John_Anthony
JF-Expert Member
- Mar 27, 2024
- 290
- 460
Mara moja moja sana, kuongea na simu dakika 5 ni nyingi mnoKwaiyo hata simu hupigi tangu muanze husiano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara moja moja sana, kuongea na simu dakika 5 ni nyingi mnoKwaiyo hata simu hupigi tangu muanze husiano
Sasa wewe ni sawa mimi hata sekunde 1 sijawahi ongea nae kwa simu ukiachana na siku ambazo tunaonana tu.. yaani mawasiliano yangu na yeye ni through textMara moja moja sana, kuongea na simu dakika 5 ni nyingi mno
Sijakataa ila yeye hapigi kabisaaaaa ukiona kapiga ni siku mnaenda kuonana na ile kuulizauliza umefika wapi pitia huko sijui nini mkimaliza hapo ni sms kwenda mbeleWe mburukenge Huyo sasa ndio umepata mwanaume.Mwanaume hapigagi simu for no reason mwanaume anatafuta pesa
Sawakimbia futi mia usigeuke hata nyuma. ana wake tayari wewe ni mchepuko. kama hupo tayari kuwa mchepuko vumilia.
AaahKula chuma hicho
SawaTrust your insticts cause They know what you deserve.
And never settle for less than what you deserve
Ni bachelor girlKumbe ni bachelor boy na wewe ni nani kwake?
Tutaweza tuHaya mambo ya kipumbavu Huwa mnapenda kuyajali sana hivi ndoa mtaziweza?
Vipi mtoto anaendeleaje ?Kuna muda utafika, utaona hata kuonana nae faragha ni Jau.
Unless uwe huna majukumu ya kukuweka idle.
Hapana, wao ndo wana mbinu za kupata mbususu.mkuu achana nao watakuchosha tu
Hahaha tatizo wengi mna comments bila kuelewa nini nataka… mimi Sijasema kwamba nataka anitafute kila wakati hapana sio hivyo… unajua mtu anaekupenda utajua tu hata kama yu bize kiasi gani hawezi acha kutenga hata siku moja kwa ajili ya kuongea na mpnz wake kwa njia ya simu…hata kama ni dk 5 zinatoshaaa ili mradi tu ile communication iwepoUmezoea kudate na vivulana umekutana na mwanaume sasa; enzi za kutukuza mbususu tulikuwa nazo tulipokuwa jobless mtaani
Yaani nyie hamueleweki nikikuuliza innocent maana yake nini hata huwezi niambia!Duuh mbona hafananiii.. ukimuona ni very innocent ni kitu kilichonivutia kwake
Hanipi hata vochaPesa hampi? Kama mbususu ingekuwa yakulipia si angeenda tu riverside pale akapata ya bei chee
Sasa mtu anang'ang'ania mahali ambapo anatukanwa na hasikilizwi maana yake nini?Kumbe wanawake wanapenda mateso 😂
Pole yao asee