Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni malalamiko ni mengi kuhusiana na network yao, naombeni ushauri

Kuna Mbps (megabits per second) na MBps (Megabytes per second). Speed inayotangazwa na ISP ni Mbps lakini speed ambayo utakayokuwa unaiona ni MBps.
8 Mbps = 1 MBps
10 Mbps = 1.25 MBps
30 Mbps = 3.75 MBps
 
Labda hivyo, ila unlimited naona ni much better.

Nimejaribu kuomba fiber ya ttcl ila kama kawaida yao, mwezi sasa hawajaja.
Yani mwezi tu 🤣, unaweza kata mwaka hao hata na zaidi
 
Hii Ni Ile ya Sh ngapi?? Na Bando lao kwa mwezi Linakaaje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…