Natamani wanaume wote tungeweka mgomo kwenye suala la kuhonga. Imefika wakati wadada wa mjini wamegeuza miili kuwa duka

Natamani wanaume wote tungeweka mgomo kwenye suala la kuhonga. Imefika wakati wadada wa mjini wamegeuza miili kuwa duka

Siku moja wakati natoka lindo nikafika bar moja asubuhi nikapaki Suzuki yangu ili nipate supu. Mara mdada mmoja akaja kunisalimia na kujichekesha. Akaniuliza unanikumbuka nikasema yes. Nikamkaribisha supu akasema ameshiba. Wakati nainuka nikampa cha ten, akasema sasa tutawasiliana vipi. Nikashangaa !!! Nikajiuliza moyoni kwani kuna ulazima kila mtu mnayefahamiana kubadilishana namba. Tumebadilishana namba. Next day mtu ananiomba kodi ya nyumba. Huu ni udangaji wa dhahiri.

Huu ni mfano mmoja tu. Kila siku tunakutana na wadangaji. Mmoja aliniomba hela akanunue iPhone huku mimi simu zangu ni za laki na nusu. Hii hali tumeisababisha sisi wanaume kwa kutanguliza fedha kama ulimbo nao wamezoea. Wanaona ni haki yao kununuliwa simu, kulipiwa kodi ya nyumba, umeme, kununuliwa usafiri n.k

From now onwards nitaichunga senti yangu.
Kwanza kwann ulimpa io elfu
 
Nikamkaribisha supu akasema ameshiba. Wakati nainuka nikampa cha ten, akasema sasa tutawasiliana vipi.

Ulimpa cha ten na sijaona ulipodai chenchi. Kimsingi wewe ni muhongaji unaeshauri wengine wasihonge[emoji28]
 
Tatizo ni kuhonga ukiwa masikini kwasababu una muda wa kutosha kutongoza demu alafu every penny yako counts so ni bora ukaipa hata familia. Mtoa mada nadhani ungeweka tabaka katika huu uzi coz hauwahusu madoni. Swali hivi tajiri anahonga kweli? Point nyningine kuhonga kumesaidia sana wanaume kwa kiasi fulani kwasababu unaeza pata demu ambae naturally sio hadhi yako kabisa so never stop won't stop.
 
Siku moja wakati natoka lindo nikafika bar moja asubuhi nikapaki Suzuki yangu ili nipate supu. Mara mdada mmoja akaja kunisalimia na kujichekesha. Akaniuliza unanikumbuka nikasema yes. Nikamkaribisha supu akasema ameshiba. Wakati nainuka nikampa cha ten, akasema sasa tutawasiliana vipi. Nikashangaa !!! Nikajiuliza moyoni kwani kuna ulazima kila mtu mnayefahamiana kubadilishana namba. Tumebadilishana namba. Next day mtu ananiomba kodi ya nyumba. Huu ni udangaji wa dhahiri.

Huu ni mfano mmoja tu. Kila siku tunakutana na wadangaji. Mmoja aliniomba hela akanunue iPhone huku mimi simu zangu ni za laki na nusu. Hii hali tumeisababisha sisi wanaume kwa kutanguliza fedha kama ulimbo nao wamezoea. Wanaona ni haki yao kununuliwa simu, kulipiwa kodi ya nyumba, umeme, kununuliwa usafiri n.k

From now onwards nitaichunga senti yangu.
Ushauri mzuri, ila wanaume tulivyo waroho it's almost impossible! Tutagoma wachache wenzetu wakifurahia mwanya wa kufaidi pisi kali..
 
Ndiyo hivyo mkuu. We pita naye MPE CHAKE mwache apambane na kilometa zake simple tu.

Halafu kuwa makini na unapomuaddress mtu humu JF. Hamna mahali nimesema mimi ni KE.
Sijakutana nimejibu kutokana na comment
 
Huyu alikua na uhakika kwamba kwa buku ten ashajinunulia kifurushi ndo maana Ana hasira.. [emoji1787][emoji1787]Shubamiiit.
Nilitarajia nitakutana na comment za namna hii. Mission complete. Nalog out
 
Aiseee sasa kama hamtaki kuwahonga mnatembea nao wa nini si mtulie na mwanamke mmoja? Mnataka mtoto wa nani akubali kubinuliwa bure wakati anajua kabisa hauna mpango wa kumuoa unapita tu?
Yaani danga anifuate mimi kujitongozesha mwenyewe baada ya kukosa mwanamme wa kumtapeli....huyo ataambulia mshikaki wa jero tu na juisi ya muwa au togwa......hii tabia ya kuhonga wanawake imepitwa na wakati na ni ujinga tu
 
Yaani danga anifuate mimi kujitongozesha mwenyewe baada ya kukosa mwanamme wa kumtapeli....huyo ataambulia mshikaki wa jero tu na juisi ya muwa au togwa......hii tabia ya kuhonga wanawake imepitwa na wakati na ni ujinga tu
Tabia za kuhonga wanawake ni ya dunia ya tatu
 
MWANAUME LAZIMA UHONGE.......kwa malengo tuu....kama unataka kula tunda kimasihara sawa....malengo muhimu.....hata wife materials.....bila njuruku......humpati.......wako same.....95% kama sio 99%
 
Siku moja wakati natoka lindo nikafika bar moja asubuhi nikapaki Suzuki yangu ili nipate supu. Mara mdada mmoja akaja kunisalimia na kujichekesha. Akaniuliza unanikumbuka nikasema yes. Nikamkaribisha supu akasema ameshiba. Wakati nainuka nikampa cha ten, akasema sasa tutawasiliana vipi. Nikashangaa !!! Nikajiuliza moyoni kwani kuna ulazima kila mtu mnayefahamiana kubadilishana namba. Tumebadilishana namba. Next day mtu ananiomba kodi ya nyumba. Huu ni udangaji wa dhahiri.

Huu ni mfano mmoja tu. Kila siku tunakutana na wadangaji. Mmoja aliniomba hela akanunue iPhone huku mimi simu zangu ni za laki na nusu. Hii hali tumeisababisha sisi wanaume kwa kutanguliza fedha kama ulimbo nao wamezoea. Wanaona ni haki yao kununuliwa simu, kulipiwa kodi ya nyumba, umeme, kununuliwa usafiri n.k

From now onwards nitaichunga senti yangu.
Yaaani mlifika fikaje hadi ukampa elfu 10 inamaana kuna vitu ulimuomba.!
 
Yaaani mlifika fikaje hadi ukampa elfu 10 inamaana kuna vitu ulimuomba.!
Alifika mahali nilipokuwa napata supu. Nikamkaribisha supu akasema ameshiba so nikampa ten imsaidie hata kwa nauli. Maana alianza kuniulizauliza unakwenda wapi sasa hivi. Nikahisi anataka lift
 
Back
Top Bottom