Uchaguzi 2020 Natamani katika haya majimbo 11 ya Ubunge uchaguzi uwe Huru na wa Haki ili nipime nguvu ya upinzani Tanzania!

Uchaguzi 2020 Natamani katika haya majimbo 11 ya Ubunge uchaguzi uwe Huru na wa Haki ili nipime nguvu ya upinzani Tanzania!

Ni majimbo yafuatayo:

1. Kawe

2. Mikumi

3. Iringa mjini

4. Mbeya mjini

5. Tunduma

6. Hai

7. Karatu

8. Bunda

9. Tarime mjini

10. Tarime vijijini

11. Arusha mjini

Natamani kuona nguvu ya wapinzani katika maeneo haya "kiuhalali" kabisa kwa sababu majisifu yao yamezidi sasa.

Maendeleo hayana vyama!
Ni majimbo yanayo mnyima usingizi kila mjumbe wa tume wakiwemo wakurugenzi wa miji. Ni majimbo ambayo ushindi hautatambuliwa kwa hesabu ya kura, swala la kumwagika damu wa kuliepusha hajapatikana.
 
Hapo ukitoa karatu,kawe na arusha mjini haya mengne CDM wanashinda more than 70%
Wakuonea huruma zaidi ni Tulia,kashikwa vibaya sana.
Tulia hatashinda lakini ndie mbunge wa mbeya mjini. Ukiwa na swali waulize wana Tabora 2015 nani alishinda na kwa vipi alieshindwa alienda bungeni.
 
Watumishi wote kura ni kwa lissu.Mmeteseka sana miaka 5 bila kupata stahiki zenu.
 
Lijualikali alikuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema!
By then, not now ambapo amegeuka kuwa nyang'au! He is undergoing backward evolution! Ukienda Ulaya hasa nchi zilizostaarabika kama Sweden, kama ulitoka Bongo unatema mate barabarani, kule mazingira ya watu na nchi yao, huwezi kutea mate! You evolve upwards!
 
Back
Top Bottom