aniambie muda Cha ajabu baba Hana taarifa na hakupewa na mtoto na huwa wanaonana sana.
Nimejisikia vibaya nahisi huu ukaribu Sasa utaleta tafrani nataka nikae mbali na huyu mtoto bila kumuonyesha kuwa sipo kbisa na babaake
namnagan nimuweke mbali na isimuathiri huyu mtoto?
Na kma sio uamuz mzuri mnaweza kunisahihisha
Jimbo ulikuta Lina mbunge sasa n zamu yako liko waz rudi tena kaombe Kura[emoji1][emoji1][emoji1]Alafu alinikataa huyu huko pm [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi hajui kugegeda vizuri?Tumeshindwa sabbu ni za kimapenzi zaidi sio tabia Kwamba mtarekebishana sio rahis kuzimaliza
Ikiwa shida n za kimapenz naonaVipi hajui kugegeda vizuri?
Acha nongwa nishaanza kugombea
Wee umwjuaje kuwa ni jiko safi?Ikiwa shida n za kimapenz naona
Hapo kuna mmoja sio mwaminifu
Kuna mmoja anacheza nje Ila
Katika kusuluhisha inashindikana
Ila jamaa atakua kupoteza
Jiko safi Sana aisee,, kama jamaa
Ndo atakua na makosa huyu dada
Anakaa jiko Safi Sana sema ndo hvo
Mambo hayaendan
Maisha ni fumbo. Huyo mtoto alivyokuweka upande wake nakuomba na ww uzidi kumuonyesha upendo.Natumain wazima kama kichwa Cha habari kinavojieleza.
Nilikuwa kwenye mahusiano na mtu lakini nilikuta tayari anamtoto wa miaka 5 mwenzangu hakuwai Kuishi na mzazi mwenzio na mtoto analelewa Kwa bibi yake, baada ya kunitambulisha yule mtoto kiukweli nilikuwa nampenda sana na mtoto alikuwa Yuko karibu sana na Mimi ni mpole anaadabu sana.
Baada ya muda nikahama mkoa x ila mtoto Kila akiwa na babaake anasema msalimie mama na simu anaomba anipigie niongee nae now nimetengana na baba Kwa sabbu tulizoshindwa kuzitatua na mtoto sahiz anamiaka 8 lakini nikirudi haipiti siku lazima Aje kunisalimia na ananiita mama lakin sioni tatizo najua ni upendo tu.
Kubwa kuliko Wana mahafali madrasa akaja kunipa taarifa na kilasiku huwa anakuja kunikumbusha nisisahau kwenda kutokana na ubusy na kwakuwa ni mtoto Kuna details hakunipa yaani muda wa sherehe na mahitaji mengine nikaamua kumpigia simu babaake kumuuliza aniambie muda Cha ajabu baba Hana taarifa na hakupewa na mtoto na huwa wanaonana sana.
Nimejisikia vibaya nahisi huu ukaribu Sasa utaleta tafrani nataka nikae mbali na huyu mtoto bila kumuonyesha kuwa sipo kbisa na babaake
namnagan nimuweke mbali na isimuathiri huyu mtoto?
Na kma sio uamuz mzuri mnaweza kunisahihisha
Hii mbususu nmeona n safi Kwa mwonekano wa jf Ila kiuhalisia cjui sasa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Wee umwjuaje kuwa ni jiko safi?
Alafu kama jamaa anagegeda mbususu nyingine mbona kawaida hiyo. Na yeye sii ananitafuta tuu pm anasema mzabzab leo nataka kubadilisha ladha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Changamkia fursa hiyo, zile million 10 hailisha ujenzi kwanza.Kumbe mrembo upo single😍😍😍
Ukweli unaujuwa ndani ya nafsi yako, kama ni kweli una move on na huna mpango Tena na baba yake kaa mbali na huyo mtoto. Fullstop.Natumain wazima kama kichwa Cha habari kinavojieleza.
Nilikuwa kwenye mahusiano na mtu lakini nilikuta tayari anamtoto wa miaka 5 mwenzangu hakuwai Kuishi na mzazi mwenzio na mtoto analelewa Kwa bibi yake, baada ya kunitambulisha yule mtoto kiukweli nilikuwa nampenda sana na mtoto alikuwa Yuko karibu sana na Mimi ni mpole anaadabu sana.
Baada ya muda nikahama mkoa x ila mtoto Kila akiwa na babaake anasema msalimie mama na simu anaomba anipigie niongee nae now nimetengana na baba Kwa sabbu tulizoshindwa kuzitatua na mtoto sahiz anamiaka 8 lakini nikirudi haipiti siku lazima Aje kunisalimia na ananiita mama lakin sioni tatizo najua ni upendo tu.
Kubwa kuliko Wana mahafali madrasa akaja kunipa taarifa na kilasiku huwa anakuja kunikumbusha nisisahau kwenda kutokana na ubusy na kwakuwa ni mtoto Kuna details hakunipa yaani muda wa sherehe na mahitaji mengine nikaamua kumpigia simu babaake kumuuliza aniambie muda Cha ajabu baba Hana taarifa na hakupewa na mtoto na huwa wanaonana sana.
Nimejisikia vibaya nahisi huu ukaribu Sasa utaleta tafrani nataka nikae mbali na huyu mtoto bila kumuonyesha kuwa sipo kbisa na babaake
namnagan nimuweke mbali na isimuathiri huyu mtoto?
Na kma sio uamuz mzuri mnaweza kunisahihisha
Wewe bwana mwanamke ataona umemdharau pale tuu huna hela.Hii mbususu nmeona n safi Kwa mwonekano wa jf Ila kiuhalisia cjui sasa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Jamaa kupanua mbususu nje hyo n kawaida
Ila sio mpaka Ile mbususu ya ndan ijue
Sasa maana ikijua inakua n kama umemdharau[emoji1][emoji1]
Anende vacation KwanzaChangamkia fursa hiyo, zile million 10 hailisha ujenzi kwanza.
Itabidi nifanye hivyoChangamkia fursa hiyo, zile million 10 hailisha ujenzi kwanza.
Mimi ninalea Watoto Wawili hawana Wazazi Kwa kifupi Nina Upendo wa kutosha, lakini Kwa hili akae mbali na huyo mtoto Kwa faida take mwenyewe kama amemaanisha kweli kumove on.Maisha ni fumbo. Huyo mtoto alivyokuweka upande wake nakuomba na ww uzidi kumuonyesha upendo.
Sasa sii umchukie mrembo akusaidie kulea hao watotoMimi ninalea Watoto Wawili hawana Wazazi Kwa kifupi Nina Upendo wa kutosha, lakini Kwa hili akae mbali na huyo mtoto Kwa faida take mwenyewe kama amemaanisha kweli kumove on.
Kujenga ni uwoga wa maisha tu, wahindi wana maduka ya vifaa vya ujenzi na hawajengi, wapo tu National housing.Anende vacation Kwanza
Kujenga n baadae[emoji1][emoji1][emoji1]
Nina Mke na watoto wangu biologically plus hao Wawili extended family.Sasa sii umchukie mrembo akusaidie kulea hao watoto
Kwani kuongeza mke wa pili hairuhusiwi mzee?Nina Mke na watoto wangu biologically plus hao Wawili extended family.