Nataka kumiliki Scania R450. Je, pesa itarudi baada ya muda gani?

Gari ya mizigo/biashara kwa beginner yeyote usijelogwa ukanunua used bongo , usijelogwa .. nunua used bongo ikiwa tayari ww Ni expert
Najazia hapo, kamwe usithubutu kununua gari USED ya mizigo au ya biashara ikiwa wewe ndio unaanza.

Ila hii kitu hapa home tokea nazaliwa hadi kufikia umri 20's sijawahi kuona dingi au ndugu wa karibu akinunua gari showroom labda zaidi ya hizi gari ndogo za kutembelea.
 
Hongera mkuu, ama kwa hakika umepambana.
 
Lakini alisema lile gari jipya ndo trip ya kwanza.
No Dear, alisema alilinua kwa 15m i think kisha akalifufua hadi kufikia 83m, kwahio siku ile ndio ilikua trip yake ya kwanza tangu kulifufua na kwamba dereva alishalalamika kuwa kulikua na hitilafu.....

Sasa kufufua gari kwa mazingira ya kibongo bongo na huna ujuzi wa spare parts, utapewa spare yoyote ile. Ilitakiwa asiende umbali mrefu na ile gari at least ingepiga masafa ya Dar hata Chalinze ili kukagua uwezo wa kuhimili kashkash. Karibu Lunch
 
Kwa kuwa wewe ni mmiliki naomba nisaidie kabla sijaenda field nikapigwa.
Kukodisha gari la mizigo kwa ajili ya mazao ndizi n. K. tufanye kutoa Moshi sokoni kuleta dar sokoni ni sh ngapi?
Kwa aina ya tandam na fuso.
Na makubaliano yanakuwaje?
Ahsante sana ukinijibu na kama kuna wengine wanajua wanisaidie.
Na gari kwa huku nazipata wapi bila kupitia kwa dalali.
 
Hizo fuso tandam unakodisha? If yes Moshi Dar sh ngapi? Na makubaliano yakoje?
 
113 & 124 spare zapatikana kiurahisi na gharama nafuu. Kuliko hizi P.G.R. series gharama na ufundi ni pasua ukichwa usipo kuwa makini
Lakini kwa nini mnawakatisha watu tamaa kwamba R hazifai achani hizo wewe mwambie tu kama ana nunua mtumba achague mzuri tu sasa hizo 113 zenyewe zinapotea saa hizi kuzipata kwenyewe kwa shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…