Natangaza rasmi kuachana na siasa

Kila nikiusoma uzi wa yoga kule jamii intelligence halafu niki connect alicho wahi kukiandika The Boss baada ya tukio la Clouds kushambuliwa, jamaa alieleza utoto wa mjini wa Mbowe na born town, nalinganisha na matukio yanayo tokea sasa hvi then narudisha kumbukumbu nyuma wakati wa sakata la Escrow jinsi pesa zilivo gawiwa, kuna zile zilizo pitia ile bank nyingine zamani ilikuaha pale Sukari house kwamba mwamba nae alikula yaani...., nachoka kabisa. Kwasasa huko upinzani I think is only Lissu, Lema, Heche ndio wanaweza kua wasafi. Safari hi Mbowe ametukatisha tamaa wengi, kaporomosha imani yetu kubwa tuliokua nayo kwake. RIP CDM
 
I THINK ITS ONLY LISU PEKEEE HAKUNA MWINGINE zaidi.
 
Apambane akiwa hapo hapo chadema?
 
Kwa vile hukututaafu unavyoingia siasa, hukuwa na sababu ya kutuaga pia
 
Kupigania hvyo nje ya vyama kwa Tz ni ndoto,nchi ya wanasiasa hiii

Unaweza kuunga mkono jitihada bila kuwa na chama. Kwenye maandamano nenda, changia pesa na pongeza wana demokrasia hatuwezi kuwaachia wenye vyama pekee. Hii nchi ya ya wote
 

Watanzania tunapenda kususia sana ni utamaduni mbaya. Mimi nipo US kuna chama cha democratic kimeshidwa lakini watu hawasusii wanajipanga
 
Kwenda huko, who are you! We ilitakiwa utekwe kabisa
 
technically

Wewe ni mtu ambaye tangu juzi nikipitia michango yako napatwa huruma na simanzi sana kwa namna ambavyo ulivyokuwa una react jinsi Chadema inavyokwenda.

Niwe mkweli, Mbowe hajaniumiza kama wewe ulivyoniumiza kwa jinsi ulivyokuwa ukiandika kwa namna ulivyokipigania Chadema.

Mungu akutie nguvu 🙏
 
Too much is harmful
 
Huwezi kuhimili mikiki ya upinzani Tanzania nakushauri tafuta kadi ya ccm.
 
Watu wamekufa haswa lakini Mbowe hafi wala Mtoto wake haguswi....Teh teh

Ukweli ni kuwa:-

MBOWE kamwe akihongwa pesa HAKATAI, kumbuka Bil 10 za Lowassa, yeye ndiye aliyezichukua mpaka Dr. SLAA akamwona hana msimamo, yeye akajiengua na ilibaki kidogo Mnyika naye ajiondoe

Hata kwenye dili la Abdul na Wenje nina uhakika MBOWE analijua vizuri na alipata % zake za kutosha

Ndio maana Tundu Lissu analaumu kwa mengi kwasababu yeye hataki kulamba miguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…