Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
We umeahirisha kwenda huko mbona kunakusubiri bro. Cheti fake naona kilikupagawisha mpaka kurukwa akili .pole yako .kama Una shida na psychiatric kuwa free tukusaidie . Magu name will never perish MzeeAnayetetea awamu ya tano ni mshirikina kasoro vitendea kazi ndio hamna.
Mwendakuzimu alikuwa ni mkosi kwa Taifa.
Mkoa wa Rukwa una RC, Dc, Ras, Das's, wakurugenzi, wabunge, madiwani, wenyeviti wa vijiji halafu unadanganya JF mkoa wote huu kamulishwa Mwingira?
Hizi roho mbaya za kichawi na kishirikina ndio urithi mlioachiwa na marehemu wenu mwendakuzimu.
Wamarekani mpaka kesho 'wanamtukana' Nixon, je hawajafika mbali?Hizi nguvu mnazotumia kumtusi hayati mngezihamishia katika mambo mengine yenye tija tungefika mbali...
Ningeshiriki uchimbaji wa kaburi lake,ningeshauri tuchimbe kilometa 20 kwenda chini ya ardhi. Maana anaweza kuja fufuka huyuBwana chato ni Baba wa Taifa wa:
1.Kuondoka duniani wakati hahitajiki.
2.Kuteka wapinzani pamoja na wakosoaji wake kama akina Azory Gwanda ili yeye ajihakikishie kutawala milele.
3. Kutesa wapinzani wake kwa kuwaweka ndani kila siku kwa kesi fake ambazo hazina dhamana.
4. Kuua wapinzani wake na wakosoaji wake kama akina Ben saanane na kuwapiga wapinzani wake risasi kama ilivyokuwa kwa Tindu Lissu.
5. Kuua uhuru wa vyombo vya habari.
6. Kuua uhuru wa kujieleza kwa wananchi kama vile kufungia mitandao ya kijamii kama twitter na kukamata wanaotumia mitandao mingine kumkosoa.
7. Kuiba kura kwa kutumia Polisi,jeshi,TISS pamoja na tume ya uchaguzi.
8. Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.
9. Kudanganya katika takwimu za ukuaji wa uchumi wa nchi.
10. Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake,yaani mhimili wa urais,bunge na mahakama.
11. Kuua uchumi wa nchi kupitia sheria mbovu za uwekezaji.
12. Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.
13.Udini:Alipenda sana kwenda kunadi sera zake za kisiasa makanisani.
14. Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi katika wilaya ya Chato na kujaza wasukuma serikalini.
15. Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic viable zone.
16. Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.Imagine mtu anafanya ubaguzi wa rangi karne ya 21!Is this not insane?
17. Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.
18. Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.
19. Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.
20. Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia kampuni yake ya Mayanga constructions LTD.Mfano uwanja wa Chato umetengenezwa na kampuni hii bila tenda kuitwa.
21. Kubambikizia kesi za kuhujumu uchumi wapinzani wake nchi nzima na kuwatupa korokoroni bila dhamana.
22. Kugushi report ya CAG ya hasara za mabilion za ndege za ATCL na kuilazimisha ATCL watoe gawio fake kwa serekali.
23 Kupora utajiri halali na wa jasho wa matajiri wa Tanzania kwa kuwabambikizia kesi fake za kuhujumu uchumi na kuwalazimisha wakiri makosa ya uwongo kisha kuwafilisi mali zao.
24. Ufisadi na wizi wa kutisha wa 1.5 trilioni kama ulivyoibuliwa na CAG profesa assad.Tokea uhuru hakuna Rais ambae amewahi kufanya ufisadi wa kutisha kiasi hiki.
25.Kuua wakosoaji wake pamoja na wapinzani wake kisha maiti zao kutupwa mitoni na kwenye fukwe za bahari maiti zao zikiwa kwenye viroba.
Huyu mtu kaburi lake linapaswa kufukuliwa na atandikwe viboko
View attachment 2062388View attachment 2062389
Bro huna akili samahani kwa hiloMagufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-
1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa
2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa
3. Padre Pascal Luhengo wa Mahenge Morogoro ambaye sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.
4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake
5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.
6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.
7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule
8. Bulembo.. n.k.
(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.
Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.
N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.
Naomba kuwasilisha.
Wengine drama tu. Mtu aliyenusrika kuuawa huwa hana tambo, na hatuwepo kushuhudia.Vipi akina Askofu Mwingira walionusurika kufa mara tatu?
