Natamani kuacha kazi ya usalama wa Taifa(TISS)

Status
Not open for further replies.
Ewe ndugu yangu Ayoub Chengula kwa nini unajidhalilisha mitandaoni, ndugu zako unatupa tabu huku kijijini.
 
Niko involuntary admitted hapa mwananyamala! We ni mbwa
 
Siyo TISS huyu, ni kibaka tu anayetafuta attention humu! TISS wana miiko yao, hawawezi kuja kuropoka humu! Hawa ni magenge ya wavuta bangi tu!
Bora ya wavuta bangi kuliko TISS, hao TISS ni unprofessional chawa waliojazwa propaganda na kupewa silaha, wamegeuzwa walinzi wa utawala wa CCM na kusahau majukumu yao
 
Mi nimekuelewa sana Mkuu. Najua hali unayopitia si ya kawaida, Pole sana.
 
Nyie ndie wale mnaowatekaga wapinzani na kuwayeyusha ktk uso wa dunia, Damu zao zinawasumbua sasa. pole mkuu tubia then move on na maisha mengine
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…