inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kijana,hatuoi ili kupata msaada wa kifedha wa mwanamkeMwee....msaidizi wako maana yake kama ana hela anapaswa kukusaidia sasa wats the point ya kuwa na mtu kisa mbususu tuu wakati kitu hicho kwa sasa kipo readily available
Mmmm sio kweliili msichokane ukioa kila mtu awe na kitanda chake .
mzabzab hapo unaharibu sasaaaTambua ya kwamba mwanamke ni binadamu ana matamanio ya kimwili so kigegedwa na wanaume wengi ni jambo la kawaida. Usije ukavunja ndoa eti kisa mke katombwer huko nje
kwa hiyo tunaoa ili kupata nini?Kijana,hatuoi ili kupata msaada wa kifedha wa mwanamke
sasa naharibu nini wakati ndio hali halisi ya sasa kwenye ndoa nyingi.mzabzab hapo unaharibu sasaaa
🙏🙏🙏Harusi ni sunna njema, kitendo cha watu Wema,owaneni mkae daima kwa mapenzi yalo mema.
Mpende mkeo mlezi wa familia tena ni rafiki yako mchunga nyumba nzima,ukija nyumba kwako mkweli mwaminifu mzuri aso khalifu mcheshi mwenye heshima huondosha hamu yako ukija na maudhiko tena mshauri wako mlinda nyumba nzima.
Twawaombea Salama furaha zisizo mfano kwa Baraka na Neema Allah awape afya nzuri na Watoto wa Kheir.
Rahaaatul Aruusi Yauman Washiddatul Aruusi Daaiman Wabaynahumaa Burdan Burdan,(Raha/Furaha ya harusi ni siku 1ambayo hufanyika sherehe,na shida za harusi zipo kila siku mikwaruzo ktk ndoa,na katika hizo raha na shida kunapatikana burudani furaha ilopitiliza.
Kubwa hili nasisitizaga kwa ndugu zangu wote jamani usisahau ibada mtegemee Mwenyezi Mungu mtangulize Allah kwa kila kitu popote atakuvusha salama.
Huyu anaingia kwenye ndoa sasa unapomwambia namna hiyo unamjenga hofu ambayo hakupaswa kuwa nayosasa naharibu nini wakati ndio hali halisi ya sasa kwenye ndoa nyingi.
wewe tatizo lako unataka kudanganyana kuwa ni wakamilifu wakati ukishakubali madhaifu yetu tunakuwa huru.
mie siewezi kuoa mwanamke breki pumbuz alafu nitegemee kuwa hatagegedwa na wanaume wengine eti tuu kisa tuna cheti cha ndoa. thats just inane.
kabisa mwanawane. dunia ya saa ni mwendo wakushare mbususu na de liboloz😂akae kwa kutulia
sio namjengea hofu namuandaa kisaikolojia kuhusu ukweli na uhalisia wa ndoa.Huyu anaingia kwenye ndoa sasa unapomwambia namna hiyo unamjenga hofu ambayo hakupaswa kuwa nayo
Umesema yote brother1. Mpelekee moto.
2. Mpe hela.
3. EXpect less from her
4. Hakuna jipya sanaa kwenye ndoa.
5. jitahid usiwe mbinafsi , u need to sacrifice more
6. Dont forget urself completelly, u need comfort too..usiwaze sana familia ukajisahau mpaka wewe.
7. Chochote utakachofanya kwa mkeo, dont think u will be appreciated so fanya kwakua ni wajib wako kufanya usifanye ili wakushukuru kumbuka u will never be seen a hero until they lose you.
8. You are not perfect..your wife too...kila mmoja ana madhaifu yake.. appreciate yale machache mazuri aliyonayo..na wewe pia usijalaumu sanaaa pindi unashindwa kukidhi vigezo vyake.....u will not be completelly enough to her soo kila unachoweza fanya usichoweza endelea kujifunza.
9. Jitahid ku maintain your qualities.Mkiwa wawil maisha ya kila siku ni lazima mmoja atamu affect mwenzake positivelly au negativelly..na hili huwa ni ngumu ku notice untill it is too late unajikuta kuna tabia unazo ambazo hukua nazo kabla yake...so either yeye akuvute au wewe umvute uoande wake..ukindwa sanaa hayo mawil basi jitahid ubaki unaffected.
10. Spending sometimes in religious or spiritual moments ni muhim sana ukiwa kwenye ndoa.
11. Usipende kusuluhishwa sana na watuu ..maisha ni ya kwenu and you are in controll as a man..
12. Pesa ndio nguvu za kiume kwa mwanaume.
Mkeo atakuvumilia kwenye yoooote ila sio kwenye njaa..Hapa atakusomesha namba zote zilizoko duniani.
Niishie hapa.
NB.
Nimekushauri kutokana na experience yangu ndogo ya miaka 9 kwenye ndoa.
Na za wake za watu ndio tunazitafuta sana maana hazina gharama wa kumtunza mumewe yupo wewe ni kuichakata tusio namjengea hofu namuandaa kisaikolojia kuhusu ukweli na uhalisia wa ndoa.
sasa akienda na imani kuwa mbususu yake peke yake siku akigundua Mzee wa kupambania anaigegeda sii atajinyonga bure
Kuna tabia hukuwahi kuzijua za mkeo,utazijua ukianza kuishi nae,nyumba Moja,chumba kimoja,kitwnda kimoja.Habari wakuu,
Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa. Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Namba 12,nimeikubali bro!!!Umesema yote brother
Inabidi ipigwe Lamination na iwe pinned ukiingia tu JF unaisoma kama laboratory rules 😁1. Mpelekee moto.
2. Mpe hela.
3. EXpect less from her
4. Hakuna jipya sanaa kwenye ndoa.
5. jitahid usiwe mbinafsi , u need to sacrifice more
6. Dont forget urself completelly, u need comfort too..usiwaze sana familia ukajisahau mpaka wewe.
7. Chochote utakachofanya kwa mkeo, dont think u will be appreciated so fanya kwakua ni wajib wako kufanya usifanye ili wakushukuru kumbuka u will never be seen a hero until they lose you.
8. You are not perfect..your wife too...kila mmoja ana madhaifu yake.. appreciate yale machache mazuri aliyonayo..na wewe pia usijalaumu sanaaa pindi unashindwa kukidhi vigezo vyake.....u will not be completelly enough to her soo kila unachoweza fanya usichoweza endelea kujifunza.
9. Jitahid ku maintain your qualities.Mkiwa wawil maisha ya kila siku ni lazima mmoja atamu affect mwenzake positivelly au negativelly..na hili huwa ni ngumu ku notice untill it is too late unajikuta kuna tabia unazo ambazo hukua nazo kabla yake...so either yeye akuvute au wewe umvute uoande wake..ukindwa sanaa hayo mawil basi jitahid ubaki unaffected.
10. Spending sometimes in religious or spiritual moments ni muhim sana ukiwa kwenye ndoa.
11. Usipende kusuluhishwa sana na watuu ..maisha ni ya kwenu and you are in controll as a man..
12. Pesa ndio nguvu za kiume kwa mwanaume.
Mkeo atakuvumilia kwenye yoooote ila sio kwenye njaa..Hapa atakusomesha namba zote zilizoko duniani.
Niishie hapa.
NB.
Nimekushauri kutokana na experience yangu ndogo ya miaka 9 kwenye ndoa.
nakazia hapa. nothing is guaranteeddhoruba ipo na itakupata tu