Nategemea hii ndio itakuwa story ya mwisho kuileta humu kumuhusu huyu mwanaume

Nategemea hii ndio itakuwa story ya mwisho kuileta humu kumuhusu huyu mwanaume

Nusu na nusu zikiungana inakua kitu kizima (weka tabia zako aweke zake mtengeneze ukamilifu na hii ndio maana halisi ya mahusiano).

And let's talk positively now...

Iko hivi, usichokijua ni kwamba watu hutofautiana kisifa kwahiyo unavyohama kutoka kwenye mahusiano ya zamani kwenda mapya inatakiwa sifa za yale ya zamani uachane nazo kabisa ili uweze kuanza upya.

Na unapoanza upya lazima utakutana na mapungufu tu, na kwenye hayo mapungufu yapo ambayo yanaweza kubadilika kwa haraka lakini yapo mengine ambayo yanahitaji muda kubadilika (kwahiyo ni wewe sasa kupima kama yanavumilika kwako au hayavumiliki kwa maana mwisho wa siku mapenzi ni maisha na ili uweze kufurahia lazima uwe comfortable).

Lakini pia mwanamume yeyote mwenye ndoto kubwa na anaechukua hatua thabiti kuzifikia ndoto zake usitegemee atakuwa anapatikana Kila wakati (tunapambania kombe na always tupo na vipaombele vyetu, kwahiyo ukiweka kwenye mzani mapenzi na pesa utagundua mapenzi yapo tu, usipoyapata ujanani utayapata, but vipi kuhusu pesa?).

Kwahiyo wanamume ambao wapo available Kila wakati ni wale ambao tayari walishatimiza ndoto zao au ni wale ambao hawana mishe za kufanya au ni wale ambao wamesharidhika na walichonacho au ni wale ambao wanakujaza ili wapate wanachotaka na wakishapata wanarudi kwenye default mode yao au ni low value man (so ukiona mpenzi wako yuko available sana inatakiwa ukae kitaalamu kidogo).

Lakini pia unapaswa ujiulize ya kwamba wanawake wanapenda sana kupewa attention so huo muda wa kubebishana ambao anakupa wewe hadi kukufanya uhisi furaha yako iko mikononi mwake anaouwezo wa kuwapa wanawake wengine kama wewe na wakajihisi kama unavyojihisi.

Ila mwanamume ambae Hana huo muda ni ngumu sana kudate na Kila mwanamke kwa maana wengi wanakua ni high value men.

NB:
Wadada wengi ambao wanasifiwa mara kwa mara kwamba wao ni wazuri au wale wadada ambao wako vizuri kiuchumi au wale wadada ambao wako na vyeo makazini au wale wadada ambao wako karibu sana na baba zao huwa wako na tabia ya aina hiyo.
🥳🎉
 
Nusu na nusu zikiungana inakua kitu kizima (weka tabia zako aweke zake mtengeneze ukamilifu na hii ndio maana halisi ya mahusiano).

And let's talk positively now...

Iko hivi, usichokijua ni kwamba watu hutofautiana kisifa kwahiyo unavyohama kutoka kwenye mahusiano ya zamani kwenda mapya inatakiwa sifa za yale ya zamani uachane nazo kabisa ili uweze kuanza upya.

Na unapoanza upya lazima utakutana na mapungufu tu, na kwenye hayo mapungufu yapo ambayo yanaweza kubadilika kwa haraka lakini yapo mengine ambayo yanahitaji muda kubadilika (kwahiyo ni wewe sasa kupima kama yanavumilika kwako au hayavumiliki kwa maana mwisho wa siku mapenzi ni maisha na ili uweze kufurahia lazima uwe comfortable).

Lakini pia mwanamume yeyote mwenye ndoto kubwa na anaechukua hatua thabiti kuzifikia ndoto zake usitegemee atakuwa anapatikana Kila wakati (tunapambania kombe na always tupo na vipaombele vyetu, kwahiyo ukiweka kwenye mzani mapenzi na pesa utagundua mapenzi yapo tu, usipoyapata ujanani utayapata, but vipi kuhusu pesa?).

Kwahiyo wanamume ambao wapo available Kila wakati ni wale ambao tayari walishatimiza ndoto zao au ni wale ambao hawana mishe za kufanya au ni wale ambao wamesharidhika na walichonacho au ni wale ambao wanakujaza ili wapate wanachotaka na wakishapata wanarudi kwenye default mode yao au ni low value man (so ukiona mpenzi wako yuko available sana inatakiwa ukae kitaalamu kidogo).

Lakini pia unapaswa ujiulize ya kwamba wanawake wanapenda sana kupewa attention so huo muda wa kubebishana ambao anakupa wewe hadi kukufanya uhisi furaha yako iko mikononi mwake anaouwezo wa kuwapa wanawake wengine kama wewe na wakajihisi kama unavyojihisi.

Ila mwanamume ambae Hana huo muda ni ngumu sana kudate na Kila mwanamke kwa maana wengi wanakua ni high value men.

