tupo wengii
Mchangamke mapema vijana. Msije mkafika umri wa mtoa mada bila bila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tupo wengii
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Acha udomo zege pambana..
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Upo we mdada? Z miakaHuo ni umri hatari sana kutafuta mke mtoa mada…. Ulipaswa uwe na candidates walau wa3 uchague mmoja, ila from no where tu…..
Hata hivyo nikutakie heri… kama una imani omba Mungu sana wakati huu.
Ngoja niujaribu huu ushauri wako mkuu. Tabora, Mara, Dodoma nina ndugu na Iringa kwa Wakinga na Wabena nina ndugu pia. Ngoja niingie mzigoni kumsaka wife pande hizo.Ndugu yangu hongera.
matamanio yangu ufanikiwe kwa kikamilifu hitaji lako hili.
Binafsi nilipata shida sana wakati nilipoamua kuoa, mpaka nakuja kupata wa kumuoa iligharimu miaka mitatu ingawa nina muda wa kutosha wa kutoa uzoefu baada ya kuoa lakini sikufanikiwa kikamilifu, ila kwa vile binadamu haturidhiki moja kwa moja hata ningepewa nafasi nyingine ya kuoa bado kuna mahali ningeona kukosea tena, so kilicho baki ni ile kauli mbiu yetu ya kuvumiliana.
Sasa ningekua sijaoa halafu nahitaji kuoa kamwe nisingeoa mwanamke ama msichana wa mjini.
Ningeenda ama kijijini kwetu ama maeneo ya kijijini kabisa, huko ningeongea na wazee vijana wenzangu, wakina mama na hata viongozi wa kiimani waniunganishe na familia yenye binti afaae kuoa, kama ningefanikiwa kwa hilo nitakavyokuja naye mjini kuendelea na maisha, huyo binti mpaka jua la mjini limpambazukie tutakuwa tayari familia imefika mbali .
Natamani kuwa shauri hivyo vijana wenzangu.
Lakini pia ukipata binti mwenye asili ya mkinga Mbena ambae bado asili haijamuacha sana please weka vigezo vyako vyote pembeni mchukue huyo.
Ufanikiwe ndugu yangu.
Wala haihitaji kuumiza kichwa, kama ni mzinzi na muasherati utaowa mzinzi na muasherati mwenzako tu.
Wala haihitaji kuumiza kichwa, kama ni mzinzi na muasherati utaowa mzinzi na muasherati mwenzako tu.
Umri wangu jauniruhusu kurembaremba kwenye mambo serious. Jambo la ndoa halina utani.Bibi huna kona kona umetisha sana
Bibi huna kona kona.. umemueleza ukweli mchungu
Nakupa Siri moja tu ukimpata Patna naeHabari wadau.
Kuna hali inanitokea inanishangaza sana, nimekua na hamu na ndoa ghafla since mwaka jana. cha kushangaza sasa sijui namuoa nani na nipo 35 yrs.
Wanaume tunatumia nguvu kubwa kujitafuta na kulea wadogo zetu na wazazi wetu mpaka tunasahau kuandaa spouse. Hapa wanaume tunakosea sana.
Najiona kabisa nitazeeka bila familia kwa uzembe wangu. wazee wa kupoint mnisaidie connection na wadada mnaowajua wenye vigezo.
Wasifu wangu
1. Mwanaume miaka 35, muajiriwa sekta binafsi
2. Kipato kidogo japo wengine wanaita cha kati
3. Makazi Dar es salaam
4. Elimu ya chuo kikuu
5. Dini Mkristo Anglican
Wasifu wa Mwanamke naependa awe nijenge nae familia
1. Elimu isipungue kidato cha nne, awe na uwezo wa kuchanganua mambo kutambua facts na bullshits, sense na non senses. Wazungu wanasema awe open minded
2. Awe mkazi wa Dar es salaam,
3. Awe mkristo. hata kama akiwa dini nyingine awe tayari kuishi kwenye ukristo
4. Awe mrefu mrefu maana nami ni mrefu mrefu
5. Awe hajawai kuolewa ama kuzaa
6. Umri asiwe mdogo sana na wala asiwe mkubwa sana wa kunizidi umri
WENYE VIGEZO AMA KAMA UNAMJUA MWENYE VIGEZO KARIBU UNISAPOTI MWAKA HUU TENA USIISHE BILA BILA
Mke mwema mm nipoKwahio ukimuomba Mungu mtu sahihi anakushushia tu chumbani ukiwa umelala
Mke mwema mm nipo
Nipe nambayako INBOX tongee zaidiMke mwema mm nipo
Tatzo kuingia inbox cwezi anza kunitumia mm inbox au nielekezeNipe nambayako INBOX tongee zaidi
Nimeona text yako, sijui kwanini hainiwekei sehemu ya kujibu nina kutumia mimi turned.Tatzo kuingia inbox cwezi anza kunitumia mm inbox au nielekeze