Nataka Kuoa japo sijui Namuoa Nani? Mwanaume mwenzangu umeshawai kutokewa na hali hii?

Mi pia nipo kwenye hali hiyo natamani kuoa lakini sijui ntamuoa nani
 
Wala haihitaji kuumiza kichwa, kama ni mzinzi na muasherati utaowa mzinzi na muasherati mwenzako tu.
 
Ngoja niujaribu huu ushauri wako mkuu. Tabora, Mara, Dodoma nina ndugu na Iringa kwa Wakinga na Wabena nina ndugu pia. Ngoja niingie mzigoni kumsaka wife pande hizo.
 
Nakupa Siri moja tu ukimpata Patna nae

Akikuudhi nenda zako Rudi saa nane usiku Na mitungi ya kwenda.
 
Mi nakuelewa japo sio mwanaume.
hata sisi kuna mda tunatakaga kuolewa ila wakuolewa nao hatuwaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…