Sean Paul
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 1,330
- 3,289
- Thread starter
- #41
Sasa bwana afande kama kweli, mimi nitakuwa hapa week nzima. Nitafuteni tu.Ahaa! Kumbe ili udakwe au utekwe na kupotezwa ni Lazima au ni Sharti kuwepo na sababu nzito tena sababu sumbufu na Tishio kwa mamlaka/Dola. Kwa hiyo, kumbe kama hujatimiza vigezo hakuna anayehangaika na wewe.