Natamani wanaume wote tungeweka mgomo kwenye suala la kuhonga. Imefika wakati wadada wa mjini wamegeuza miili kuwa duka

Aiseee sasa kama hamtaki kuwahonga mnatembea nao wa nini si mtulie na mwanamke mmoja? Mnataka mtoto wa nani akubali kubinuliwa bure wakati anajua kabisa hauna mpango wa kumuoa unapita tu?
Uzi mzima wewe ndo umeongea point. Wanaume wanakazana oo wanawake siku hizi wanataka pesa mara oo tutapata wapi wastaarabu.
Ni hivi wanaume wataacha kuwa ma ATM pale tu watakapoacha kuwafanya wanawake vyombo vya starehe.
La sivyo wakubaliane tu na hali hakuna cha bure.
 
Matatizo mnayasababisha wenyewe alafu unakuja kulalamika ujinga wenu hapa. kwani hiyo elfu 10 alikuomba au ni kiherehere chako tu
 
Mkuu hiki cha ten ulichompa kilikua cha nini?!
Halafu alisema unamfahamu ukasema ndio. Mlifahamina kuhusu nini!? Weka hizi Sawa kabla hujatuuumiza kichwa
 
Asante. Umeshamaliza kila kitu.
 
Ndio umeeandika nini na wewe sasa?

Kama una honga wewe endelea kuhonga, lakini sio kutuaminisha kwamba mwanaume kamili lazima ahonge .

Fikiria kwanza kabla ya kuandika
 
Nasikia sifa ya kidume cha mbegu ni ubahiri. Tatizo wengine tuna aibu, tukishavuliwa pichu tu misimbazi inatembezwa
Kumbe hata huyo alikuvulia ndiyo ukampa kaka😂😂umefichaa weee mwishowe umeacha nyeti wazi mwenyewe 😂😂
 
Na wewe ni Danga tu, ndio maana unatetea kuhongwa , pole
 
Mkubwa simamia hapo hapo ,[emoji110][emoji109][emoji106]
 
Hahahahahahah
 
Aiseee sasa kama hamtaki kuwahonga mnatembea nao wa nini si mtulie na mwanamke mmoja? Mnataka mtoto wa nani akubali kubinuliwa bure wakati anajua kabisa hauna mpango wa kumuoa unapita tu?
Lazima mliwe na kuachwa kwavile kwa njaa zenu mnajirahisisha ...Nan atabaki wakati mzigo ushatembezwa kilometers nyingi .... Yan Kama yaliyomo hayamo ...utapigwa chini tuu
 
Lazima mliwe na kuachwa kwavile kwa njaa zenu mnajirahisisha ...Nan atabaki wakati mzigo ushatembezwa kilometers nyingi .... Yan Kama yaliyomo hayamo ...utapigwa chini tuu
Ndiyo hivyo mkuu. We pita naye MPE CHAKE mwache apambane na kilometa zake simple tu.

Halafu kuwa makini na unapomuaddress mtu humu JF. Hamna mahali nimesema mimi ni KE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…