Kabisa mkuu!..Ukiwa na uhanga (Sexless) kwa muda mrefu madhara yake kisaikolojia ni mabaya sana, ndiyo maana watu wanashauriwa angalau kuwa wanapata kakitu mara moja moja ili uhanga usipande kichwani.
AseE Kumbe ni mpumbavu kiasi hichi
Ni kama Adolf Hitler...Hivi MTU aliyekwisha ondoka katika dunia hii lakini ana tembea vinywani mwa watu kuzidi hata walio hai na wenye wadhifa kama aliokuwa nao marehemu! Hii sijui imekaaje!
Nani anakudanganya? Wajinga ndio walidanganywa na propaganda zake za kugawa hela na kununua Jogoo..... na kujidai mcha Mungu huku akifanya maovu.Huu Sasa utoto unaotuletea.we Kama unadhani watu wengi wanamchukia magufuli umebugi kwa taarifa yako hamzidi watu laki Saba wenye chuki isiyo na sababu kwa magu
At least me mtu kunishawishi anitajie kesi ya lissu kupigwa risasi kwanini magufuli hakuchukua hatua za haraka basi hilo ndo DOA la wazi hayo mengine sijui mtu kuporwa hela sijui kuonewa NI UTOPOLO
MAGUFULI BADO ANAPENDWA NA MAMILIONI YA WATANZANIA ZAIDI YA WATU MILLION 20 WANAMPENDA NA WAME MMISS
Siku zote marehemu husifiwa hata kama alikuwa nyanga'u.Ukiona marehemu ananangwa badala ya kusifiwa itakuwa imekaaje?Hivi MTU aliyekwisha ondoka katika dunia hii lakini ana tembea vinywani mwa watu kuzidi hata walio hai na wenye wadhifa kama aliokuwa nao marehemu! Hii sijui imekaaje!
Milioni 10 ya NyokoloNiko tayari kukuchangia tsh mil 10 kwa ajili ya kuwezesha mchakato huu , nafahamu kwamba mtuhumiwa kishazikwa , lakini hukumu ya kesi hii inaweza kutoa mwongozo kwa walio hai
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana. Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika. Mifano hii hapa:- 1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa 2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa 3. Padre Pascal Luhengo wa Mahenge Morogoro ambaye sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake. 4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake 5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni. 6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli. 7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule 8. Bulembo.. n.k. (Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi) Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi. Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao. N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii. Naomba kuwasilisha.
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana. Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika. Mifano hii hapa:- 1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa 2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa 3. Padre Pascal Luhengo wa Mahenge Morogoro ambaye sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake. 4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake 5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni. 6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli. 7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule 8. Bulembo.. n.k. (Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi) Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi. Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao. N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii. Naomba kuwasilisha.
Magufuli atawatesa Sana kwa miongo kadhaa mpaka mje kumsahau. Sisi tunamshukuru kwa kutuondolea watumishi hewa na kuweka mifumo imara kwenye payroll...SGR,BWAWA LA NYERERE,STAND MIKOANI,MIFUMO YA AFYA, AMANI KTK MIPAKA YA NCHI AMEIACHA SALAMA...pia kutujengea barabara maana yetu ndo kasimamia pesa tumetoa sisi.atabaki kwenye kumbukumbu mpaka wakati usio na kipimo...Mimi na wewe tutasahaulika ila sio magufuli na lazima siku moja kwenye noti awekwe ndipo utajua hujui. Tena baada ya nyerere ndiye mtu anayeongozwa na kupendwa na wenye nchi..fanya tafiti DOA alilonalo katika UTAWALA wake NI lissu kupigwa risasi kwanini magufuli hakuchukua hatua za haraka yeye Kama rais wa nchi Kama hakuhusika alipaswa atoe kauli au afanye Jambo watu wawajibike...pamoja na hayo Bado wenye nchi wakikumbuka mazuri yake wanakosa say huenda ndiye au siye muhusika maana nchi yetu NI kubwa mno......all in all Bado NI rais ambaye hatakuja kutokea labda kidogo juma awesso namuombea Mungu amjalie boss wangu huyu siku moja awe rais wetu.
Huyo unayemshtaki yupo kaburini tangu march 2021. Chunga sana majaji wasije kufikiri kesi imefunguliwa na mwendawazimu.Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-
1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa
2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa
3. Padre Pascal Luhengo wa Mahenge Morogoro ambaye sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.
4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake
5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.
6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.
7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule
8. Bulembo.. n.k.
(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.
Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.
N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.
Naomba kuwasilisha.