Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #181
Ebu muite hapa jamvini, asije akawa anatupanga; siku ya harusi anaaga anaenda kwao, kumbe anakuja kwa equation xHayo unajua wrewe
Mie najua kuwa hakuna mapenzi, hakuna vita🤣🤣
Sawa mkuuUtaniPM kadi nichangie mkuu!
Ameshaoa huyu jamani enzi za 2007 nipo mdogo nasoma sec plz huyu jamaa ache kujipigia promoMy wangu njoo huku Kuna harusi Unique Flower
Tatizo kina H tuko wengi halafu bwana harusi hasemi😂Kumbe ni wewe😆
30+ ukimuoa ujue unachukua nazi mbovu, kwasabb wenzako wameiacha tangu (akiwa 15 mpk sasa ana 30) ujue kuna kitu hakiko sawa.kwani above 30 hawaruhusiwi kuolewa chief?
Acha kunipeperushia ndege wanguAmeshaoa huyu jamani enzi za 2007 nipo mdogo nasoma sec plz huyu jamaa ache kujipigia promo
Sasa ukiwa wewe itakuaje🙆♂️Tatizo kina H tuko wengi halafu bwana harusi hasemi😂
Nilijua tu wewe hukosi Jambo ndio maana nikikuita mywangu!kwa hiyo Ni tapeli au sio?Ameshaoa huyu jamani enzi za 2007 nipo mdogo nasoma sec plz huyu jamaa ache kujipigia promo
Umeoa mke anashepu majaliwa acha watoto wawatu unasingle mothers wengi wamekuzalia hivi huogopi kuuwawa na new comers unakeraAcha kunipeperushia ndege wangu
Huruma ya nini tena?Hakika wanawake tuna huruma sana🙆🙆🙆
Sio tapeli tatizo anawake wengi sana ukiamua kuingia poa sianahela??Nilijua tu wewe hukosi Jambo ndio maana nikikuita mywangu!kwa hiyo Ni tapeli au sio?
Wakweli wachache tuliobaki, ndio sisi.Humu kuna waongo wengi sana waache watoto wawatu
Sio Mimi angeshasema huyu!kwanza Nasikia keshaoaSasa ukiwa wewe itakuaje🙆♂️
😂😂😂😂
Umejuaje kama ameoa?😅Sio Mimi angeshasema huyu!kwanza Nasikia keshaoa
Me wengi sana humu wamejiita majina ya kike, wanachati kikike kike na wameweka picha nzuri za kuvutia kwenye profile pictures zao.
ONYO:
*Ukikutana na Me akakugeuzia kibao usitulaumu hatukukwambia.
*Shemele nao wapo.
*Mashoga.
USHAURI:
Fikiri kabla ya kutenda.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣Mbona kasema analima mpunga?ana hela kweli huyu?Sio tapeli tatizo anawake wengi sana ukiamua kuingia poa sianahela??
Ndiyo mkuu, kwani nimekosea? Nisamehe😂😂😂😂
Kwamba kwa akili zake hao ndio fungu lake!!