Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni malalamiko ni mengi kuhusiana na network yao, naombeni ushauri

Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni malalamiko ni mengi kuhusiana na network yao, naombeni ushauri

Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni naona kelele ni nyingi juu ya malalamiko kuhusiana na internet kuwa slow.

Nilipo hapa natumia bando la kawaida la Airtel na liko poa. Naombeni ushauri kuhusu hizo router zinafaa au hazifai kabla sijaingia mkenge!

NB
Matumizi yangu ni ya kawaida.


Karibuni kwa ushauri
Ushaasema malalamiko mengi ushauri gani tusafishemmalalamko ama
 
Kuna mavifurushi ya bei chee kama halotel wana cha buku 5 unapewa GB7 au 9 kwa week. Its likely enough kwa watumiaji wa kawaida kuliko kujiunga elfu 3 kila siku kwa week ni 21,000
Labda hivyo, ila unlimited naona ni much better.

Nimejaribu kuomba fiber ya ttcl ila kama kawaida yao, mwezi sasa hawajaja.
 
Labda hivyo, ila unlimited naona ni much better.

Nimejaribu kuomba fiber ya ttcl ila kama kawaida yao, mwezi sasa hawajaja.
TTCL inaonekana wazuri ila wana mashauzi
 
Hapana ile ya Tshs 270,000 ambayo sasa wanauza Tshs 110,000
Mkuu, wanaiuza wapi hii kwa 110,000 maana nimeenda Airtel shop ya Mlimani City wakaniambia wao hawana hiyo offer lazima ninunue kifaa 200k pamoja na bundle au ninunue kwa agent ndio akanipa number ya agent.

Ninajiuliza tu kwa nini wao wenyewe hawawezi kutoa hii ofa mpaka umtafute dalali?
 
Mitandao yote kuna siku huwa lazima i-freeze, itasumbua masaa kazaa then inakaa sawa lakin sio kila siku.

Airtel Router package ya 70k ambayo ni 270k is much worse kuliko maelezo, Ipo slow na downloading speed haizidi 2 Mbps, (Wameandika 10 Mbps lakin haifiki).

Package ya 110k is a way better na naweza mshauri mtu atumie, ipo faster na downloading speed inafika mpaka 6 Mbps, (Wameandika 30 Mbps lakin hazifiki).

Note: Kama unaona 110k ni nyingi kulipia peke yako kwa mwezi basi nunua router then ongea na wapangaji wenzio upate angalau watu 3 muchange.
 
Achana na stori za mitandaoni, ninatumia router ya airtel kwa mwaka na kitu sasa..

General experience iko poa, vichangamoto vya hapa na pale havikosekani kwenye kila mtandao, ila user satisfaction yangu ni 99%.

Ninatumia kifurushi cha 10Mbps, na kwenye kudownload huwa inachezea 1MB/Sec, ambayo ni speed ya kutosha kwa matumizi ya kawaida.

Achana na kelele za mitandaoni, changamoto ni chache na zisizo na stress, zile stress za "Ndugu mteja, umetumia 75% ya kifurushi chako" ni mbaya sana..
 
Kwa upande wangu naona mtandao wa Vodacom unajitahidi sana.

Nina 5G router yao na nimejaribu kuitumuia sehemu mbalimbali na ipo vizuri. Ninaitumia karibia miaka miwili na zaidi sasa.

Sehemu ambapo hakuna 5G inatumia 4G.

Pia baadhi ya router zao zina "band locking feature", hii inasaidia sana kama upo sehemu ambapo watumiaji kwenye mnara ni wengi.

"Customer service" yao pia ni nzuri.

Nilijaribu mitandao mengine haikuniridhisha.
 
Back
Top Bottom