Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
HArudi tenaUmeachwa na nani da Mau?? Na kwann akuache kwasababu yangu?? Hebu niambie kwanza nimwambie shem arudi 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HArudi tenaUmeachwa na nani da Mau?? Na kwann akuache kwasababu yangu?? Hebu niambie kwanza nimwambie shem arudi 😂😂😂
Sister Jadda una piga vibaya😀😆Haiombwi hivyo mdogo wangu, vijana wa siku hizi sijui mnakwama wapi asee, ongea vizuri na wataalam wa hizo kazi wakufundishe namna ya kuomba
Wewe endelea kujipanga mimi ndiyo na chomoka hivyo, ukimaliza kujipanga unakuta ni mke wa mtu na ana mimba teyariSasa wewe mbona unataka kuniwahi wakati mimi najipanga namna ya kumpiga sound mtoto.
Usijali Mhe. Mbunge, salamu zitafikaMkifika hapo hotelini msalimieni jamaa yangu anaitwa sospeter khened ikiwezekana nifanyieni namna ya kupata namba zake nilipoteza simu na sina namna ya kupata likizo kumtokea huko, mwambieni mbunge anamsalimia ataelewa ni nani.
Nitazungumza naye, nitamwambia asipime Kitabu Kwa kuangalia kava pejiBabu, Lamomy mjuu wako kasema yeye hapendi mwanaume kama mimi Husband material na mwenye sifa ya big boy a.k.a pochi nene, yeye anataka Bad boy wale wahuniwahuni wanaompiga matukio. Kwahio Mimi nimeamua nitulie na Unique Flower .
Kwani kuna nn? Mbona sauti kubwa sana?Au wewe Sexless 😆😆😆
SeniorHaiombwi hivyo mdogo wangu, vijana wa siku hizi sijui mnakwama wapi asee, ongea vizuri na wataalam wa hizo kazi wakufundishe namna ya kuomba
Depal usimsikilize huyu load failed ukuje kwangu, achana nae baby!Wewe endelea kujipanga mimi ndiyo na chomoka hivyo, ukimaliza kujipanga unakuta ni mke wa mtu na ana mimba teyari
Kana akili hako kabinti, katakuwa na madigirii kibao.Nampenda sanà financial services...sema huku ameadimika sanaa
Umewahiwa na nani tena.Labda huyo mwingine, me nishawahiwa my friend.. Asante[emoji120]
Na mtoto wa mamkweUmewahiwa na nani tena.
Duuh, sina hata habari.Na mtoto wa mamkwe
Ka Depal kaache kwanza bado kanadanga!Siku moja natamani sana @Depal au @Leejay49 awe mama watoto wangu msiniulize ni kwanini.
Post bora ya uzi. Kula like mwamba.Ushakua zuzu tayari Jamaa yangu illusion, upo ndotoni usingizi hauji unamfikiria hippopotamus
DepalKa Depal kaache kwanza bado kanadanga!