liwaya
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 2,384
- 1,648
Safari hii kundi moja Simba na Yanga halafu mmoja atapita robo ndio tujue nani boraKutokana na ubora wa Yanga natamani kwenye hatua ya makundi ipangwe kucheza dhidi ya Mamelod sundown, Al Ahly au Raja casablanca.
Tusipangiwe na vitimu vya Simba, Power dynamos au Bamako