Nataka kuuza nyumba, viwanja, gari na vitu vyote vya ndani nirudi bara kuanza upya kutoka Zanzibar

yan kuna watu mnajifnya mnajua sana maisha ya watu yan umejibu km kwa makasiriko kwa jamaa yan inaonyesha unaliroho la uwivu ndan yako
 
Hongera Ana kwa kuweza kupata kiwango kikubwa Cha pesa tulia kwanza nyumba uza baada ya miaka kumi mbel kwasas uza kiwanja njoo tafuta kibiashara fanya fungua ka hdw kigamboni

Kama unatak ushauri Zaid njoo dm
 
Hongera Ana kwa kuweza kupata kiwango kikubwa Cha pesa tulia kwanza nyumba uza baada ya miaka kumi mbel kwasas uza kiwanja njoo tafuta kibiashara fanya fungua ka hdw kigamboni

Kama unatak ushauri Zaid njoo dm
Sawa mkuu nitakupm haina shda
 
Kwa Hili Umedanganya Mkuu Kununua Kiwanja zanzibar Mtanganyika Ni vigumu sana...

Na Mzungu ananunua Kiwanja kama Mwekezaji na sio Kama Raia..
Na hata Mtanganyika anauziwa kiwanja kama Mwekezaji..
Nimeishi zenji mkuu so Niambie Ulinunuaje
Napaswa kujieleza kwako 🥹, kwani si ushaconclude kwamba similiki ardhi namm nmesema sawa kumbe hatukumaliza mkuu 😀
 
15m nyumba ,Tandika ipi hyo? Fanya utafiti vzur, me nakushauri , kodisha hyo nyumba uanze na biashara ndogo ndogo kikubwa inabidi ukubali maisha ya chini ukijipanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…