NB:
Wadada wengi ambao wanasifiwa mara kwa mara kwamba wao ni wazuri au wale wadada ambao wako vizuri kiuchumi au wale wadada ambao wako na vyeo makazini au wale wadada ambao wako karibu sana na baba zao huwa wako na tabia ya aina hiyo.
Ni kweli mkuu lakini mikausho isiwe too much inaumiza moyo
 
Upuuzi wa aina hii umefanya niachane na kitoto hivi majuzi. Sometimes wananume tupo na vitu vingi vya kuwaza na kufanya, mahusiano tunayafanya kama sehemu ya kurefresh ubongo tu. Ila kwa bahati mbaya unakutana na kitoto kimetoka UDSM na upuuzi wa love story hamna rangi utaacha kuona.
Anyway mwamba yupo sawa kwa upande wangu.
 
uzuri akikutafta hadai maswala ya sex ni muongee aridhike🤣
Inategemeana sio wakati wote wakati mwingine ni salamu tu na blablah wakati mwingine ndio kupanga meeting but halazimishi.. ni mtu ambae amesoma na ni muelewa
 
Kile ambacho unapenda akufanyie mara kwa mara,anza leo kumfanyia wewe
Mpigie simu mara kwa mara,muandikie sms mara kwa mara, uone kama atakusahau
Mwanaume aliepitia changamoto ya kuteswa na mwanamke aliempenda,Mwanaume huyo huwa na asilimia ndogo sana ya kumjali mwanamke mwingine
 
Upuuzi wa aina hii umefanya niachane na kitoto hivi majuzi. Sometimes wananume tupo na vitu vingi vya kuwaza na kufanya, mahusiano tunayafanya kama sehemu ya kurefresh ubongo tu. Ila kwa bahati mbaya unakutana na kitoto kimetoka UDSM na upuuzi wa love story hamna rangi utaacha kuona.
Anyway mwamba yupo sawa kwa upande wangu.
Mimi sijataka anitafute ama tutafutane kila wakati hata mimi nipo bize na kazi zangu but kuna ile time una miss apige hata simu lakini kimya… yaani ni kuchart tu kama wanafunzi
 
Kile ambacho unapenda akufanyie mara kwa mara,anza leo kumfanyia wewe
Mpigie simu mara kwa mara,muandikie sms mara kwa mara, uone kama atakusahau
Mwanaume aliepitia changamoto ya kuteswa na mwanamke aliempenda,Mwanaume huyo huwa na asilimia ndogo sana ya kumjali mwanamke mwingine
Vyote hivyo sishindwi mkuu… sema kitu kinauma ni ile ukimpigia hapokei anakwambia niko bize ndio imeisha yaani mpk akupigie yeye… sasa penzi gani hilo
 
Nimeishia kusoma pale uliposema huwa anakupigia simu kama anakuelekeza pa kukutania...

Sikujui lakini kupitia maandishi yako unaonekana wewe ni MTU MZIMA.

Tafuta mume olewe, uachane na hizi habari za kukutana vichakani na lodge. Jiheshimu!

Tena kuna mahali unasema kutokana na uzoefu wa mapenzi ya nyuma. Mwambie huyo jamaa akuoe ama utafute mtu mwingine akuoe utulie badala ya kulilia kupigiwa simu kama umevunja ungo jana!
 
Mlembo mlembo au sio
Yeap mlembo😂 hiii kitu hilinitokea wakati nipo form 6 up chuo wifi yenu halikuwa hanalalamika kuhusu tabiya Kam ya mtu wako sema tumetofautian kweny call na txt mm nilikuwa najitahid call hila naweza kaha 2 week ndy na call na txt hapan siyo mpnz sana wa txt lkn halikuwa kila mda hanapenda ni call ua ni mtumie txt sas kwa upande wang nilijitahidi hila Kuna mda nilibindi nimweleze kuwa nipo hustle mamb yakikaa saw ntakuwa call au txt nahona hiyo hali ndy shem wangu hanapitia Kuna mda mind hasa kwa wanaume Huwa hinatutokea hila kupenda kunakuwa tunawapenda sana sema life hila mambo yakiwa sawa hatakuja kwako tuuu naludia hatamimi nilipitia hiiii hali wife ❤️ hakawa hana wambia ndungu zangu washikaji zangu labda alidhani namchezea
 
Binti we angalia moyo wako tu,,npo na uyo jamaa ukipga asipopokea ole wako umuulize jibu utalopewa utajuta kuuliza,au asipojib mesej uliza uone🤣,na akikumis hakikisha upo active ole wako asikupate..........mambo ni mengi
Mambo
 
Acha ubinafsi.. kila mtu ana jukumu la kulinda penzi.

Yaani wewe tu ndo unataka utafutwe. Kama nani...!
 
Mimi sijataka anitafute ama tutafutane kila wakati hata mimi nipo bize na kazi zangu but kuna ile time una miss apige hata simu lakini kimya… yaani ni kuchart tu kama wanafunzi
Hata hiyo kuchart shukuru Mungu, mfano mimi nimewahi kupotea nyumbani mwaka na miezi kadhaa no call, txt wala kujua nilipo mpaka wakaweka msiba. Ila mwisho wa siku nikarudi salama na maisha yakaendelea(hapa wazazi waliwaza mengi).
Af leo naishi normal life anakuja binadamu kunihoji why sijamtafuta siku mbili aisee namuona kama kakatwa kichwa for real.
 
Nimeishia kusoma pale uliposema huwa anakupigia simu kama anakuelekeza pa kukutania...

Sikujui lakini kupitia maandishi yako unaonekana wewe ni MTU MZIMA.

Tafuta mume olewe, uachane na hizi habari za kukutana vichakani na lodge. Jiheshimu!

Tena kuna mahali unasema kutokana na uzoefu wa mapenzi ya nyuma. Mwambie huyo jamaa akuoe ama utafute mtu mwingine akuoe utulie badala ya kulilia kupigiwa simu kama umevunja ungo jana!
Ndugu ingekuwa sisi tunaweza kujioa ningejiooa, huyo mtu namtafuta wapi wa kunioa ,, unaongea kama vitu rahisi yaan ni kama kuna mwanaume amekaa anasubiri nimchukue anioe
 
Back
Top Bottom