Natamani wanaume wote tungeweka mgomo kwenye suala la kuhonga. Imefika wakati wadada wa mjini wamegeuza miili kuwa duka

Natamani wanaume wote tungeweka mgomo kwenye suala la kuhonga. Imefika wakati wadada wa mjini wamegeuza miili kuwa duka

Siku moja wakati natoka lindo nikafika bar moja asubuhi nikapaki Suzuki yangu ili nipate supu. Mara mdada mmoja akaja kunisalimia na kujichekesha. Akaniuliza unanikumbuka nikasema yes. Nikamkaribisha supu akasema ameshiba. Wakati nainuka nikampa cha ten, akasema sasa tutawasiliana vipi. Nikashangaa !!! Nikajiuliza moyoni kwani kuna ulazima kila mtu mnayefahamiana kubadilishana namba. Tumebadilishana namba. Next day mtu ananiomba kodi ya nyumba. Huu ni udangaji wa dhahiri.

Huu ni mfano mmoja tu. Kila siku tunakutana na wadangaji. Mmoja aliniomba hela akanunue iPhone huku mimi simu zangu ni za laki na nusu. Hii hali tumeisababisha sisi wanaume kwa kutanguliza fedha kama ulimbo nao wamezoea. Wanaona ni haki yao kununuliwa simu, kulipiwa kodi ya nyumba, umeme, kununuliwa usafiri n.k

From now onwards nitaichunga senti yangu.

Gomeni[emoji1317]
 
Hio hela ya kuhonga Malaya bora ukampe mama mzazi hata gunia la mchele, au ukamtoe hata out mama yako..hela umeitafuta kwa jasho jingi unaenda kuhonga kimalaya kwa starehe ya dakika 10 hadi 20..for what..bora hata awe mkeo au mpenzi ambaye mna malengo, lakini hawa Malaya unawapa hela yako...UTAFILISIKA TU
Nimemfungulia ranch ya borani mpaka Sasa tuna kama ng'ombe sitini na nne
 
Siku moja wakati natoka lindo nikafika bar moja asubuhi nikapaki Suzuki yangu ili nipate supu. Mara mdada mmoja akaja kunisalimia na kujichekesha. Akaniuliza unanikumbuka nikasema yes. Nikamkaribisha supu akasema ameshiba. Wakati nainuka nikampa cha ten, akasema sasa tutawasiliana vipi. Nikashangaa !!! Nikajiuliza moyoni kwani kuna ulazima kila mtu mnayefahamiana kubadilishana namba. Tumebadilishana namba. Next day mtu ananiomba kodi ya nyumba. Huu ni udangaji wa dhahiri.

Huu ni mfano mmoja tu. Kila siku tunakutana na wadangaji. Mmoja aliniomba hela akanunue iPhone huku mimi simu zangu ni za laki na nusu. Hii hali tumeisababisha sisi wanaume kwa kutanguliza fedha kama ulimbo nao wamezoea. Wanaona ni haki yao kununuliwa simu, kulipiwa kodi ya nyumba, umeme, kununuliwa usafiri n.k

From now onwards nitaichunga senti yangu.
Kwa mchina mbezi Beach
 
Siku moja wakati natoka lindo nikafika bar moja asubuhi nikapaki Suzuki yangu ili nipate supu. Mara mdada mmoja akaja kunisalimia na kujichekesha. Akaniuliza unanikumbuka nikasema yes. Nikamkaribisha supu akasema ameshiba. Wakati nainuka nikampa cha ten, akasema sasa tutawasiliana vipi. Nikashangaa !!! Nikajiuliza moyoni kwani kuna ulazima kila mtu mnayefahamiana kubadilishana namba. Tumebadilishana namba. Next day mtu ananiomba kodi ya nyumba. Huu ni udangaji wa dhahiri.

