Natamani kupenda tena

Natamani kupenda tena

Moyo wangu uko tayari kupenda tena ila kinachonipa mawazo ni wapi nitampata mwanaume nitakaempenda kwa dhati, nina tatizo na kuwaamini wanaume wa Dar ila pia sitaki mapenzi ya mbali sababu yalinipotezea mwanaume niliyempenda kuliko mwanaume mwingine chini ya jua.

Na shida yangu sasa huwa nampenda mtu siku ya kwanza nimemuona ila katika pitapita zangu sijaona mtu wa kumpenda mpaka leo yani wanaonifuata hamna hata mmoja anaenivutia.
Duh
 
Sifa ya nini? Chura ipo sema hii ni tatizo sababu hata kama mtu hana mpango na mimi unakuta anakuja kumbe kafuata chura tu. Sitak mwanaume aje kwangu sababu ya chura au uzuri, nataka anipende nilivyo
Sasa ulivyo si pamoja na chura mama huwezi ukaiweka chura pembeni afu uwe wewe
 
Tatizo nililo nalo ni kwamba wanaume wananiogopa, waliobahatika kukaa na mimi wanasemaga niko tofauti na ninavyoonekana yani naonekana mwanamke fulani matawi napenda pesa ila siko hivyo. Labda nina tabia mbaya kweli zisizovumilika lakini hamna mtu aliewahi niambia kwamba nina tabia hii na hii ndo maana wanashindwa kukaa na mimi. Mapungufu ya kibinadamu lazima ninayo ila sio ya kumkimbiza mwanaume kwamba ameshindwa kuvumilia.
Jaribu kujishusha kidogo ili kutoa hiyo hofu waliyojijengea watu wengine dhidi yako
 
Poooooole uenda tatzo unatafut mvuto kwa wanaume hutopat. Ila anayejua thamani ya mwanamke mwenywe utanikumbuk.
 
Namanisha hivi
Kam unangalia mvuto kwa wanaume hautampata mwanaume mweny mvuto....

Ila Kam utatafuta anayejua thaman ya mwanamke we mwenyew utafurah n kunikumbuka
 
Back
Top Bottom