Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Usilongwe. Airtel ni hovyo kabisa kwenye internet.... Ukitoka maeneo ya mjini tu kwisha Habari..Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni naona kelele ni nyingi juu ya malalamiko kuhusiana na internet kuwa slow.
Nilipo hapa natumia bando la kawaida la Airtel na liko poa. Naombeni ushauri kuhusu hizo router zinafaa au hazifai kabla sijaingia mkenge!
NB
Matumizi yangu ni ya kawaida.
Karibuni kwa ushauri
Achana nayo, internet ipo down sanaa.. Mimi najuta kwa kweli, kama vipi njoo nikuuzie yangu kwa nusu bei.
Km upo nje ya mji chukua Ttcl fiber hapa inabidi uhonge iliupate huduma mapema toka Kwa mafundi hutajutiaNataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni naona kelele ni nyingi juu ya malalamiko kuhusiana na internet kuwa slow.
Nilipo hapa natumia bando la kawaida la Airtel na liko poa. Naombeni ushauri kuhusu hizo router zinafaa au hazifai kabla sijaingia mkenge!
NB
Matumizi yangu ni ya kawaida.
Karibuni kwa ushauri
Nyuki hakumbatiwi hata yanga wanajuaNataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni naona kelele ni nyingi juu ya malalamiko kuhusiana na internet kuwa slow.
Nilipo hapa natumia bando la kawaida la Airtel na liko poa. Naombeni ushauri kuhusu hizo router zinafaa au hazifai kabla sijaingia mkenge!
NB
Matumizi yangu ni ya kawaida.
Karibuni kwa ushauri
Hapana ile ya Tshs 270,000 ambayo sasa wanauza Tshs 110,000We unayo ipi? Ya elfu 50?
Location yako ni wapi ambapo inasumbua kufanya kazi?Hapana ile ya Tshs 270,000 ambayo sasa wanauza Tshs 110,000
Hii universal umenunua sh. Ngapi mkuu? Looks like a great deal.Chukua universal,unaingiza laini unayotaka mkuu,usifungwe na mke mmoja.View attachment 3165283