Nataka kumuoa huyu mlimbwende wa JF

Kuwa mpole
Kuwa na hekima
Kuwa na subira.


Hilo jina ni kama linashabihiana na mwenye kumiliki hisia zangu pia.

Mapenzi bila vita hayanogi.
Jiandae kwa mpambano. Jina lake linaanzia D na ukiona siyo mwenyewe basi pita hiviπŸ‘‡
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayo Mambo ya tabia mtarekebishana mbele ya safari!kikubwa kwanza muoane
Hahaha mimi naamini itakuwa ni wewe maana unaonekana wife material wa nguvu.
 
Halafu uje na uzi kua unajuta kuoa demu wa jf
By the way kila la kheir
 
Kuwa mpole
Kuwa na hekima
Kuwa na subira.


Hilo jina ni kama linashabihiana na mwenye kumiliki hisia zangu pia.

Mapenzi bila vita hayanogi.
Jiandae kwa mpambano. Jina lake linaanzia D na ukiona siyo mwenyewe basi pita hiviπŸ‘‡
Mapenzi ni sera, hayahitaji vita wala nguvu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…