Nataka kwenda Kiteto, nipo Gairo naombeni ABC za safari na mji ulivyo

Nataka kwenda Kiteto, nipo Gairo naombeni ABC za safari na mji ulivyo

Duh! Aisee mimi nyumbani kwetu kulikua na Atlas kadhaa. Kwahiyo maramani ya dunia, Africa na Tz yapo kichwani.
Nilishangaa sana kipindi kile majanga yametokea Hanang watu wanahoji Hanang iko mkoa gani?
Mimi haya majina nilishayazoea, Hanang, Katesh, Kiteto, Simanjiro tangu yakiwa mkoa wa Arusha.
Hivi inaanzaga matui alafu kiteto siyo

Ova
 
Wakuu habari za jioni.

Nipo Gairo, nna safari ya kwenda Kiteto naombeni ushauri wa masuala muhimu.

1. Namna ya kufika huko toka hapa nilipo.

2. Gharama za kulala lodge na lodge nzuri na huduma zake.

3. Hali ya hewa na tahadhari za kuchukua mwanzo wa safari hadi mwisho.

4. Any other important information.

Asanteni sana.

The Sunk Cost Fallacy 2
AGROPRODUCT
PakiJinja
Nifah
Kiteto wakuteta sana kuwa makini
Wakuu habari za jioni.

Nipo Gairo, nna safari ya kwenda Kiteto naombeni ushauri wa masuala muhimu.

1. Namna ya kufika huko toka hapa nilipo.

2. Gharama za kulala lodge na lodge nzuri na huduma zake.

3. Hali ya hewa na tahadhari za kuchukua mwanzo wa safari hadi mwisho.

4. Any other important information.

Asanteni sana.

The Sunk Cost Fallacy 2
AGROPRODUCT
PakiJinja
Nifah
Kiteto watakuteta sana kuwa makini
 
Ulizia Lusaka Lodge.....chakula nyama kwa sana ...kuku wa kiennyeji....pub zipo watoto kutoka Kondoa Babati na Tanga .....nzii wengi novemba 2 disemba......viburudisho vipo unaweza jikuta UMEPIGA KAMBI YA KUDUMU
Nipo eneo la tukio kaka. Hapa unyama sana.
 

Attachments

  • IMG_20240823_163103.jpg
    IMG_20240823_163103.jpg
    1.3 MB · Views: 5
nimetoa onyo tu kuna dogo nusura wamdake wakati wa jpm yupo jukwaa la siasa walimseti vizuri ila akawateleza wale watu
Hahaha aje tu, mie mwenyewe mwana usalama kazini😃🤣🤣🤣
Atajisumbua bure.
Kwenye daftari la wageni jina langu halipo.
Na hapa Kiteto Lusaka zipo 3.
 
Mkuu ukiona umechoka hapo, ulizia sehemu inaitwa Mrijo, Hutaboeka, mrangi unachanganya barabara, hii ya kutoka NARCO inakuja Moja kwa Moja kiteto, Ila Kuna nyingine ukifika Ngusero ndio ambayo inafika matui .uelekeo ambao ni tofauti kidogo, ila kama unapafahamu Hadi Soya uko vizuri Mkuu

Kiufupi haya maeneo sio ya kuyachukulia poa, Hapo ulipo ukipata wenyeji maisha hayana tofauti na Mjini
 
Hahaha aje tu, mie mwenyewe mwana usalama kazini😃🤣🤣🤣
Atajisumbua bure.
Kwenye daftari la wageni jina langu halipo.
Na hapa Kiteto Lusaka zipo 3.
Sasa mbona unamuogopa mgeni wako?😆😆😆 huyo dogo ninaemsimulia alikuwa mkosoaji sana wa jpm ila ndio akakutana na kisanga hicho tena walimjia kwa staili ya mambo ya kilimo
 
Sasa mbona unamuogopa mgeni wako?😆😆😆 huyo dogo ninaemsimulia alikuwa mkosoaji sana wa jpm ila ndio akakutana na kisanga hicho tena walimjia kwa staili ya mambo ya kilimo
Ahaa! Kumbe ili udakwe au utekwe na kupotezwa ni Lazima au ni Sharti kuwepo na sababu nzito tena sababu sumbufu na Tishio kwa mamlaka/Dola. Kwa hiyo, kumbe kama hujatimiza vigezo hakuna anayehangaika na wewe.
 
Sasa mbona unamuogopa mgeni wako?😆😆😆 huyo dogo ninaemsimulia alikuwa mkosoaji sana wa jpm ila ndio akakutana na kisanga hicho tena walimjia kwa staili ya mambo ya kilimo
Mimi ndiye mgeni bana. Umechanganya mahesabu.
 
Back
Top Bottom