sintosh
Member
- May 26, 2015
- 41
- 36
Kuna Mbps (megabits per second) na MBps (Megabytes per second). Speed inayotangazwa na ISP ni Mbps lakini speed ambayo utakayokuwa unaiona ni MBps.Mitandao yote kuna siku huwa lazima i-freeze, itasumbua masaa kazaa then inakaa sawa lakin sio kila siku.
Airtel Router package ya 70k ambayo ni 270k is much worse kuliko maelezo, Ipo slow na downloading speed haizidi 2 Mbps, (Wameandika 10 Mbps lakin haifiki).
Package ya 110k is a way better na naweza mshauri mtu atumie, ipo faster na downloading speed inafika mpaka 6 Mbps, (Wameandika 30 Mbps lakin hazifiki).
Note: Kama unaona 110k ni nyingi kulipia peke yako kwa mwezi basi nunua router then ongea na wapangaji wenzio upate angalau watu 3 muchange.
8 Mbps = 1 MBps
10 Mbps = 1.25 MBps
30 Mbps = 3.75 MBps