Wordsworth
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,191
- 3,360
Uzi mzima wewe ndo umeongea point. Wanaume wanakazana oo wanawake siku hizi wanataka pesa mara oo tutapata wapi wastaarabu.Aiseee sasa kama hamtaki kuwahonga mnatembea nao wa nini si mtulie na mwanamke mmoja? Mnataka mtoto wa nani akubali kubinuliwa bure wakati anajua kabisa hauna mpango wa kumuoa unapita tu?
Ni hivi wanaume wataacha kuwa ma ATM pale tu watakapoacha kuwafanya wanawake vyombo vya starehe.
La sivyo wakubaliane tu na hali hakuna cha bure.