Natamani sana timu yangu ya Yanga ipangiwe Mamelod au Al Ahly

Natamani sana timu yangu ya Yanga ipangiwe Mamelod au Al Ahly

Mkuu angalau wewe unaweza kujadili jambo. Kiufupi sana yanga bado hajapata timu ya kum-challenge tukaona mapungufu zaidi. Hilo la ufungaji inabidi mlitibu mapema mno kwenye group stage nafasi huwa ni chache sana hiyo kuzitumia ni jambo muhimu mno. Game ya jana na wasudani mmepoteza chances za kufunga zaidi ya 5 ambazo group stages hazitakuwepo.
Nadhani dirisha dogo la usajiri litamaliza hilo.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya hii Yanga ya sasa na ile Yanga ya zamani. Yanga ya sasa haiogopi kucheza na timu yoyote ile Barani Afrika. Zaidi tu itawaheshimu wapinzani wake wote atakaokutana naye.

Sema tu mpaka muda huu tumeshindwa kuwa na permanent striker kama ilivyokuwa msimu uliopita.
Na hapa ndipo udhaifu wetu ulipo mpaka sasa. Ila kwingine kote kuko safi.
Hapo umechambua kisomi ila sometime huwa unajitoa ufahamu mkuu.
 
Kwanza lazima ukubali kua Yanga
kiwango chao kimepanda, sasa kimepanda kwa ukubwa gani nilazima wakutane na timu imara sana.
Mpaka sasa yanga wamecheza mechi kadhaa lakini hakuna hata timu moja iliyo mchallenge Yanga wakahisi wapo hatarini.

Tunataraji labda group stage inaweza kumfanya Yanga akutane na upinzani ila nahisi kama ipo ni timu moja au mbili si zaidi ya hapo.
Yanga itakutana na challenge ya uhakika nusu fainali na kwa wakati uo safu yao ya ushambuliaji itakua imesha pata dawa.
Wale wote watakao kua wanaichukulia Yanga ya kawaida wataumia sana.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mkuu unazungunzia nusu fainali wakati hata makundi hujawahi kufika miaka 20+ [emoji23][emoji23] unadhani ni jambo rahisi sana.
Ukifika makundi ndo utaelewa nn namaanisha. Simba tumeshapitia hilo na tumeshaonja chungu yake ila kwako huwezi kuelewa. Kumbuka kuna mechi za makundi 6 tu huku ligi inaendelea wakati huo ukifika nitakukumbusha hapa namaanisha nn
 
Kutokana na ubora wa Yanga natamani kwenye hatua ya makundi ipangwe kucheza dhidi ya Mamelod sundown, Al Ahly au Raja casablanca.
Tusipangiwe na vitimu vya Simba, Power dynamos au Bamako
Punguza tamaa hao RAC hawako CL wala CC kama hutaki endelea kukaza fuvu.... Halafu pia acha papara maana Yanga sianataka kutushangaza, nae anaeza kushangazwa mpira ndo ulivyo.... Ni swala la muda tu.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya hii Yanga ya sasa na ile Yanga ya zamani. Yanga ya sasa haiogopi kucheza na timu yoyote ile Barani Afrika. Zaidi tu itawaheshimu wapinzani wake wote atakaokutana naye.

Sema tu mpaka muda huu tumeshindwa kuwa na permanent striker kama ilivyokuwa msimu uliopita.
Na hapa ndipo udhaifu wetu ulipo mpaka sasa. Ila kwingine kote kuko safi.
Simba kakuonyesha kua Yanga hana striker mzuri rejea mechi ya ngao ya jamii... Sasa iko ivi timu ya Yanga sio inashida kwenye strekingi fosi tu, ila tu haijakutana na timu ya kuwaonyesha madhaifu yao mengine kama hutaki endelea kukaza fuvu ila taimu wili teli.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mkuu unazungunzia nusu fainali wakati hata makundi hujawahi kufika miaka 20+ [emoji23][emoji23] unadhani ni jambo rahisi sana.
Ukifika makundi ndo utaelewa nn namaanisha. Simba tumeshapitia hilo na tumeshaonja chungu yake ila kwako huwezi kuelewa. Kumbuka kuna mechi za makundi 6 tu huku ligi inaendelea wakati huo ukifika nitakukumbusha hapa namaanisha nn
Yoote ayo ayafanyi Yanga isicheze nusu, kumbuka Simba sio Yanga.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kutokana na ubora wa Yanga natamani kwenye hatua ya makundi ipangwe kucheza dhidi ya Mamelod sundown, Al Ahly au Raja casablanca.
Tusipangiwe na vitimu vya Simba, Power dynamos au Bamako
Wew hujui boli ungekuwa unajua usingetaja hizo timu hapo chin
 
Kutokana na ubora wa Yanga natamani kwenye hatua ya makundi ipangwe kucheza dhidi ya Mamelod sundown, Al Ahly au Raja casablanca.
Tusipangiwe na vitimu vya Simba, Power dynamos au Bamako
Wahenga walisema "mtoto akililia wembe mpe ajikate"
 
Back
Top Bottom