- Thread starter
- #41
Kweli eeKuna muda utafika, utaona hata kuonana nae faragha ni Jau.
Unless uwe huna majukumu ya kukuweka idle.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli eeKuna muda utafika, utaona hata kuonana nae faragha ni Jau.
Unless uwe huna majukumu ya kukuweka idle.
Anaelekea 30mna umri gani,
Mimi sishindwi kumtafuta but kuna mazingira ya mahaba ambayo hayaoneshi kwangu mwisho wa siku mimi huwa Naona Kama najipendekeza kitu nachotamani atengeneze mazingira ya kufanya na mimi niwe namtafuta sasa hafanyi hivi nashindwaWewe mwenyewe humpigii adi aanze yeye kila siku na yeye anawaza Kama unavyowaza
Kuimba kupokezana
Acha kabisaa… ndio nimejua kwanini watu huwa na backupMuache huyo anakupotezea muda..!!
Pesa hakupi, muda wake hakupi ila yeye akitaka kipapa unakipeleka 😹😹
Vizuri km ushazoea huyo hali.nilteseka mwanzo now sijali wala nin
Duuh mbona hafananiii.. ukimuona ni very innocent ni kitu kilichonivutia kwakeHuyu itakuwa ni moja ya wale wavulana wabaya(bad boys) wanaovuma humu jukwaani.
Anang'ata na kupuliza, kisha anakula.
Na vile wanawake mnapenda mateso, basi huchomoi.
Nadhani pia hao wavulana wabaya ndo wanasababisha single mothers.
Siku hizi yanayo mkuuHayanaga mwongozo
Cc : Tumbili wa mjini
Hapana sio nina mfahamuMume wa mtu
Amka uangaze
Binti we angalia moyo wako tu,,npo na uyo jamaa ukipga asipopokea ole wako umuulize jibu utalopewa utajuta kuuliza,au asipojib mesej uliza uone🤣,na akikumis hakikisha upo active ole wako asikupate..........mambo ni mengi
Ndo nakuambiaa!!Kweli ee
Sema sawaKama hunielewi wewe usinielewe tu si lazima mkuu
Hujui tu umuhimu wa mawasiliano kama hakuna commitment of communication mahusiano yanayumba,, sisemi mtafutane kama hela but kuwasiliana ni jambo zuriUjinga tu, unataka utafutwe tafutwe wewe ni hela au uzima wa milele.
Kama mto unapelekewa unataka nini tena?
Kumbe wanawake wanapenda mateso 😂Huyu itakuwa ni moja ya wale wavulana wabaya(bad boys) wanaovuma humu jukwaani.
Anang'ata na kupuliza, kisha anakula.
Na vile wanawake mnapenda mateso, basi huchomoi.
Nadhani pia hao wavulana wabaya ndo wanasababisha single mothers.
Uzi ungeishia hapaMume wa mtu
Amka uangaze
Wewe acha yayumbe na ikibid yaanguke watu tuko wengi na wote tunasubir hiyo huduma toka kwako mrembo.Hujui tu umuhimu wa mawasiliano kama hakuna commitment of communication mahusiano yanayumba,, sisemi mtafutane kama hela but kuwasiliana ni jambo zuri
Ni kweli mkuu mimi pia hilo jambo linanikosesha raha kwasababu ex wangu mimi alikuwa anafanya kazi ngumu sana kiasi kwamba akicheat akakudanganya yuko bize lazima uamini.. but hawezi acha kunitafuta hata siku moja huwa ananipa taarifa kwamba nitakuwa bize basi mtu unaelewa ila huyu unamuona anapost biashara zake ila kukutafuta aaahHakuna mtu aliye busy kwa mpenzi wake ampendae, atatafuta hata dakika moja ya kukupigia asikie sauti yako. Kwahiyo dada silikiza moyo wako maana mapenzi hayana ushauri.
Ila ningekuwa mimi kwakweli ningeendelea na maisha yangu tuu hakuna kitu kinakera kama wewe ndio unaonyesha effort za mawasiliano mtu anajifanya yupo busy text ya asubuhi anajibu usiku, huo ni upuuzi. Kuna mambo mengi ya muhimu zaidi ya mapenzi dada.
Anakuwa bize ni kweli sijakataa… but sidhani kama anakosa nafasi ya kula kwanini muda anaokula ama kwwnda kukojoa asinicheckkuna sababu nyingi pengine jamaa anakujaribu uvumilivu wako, pengine ni life style yake, pengine amebanwa na kazi hebu jaribu kufanya uchunguzi vizuri moja kwa moja kutoka kwake ndipo uchukue hatua
Ndio mimi napoelekeanilteseka mwanzo now sijali wala nin
Mlembo mlembo au sioAise mlembo wangu ko ndy umekuja kunistaki humu. 🙆 please mama la mama nakupenda Kuna mchongo nafanya mambo yata kaaa sawa siunajuwa shughulizangu ni swala ya mda mambo yatakuwa sawa na 4,4,3 means kila baada ya masaa 4 ntakuwa nakupigia simu na 3 kablwa ya kulala ntakuwa nakupigia mlembo wangu your my future wife ❤️❤️ usinihangushe mlembo wangu ntabandilika 🙏🙏🙏