GK3087
JF-Expert Member
- Sep 16, 2018
- 249
- 258
Sahihi. Muda badoYanga hamjavuka bado, vukeni kwanza ndio mseme mpangiwe na nani, mpira una maajabu yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi. Muda badoYanga hamjavuka bado, vukeni kwanza ndio mseme mpangiwe na nani, mpira una maajabu yake
Nadhani dirisha dogo la usajiri litamaliza hilo.Mkuu angalau wewe unaweza kujadili jambo. Kiufupi sana yanga bado hajapata timu ya kum-challenge tukaona mapungufu zaidi. Hilo la ufungaji inabidi mlitibu mapema mno kwenye group stage nafasi huwa ni chache sana hiyo kuzitumia ni jambo muhimu mno. Game ya jana na wasudani mmepoteza chances za kufunga zaidi ya 5 ambazo group stages hazitakuwepo.
Unafikiri hata huo mpira ana habari nao?Ni kuvua shati gongowazi na kuunga maandamano.Maskini.Raja Casablanca hayupo CAFCL Wala CAFCC mwaka huu, naweka kumbukumbu sawa.
Mbona unajichekesha nyonyo?😂😂😂😂😂 utopoloo pro max sibishani tena na shabiki la uto lolote
Hapo umechambua kisomi ila sometime huwa unajitoa ufahamu mkuu.Kuna tofauti kubwa sana kati ya hii Yanga ya sasa na ile Yanga ya zamani. Yanga ya sasa haiogopi kucheza na timu yoyote ile Barani Afrika. Zaidi tu itawaheshimu wapinzani wake wote atakaokutana naye.
Sema tu mpaka muda huu tumeshindwa kuwa na permanent striker kama ilivyokuwa msimu uliopita.
Na hapa ndipo udhaifu wetu ulipo mpaka sasa. Ila kwingine kote kuko safi.
Mkuu unazungunzia nusu fainali wakati hata makundi hujawahi kufika miaka 20+ [emoji23][emoji23] unadhani ni jambo rahisi sana.Kwanza lazima ukubali kua Yanga
kiwango chao kimepanda, sasa kimepanda kwa ukubwa gani nilazima wakutane na timu imara sana.
Mpaka sasa yanga wamecheza mechi kadhaa lakini hakuna hata timu moja iliyo mchallenge Yanga wakahisi wapo hatarini.
Tunataraji labda group stage inaweza kumfanya Yanga akutane na upinzani ila nahisi kama ipo ni timu moja au mbili si zaidi ya hapo.
Yanga itakutana na challenge ya uhakika nusu fainali na kwa wakati uo safu yao ya ushambuliaji itakua imesha pata dawa.
Wale wote watakao kua wanaichukulia Yanga ya kawaida wataumia sana.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mnarudi tena sokoni nani mtamla kichwa?Nadhani dirisha dogo la usajiri litamaliza hilo.
Punguza tamaa hao RAC hawako CL wala CC kama hutaki endelea kukaza fuvu.... Halafu pia acha papara maana Yanga sianataka kutushangaza, nae anaeza kushangazwa mpira ndo ulivyo.... Ni swala la muda tu.Kutokana na ubora wa Yanga natamani kwenye hatua ya makundi ipangwe kucheza dhidi ya Mamelod sundown, Al Ahly au Raja casablanca.
Tusipangiwe na vitimu vya Simba, Power dynamos au Bamako
Simba kakuonyesha kua Yanga hana striker mzuri rejea mechi ya ngao ya jamii... Sasa iko ivi timu ya Yanga sio inashida kwenye strekingi fosi tu, ila tu haijakutana na timu ya kuwaonyesha madhaifu yao mengine kama hutaki endelea kukaza fuvu ila taimu wili teli.Kuna tofauti kubwa sana kati ya hii Yanga ya sasa na ile Yanga ya zamani. Yanga ya sasa haiogopi kucheza na timu yoyote ile Barani Afrika. Zaidi tu itawaheshimu wapinzani wake wote atakaokutana naye.
Sema tu mpaka muda huu tumeshindwa kuwa na permanent striker kama ilivyokuwa msimu uliopita.
Na hapa ndipo udhaifu wetu ulipo mpaka sasa. Ila kwingine kote kuko safi.
Yoote ayo ayafanyi Yanga isicheze nusu, kumbuka Simba sio Yanga.Mkuu unazungunzia nusu fainali wakati hata makundi hujawahi kufika miaka 20+ [emoji23][emoji23] unadhani ni jambo rahisi sana.
Ukifika makundi ndo utaelewa nn namaanisha. Simba tumeshapitia hilo na tumeshaonja chungu yake ila kwako huwezi kuelewa. Kumbuka kuna mechi za makundi 6 tu huku ligi inaendelea wakati huo ukifika nitakukumbusha hapa namaanisha nn
Wew hujui boli ungekuwa unajua usingetaja hizo timu hapo chinKutokana na ubora wa Yanga natamani kwenye hatua ya makundi ipangwe kucheza dhidi ya Mamelod sundown, Al Ahly au Raja casablanca.
Tusipangiwe na vitimu vya Simba, Power dynamos au Bamako
Walikuwa wanagombania mchepukoKambona hivi ilikuaje mzee wako kumkimbia nyerere na kuishi Uingereza miaka na miaka. Issue ilikuwa ninini hasa
Wahenga walisema "mtoto akililia wembe mpe ajikate"Kutokana na ubora wa Yanga natamani kwenye hatua ya makundi ipangwe kucheza dhidi ya Mamelod sundown, Al Ahly au Raja casablanca.
Tusipangiwe na vitimu vya Simba, Power dynamos au Bamako