Uchaguzi 2020 Natamani katika haya majimbo 11 ya Ubunge uchaguzi uwe Huru na wa Haki ili nipime nguvu ya upinzani Tanzania!

Uchaguzi 2020 Natamani katika haya majimbo 11 ya Ubunge uchaguzi uwe Huru na wa Haki ili nipime nguvu ya upinzani Tanzania!

Kwahiyo umeshajua uchaguzi sio huru na haki kwa ujumla wake, ila unataka majimbo hayo tu ndio uwe huru na haki. Kwa taarifa yako uchaguzi huu ukiwa huru na haki, hakuna uwezekano wa Cdm au ccm kushinda kwa zaidi ya 55%@. Na ikitokea hivyo ujue uchaguzi ujao ndio mwisho wa ccm. Ccm sio chama cha kizazi hiki, bali vyombo vya dola tu ndio vinaibeba.
Endelea kuota mchana!
 
Kwahiyo umeshajua uchaguzi sio huru na haki kwa ujumla wake, ila unataka majimbo hayo tu ndio uwe huru na haki. Kwa taarifa yako uchaguzi huu ukiwa huru na haki, hakuna uwezekano wa Cdm au ccm kushinda kwa zaidi ya 55%@. Na ikitokea hivyo ujue uchaguzi ujao ndio mwisho wa ccm. Ccm sio chama cha kizazi hiki, bali vyombo vya dola tu ndio vinaibeba.
Mkuu tindo tunakakiwa tuishinde CCM mwaka huu, tukishindwa tutachukua muda mrefu zaidi, Tulia chini bila ushabiki safu ya wagombea ni kizazi chetu tuu 28 mpaka 37 asili mia 80. Suala la kizazi kependelea chadema linaondoka baada ya uchaguzi huu.
 
Kumbe unajua ukweli kuwa mara nyingi hakunaga 'uhuru na haki'... hongera kwa toba bwashee.
 

Natamani katika haya majimbo 11 ya Ubunge uchaguzi uwe Huru na wa Haki ili nipime nguvu ya upinzani Tanzania!​

kuona nguvu ya wapinzani katika maeneo haya "kiuhalali" kabisa kwa sababu majisifu yao yamezidi sasa.
Natamani uchaguzi uwe huru-ahsante kwa admission kuwa uchaguzi kawaida hauko huru.
 
Kwa mujibu wa mbunge mstaafu wa Chadema mh Lijualikali ni kwamba wabunge wa Chadema huwa wanashinda kwa mbinu za gizani.

Yule alikuwa analeta siasa chafu za tumbo baada ya kutumiwa na ccm. Hakuna mpinzani hasa cdm anaweza kushinda kwa figisu, ukiona mpinzani ameshinda ujue huyo kashinda kihalali fullstop.
 
Kinondoni?Tarimba anapita nyumba kwa nyumba hoi...Chadema plus ACT ..Tarimba chaliiii
 
Amini nakwambia, uchaguzi uwe au usiwe wa haki, CCM haishindi hata jimbo moja hapo
 
I can assure you, hakuna anayeipenda CCM, ukiacha yale matakataka yasiyojua kusoma na kuandika na wanaonufaika na utawala huu!.
 
Afadhali kama umejua uchaguzi unakuwaga sio huru na haki!
 
Ningependa kuwaona ndugai, Mwigulu na Msukuma, wakipigwa chini huko majimboni. Maana hawa wamelewa madaraka sana.

Chadema tutapata wabunge sehemu nyingi hapa nchini. Mikoa ya Mara, Katavi, kagera, Rukwa, Mbeya, Arusha, Dsm, Kilimanjaro, Mwanza, Iringa, Singida, Morogoro, Manyara kigoma (kwa upinzani hata kama sio chadema) na Geita. Huko mchuano ni mkali.

Tanga, Dodoma, Ruvuma, Lindi, Mtwara, Shinyanga, Njombe, Pwani, na Tabora huko tukipata hata mbunge mmoja itakuwa ni bonus. Kwa tathimini pamoja na mazingira magumu na figisufigisu hatutakiwi kukosa wabunge 50+. Na hao inabidi tukaze kweli kweli.
 
Ningependa kuwaona ndugai, Mwigulu na Msukuma, wakipigwa chini huko majimboni. Maana hawa wamelewa madaraka sana.

Chadema tutapata wabunge sehemu nyingi hapa nchini. Mikoa ya Mara, Katavi, kagera, Rukwa, Mbeya, Arusha, Dsm, Kilimanjaro, Mwanza, Iringa, Singida, Morogoro, Manyara kigoma (kwa upinzani hata kama sio chadema) na Geita. Huko mchuano ni mkali.

Tanga, Dodoma, Ruvuma, Lindi, Mtwara, Shinyanga, Njombe, Pwani, na Tabora huko tukipata hata mbunge mmoja itakuwa ni bonus. Kwa tathimini pamoja na mazingira magumu na figisufigisu hatutakiwi kukosa wabunge 50+. Na hao inabidi tukaze kweli kweli.
Kuhusu Msukuma sahau kabisa,jamaa hapigi hata kampeni Kama ilivyokuwa 2015,hana hoja za maana bungeni Ila bado ataendelea kuwa mbunge.
 
Uchaguzi ukiwa uhuru wapinzani wataishangazi CCM mpaka mzee wa chato atabinuliwa.
 


Jimbo Number sita(6) tayari msaidizi wa Mkurugenzi wa uchaguzi yaani RCO (Kamanda wa polisi) karopoka na kumtangaza mshindi kama walivyokubaliana na wakubwaa..Yaani ingekuwa huku Ulaya tayari huyo kamanda mpaka sasa kashafukuzwa kazi lakini sio kwa tume ya huyo sura mbaya (sijui Dr. Mahera upuuzi wake)
 
Back
Top Bottom