Huu ni mfano mmoja tu. Kila siku tunakutana na wadangaji. Mmoja aliniomba hela akanunue iPhone huku mimi simu zangu ni za laki na nusu. Hii hali tumeisababisha sisi wanaume kwa kutanguliza fedha kama ulimbo nao wamezoea. Wanaona ni haki yao kununuliwa simu, kulipiwa kodi ya nyumba, umeme, kununuliwa usafiri n.k

From now onwards nitaichunga senti yangu.
HAKUNA changu au danga lenye thamni ya zaidi ya shillingi 2,000 tena hii nasema kwa upendeleo na huruma. Danga likija sana sana linunulie mshikaki wa jero na juisi ya muwa tu, akitaka shoo ni bure. Eti umnunulie IPhone yeye ni malaika wa kufuta dhambi, pumbafuuuuu, kwendraaaaa.
 
Mleta mada Mwanaume ataacha kuhonga kama hana hela tu, au ni mjinga mjinga, au wale wanaume wanaolelewa.

Unajua kwa nini viumbe vya kiume vina upper strenght kubwa kuliko vya kike?, that is natural.

Ili Simba aweze kupata jike anapokuwa kijana lazima apigane na Dume lingine ili aonekane udume wake kwa majike.

Sio Simba tu Hata Farasi tena wale wanaoshindwa huwa wanavikundi vyao vinaitwa Bachelors Only Groups, Sio Simba tu hata Majogoo...

Hata hawa wanawake wanodanga ni kwamba hawajakutana tu na mwanaume wa kumhudumia materially.

Kama una malengo makubwa na kufanikiwa kama Mwanaume usiitoe hii Natural Behavior kwako, Kamwe kwame.
Usikubali kuwa dhaifu kifikra eti hutaki kuhonga, yaani hiyo 10K izidishe mara 10.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio hela ya kuhonga Malaya bora ukampe mama mzazi hata gunia la mchele, au ukamtoe hata out mama yako..hela umeitafuta kwa jasho jingi unaenda kuhonga kimalaya kwa starehe ya dakika 10 hadi 20..for what..bora hata awe mkeo au mpenzi ambaye mna malengo, lakini hawa Malaya unawapa hela yako...UTAFILISIKA TU
Hata usipohonga kama Brain yako ni empty utafilisika..

Mbona wanaolalamikia wahongaji ndio wengi wanakuwa hoehae?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibuni UWABATA, huku kiasi cha mwisho kuhonga ni 1000.
IMG_20210118_182552.jpg
 
Tungesikilizana ingekuwa safi sana.
Watu wote wangefanya kazi kwa bidii bila kujali jinsia.
Ni mambo ya ajabu sana binti amepanga anawapanga wanaume na kila mmoja anajiona ana zari.
Wewe mbona unakuta umewapanga wanawake na hauna mpango wa kumuoa hata mmoja? Unataka na wao wafanyaje?
 
Hio hela ya kuhonga Malaya bora ukampe mama mzazi hata gunia la mchele, au ukamtoe hata out mama yako..hela umeitafuta kwa jasho jingi unaenda kuhonga kimalaya kwa starehe ya dakika 10 hadi 20..for what..bora hata awe mkeo au mpenzi ambaye mna malengo, lakini hawa Malaya unawapa hela yako...UTAFILISIKA TU
Mkuu ukitaka usiwape hao malaya hizo hela usitembee nao tulia na mke wako na tena ndiyo itakuwa vizuri sana huyo huyo ndiyo umpe hela na huyo huyo ndiyo utembee naye! Siyo unaenda kumbinua mtoto wa watu huko hauna mpango wa kumuoa halafu unataka umbinue bure nani atakubali huo ujinga?
 
HAKUNA changu au danga lenye thamni ya zaidi ya shillingi 2,000 tena hii nasema kwa upendeleo na huruma. Danga likija sana sana linunulie mshikaki wa jero na juisi ya muwa tu, akitaka shoo ni bure. Eti umnunulie IPhone yeye ni malaika wa kufuta dhambi, pumbafuuuuu, kwendraaaaa.
Aiseee sasa kama hamtaki kuwahonga mnatembea nao wa nini si mtulie na mwanamke mmoja? Mnataka mtoto wa nani akubali kubinuliwa bure wakati anajua kabisa hauna mpango wa kumuoa unapita tu?
 
Back
Top Bottom