Yeap mlembo😂 hiii kitu hilinitokea wakati nipo form 6 up chuo wifi yenu halikuwa hanalalamika kuhusu tabiya Kam ya mtu wako sema tumetofautian kweny call na txt mm nilikuwa najitahid call hila naweza kaha 2 week ndy na call na txt hapan siyo mpnz sana wa txt lkn halikuwa kila mda hanapenda ni call ua ni mtumie txt sas kwa upande wang nilijitahidi hila Kuna mda nilibindi nimweleze kuwa nipo hustle mamb yakikaa saw ntakuwa call au txt nahona hiyo hali ndy shem wangu hanapitia Kuna mda mind hasa kwa wanaume Huwa hinatutokea hila kupenda kunakuwa tunawapenda sana sema life hila mambo yakiwa sawa hatakuja kwako tuuu naludia hatamimi nilipitia hiiii hali wife ❤️ hakawa hana wambia ndungu zangu washikaji zangu labda alidhani namchezea