Nataka kumuoa huyu mlimbwende wa JF

Hayo unajua wrewe
Mie najua kuwa hakuna mapenzi, hakuna vita🤣🤣
Ebu muite hapa jamvini, asije akawa anatupanga; siku ya harusi anaaga anaenda kwao, kumbe anakuja kwa equation x
 

Si keshakutana nae Jamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…