Nategemea hii ndio itakuwa story ya mwisho kuileta humu kumuhusu huyu mwanaume

Oooo oky kama unajua na mazingira yake yote huenda hapo ni mfumo tu wake wa maisha anao. Au haupo kwenye moyo wake bali hakilinitu. Sasa kaz kwako kua muamuz sahihi huku ukiijali kesho yako
Sawa
 
Sizani mimi najua kutakuwa na ka mtu ambako lazima akapigie simu kukauliza mawili matatu
Amini usiamini dada yangu unaweza kukuta hata hiyo mtu hayupo, mimi mwenyewe na shemeji yako tunataka kupigana chini kwasababu ya expectations kama hizi
Yaani unataka nikuwaze siku nzima, kazi nifanye na hela pia nikutumie?
 
MAana ya 'communication is key' ni ww umfungukie hvyo ajirekebishe. Effort itoke pande zte mbili. Tofauti n hpo itakua One sided love.

Dont be hard on yourself. If u need someone to talk to am available
 
uandishi wako inaonesha b huyo ni TISS
 
Binti we angalia moyo wako tu,,npo na uyo jamaa ukipga asipopokea ole wako umuulize jibu utalopewa utajuta kuuliza,au asipojib mesej uliza uone🤣,na akikumis hakikisha upo active ole wako asikupate..........mambo ni mengi
Hizi code ni unique kwao
 
hahaha alafu unakaita kakijana kama yupo humu ujue ndio na msg hupati tena
 
MAana ya 'communication is key' ni ww umfungukie hvyo ajirekebishe. Effort itoke pande zte mbili. Tofauti n hpo itakua One sided love.

Dont be hard on yourself. If u need someone to talk to am available
Okay nashukuru
 
nayeye ukimpigia au akitaka kukutafuta anawaza haka kabinti kanataka kunichuna au kana taka kuniharibia malengo
Always he said this “ nimekuchagua wewe kwasababu sio binti wa mambo mengi uko loyal “ jamani mimi kweli sina mambo mengi ila watu naokutana nao ni wa mambo mengi wananivuruga
 
Always he said this “ nimekuchagua wewe kwasababu sio binti wa mambo mengi uko loyal “ jamani mimi kweli sina mambo mengi ila watu naokutana nao ni wa mambo mengi wananivuruga
njoo inbox nikufunde
 
Sasa wewe ni sawa mimi hata sekunde 1 sijawahi ongea nae kwa simu ukiachana na siku ambazo tunaonana tu.. yaani mawasiliano yangu na yeye ni through text
Kumbe hata sms anajibu, hakuna cha ajabu hapo inawezekana nyie ni watu wakanisani sana, au mnaishi kwa kuogopana hata mkipigiana mtakosa story tu 😂 bora mchat tu, damu zenu bado hazijaendana vzur, mvumiliane tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…