Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni malalamiko ni mengi kuhusiana na network yao, naombeni ushauri

Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni malalamiko ni mengi kuhusiana na network yao, naombeni ushauri

Tangu lile tukio la kukatika nyaya bajarini ni kama mitandao imeathiriwa hadi sasa..Kuna mda Network inashuka kabisa then inarudi ili ni suala dogo kabisa huwa inaweza kuwa down kwa dakika kadhaa siku nyingine inakuwa down kwa Masaa kadhaa then inarudi

Sio Airtel ni mitandao karibia yote...Mkuu kama uwezo upo nunua iyo router inasaidia Sanaa usisikilize ya Mtandaoni yatakukatisha Tamaa wewe jivike Mabomu jilipue Ukanunue utafurahia
 
Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni naona kelele ni nyingi juu ya malalamiko kuhusiana na internet kuwa slow.

Nilipo hapa natumia bando la kawaida la Airtel na liko poa. Naombeni ushauri kuhusu hizo router zinafaa au hazifai kabla sijaingia mkenge!

NB
Matumizi yangu ni ya kawaida.


Karibuni kwa ushauri
Usilongwe. Airtel ni hovyo kabisa kwenye internet.... Ukitoka maeneo ya mjini tu kwisha Habari..
 
IMG20241128175341.jpg
 
Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni naona kelele ni nyingi juu ya malalamiko kuhusiana na internet kuwa slow.

Nilipo hapa natumia bando la kawaida la Airtel na liko poa. Naombeni ushauri kuhusu hizo router zinafaa au hazifai kabla sijaingia mkenge!

NB
Matumizi yangu ni ya kawaida.


Karibuni kwa ushauri
Km upo nje ya mji chukua Ttcl fiber hapa inabidi uhonge iliupate huduma mapema toka Kwa mafundi hutajutia
 
Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni naona kelele ni nyingi juu ya malalamiko kuhusiana na internet kuwa slow.

Nilipo hapa natumia bando la kawaida la Airtel na liko poa. Naombeni ushauri kuhusu hizo router zinafaa au hazifai kabla sijaingia mkenge!

NB
Matumizi yangu ni ya kawaida.


Karibuni kwa ushauri
Nyuki hakumbatiwi hata yanga wanajua
Sumu haionjwi hata waliopona kufa wanajua
Kuna baadhi ya maeneo iko okay lakini kingine ni majanga
 
Back
Top Bottom