- Thread starter
- #61
Mimi kila siku napenda naumizwa sijui ni pendapendaNaona unaumia sana,
Bado mbichi kwenye mapenzi sio?
Utafika wakati uta let go. Let the pain sink first
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kila siku napenda naumizwa sijui ni pendapendaNaona unaumia sana,
Bado mbichi kwenye mapenzi sio?
Utafika wakati uta let go. Let the pain sink first
OohSafi sana. Hakuna kuweka binadamu mwenzako kwenye pesestal. Kila mtu aplay part yake equally.
uzuri akikutafta hadai maswala ya sex ni muongee aridhike🤣Huu ni utumwa
Kwaiyo hata simu hupigi tangu muanze husianoSiku tatu tu ndio unalia lia, binafsi hata mimi niko hivo hivo sipendi kabisa kupigia simu mtoto wa mtu, kwa kifupi sipendi kupiga story kwenye simu labda niwe natoa taarifa au kupokea taarifa kuhusu jambo fulani, kama wewe unaamini kuongea ongea mara kwa mara kwenye simu ndio mapenzi mwache tu maana utalalamika sana na haita saidia ndio tulivo hivo hivo, hata mimi nimeachwa na madem wawili kisa swala hilo hilo nikasema fresh tu hata siwazi wala nini,
Nyie ni wapenzi watazamaji?uzuri akikutafta hadai maswala ya sex ni muongee aridhike🤣
Nusu na nusu zikiungana inakua kitu kizima (weka tabia zako aweke zake mtengeneze ukamilifu na hii ndio maana halisi ya mahusiano).Habari zenu wana JF
Nimekuwa nikileta story ya huyu mwanaume ni kama huu ni uzi wake wa 4 ama wa 3 nikihitaji ushaurii kuhusu mahusiano yetu mimi na yeye.. ninafikiri Leo Hii ndio itakuwa mara ya mwisho kumjadili humu na maamuzi nitayafaya kupitia huu uzi wa Leo Hii ( kuachana ama kubaki nae )
Huu mwezi unaenda wa 5 niko na huyu Kijana nashindwa kumsoma kabisa sijui ni mahaba yamezidi kwake ama nimeanza kupoteza kujiamini..
Nilileta kisa kuwa huyu Kijana anatabia ya kuni ghost kiaina kitu ambacho kinaniweka dilemma..
Kwa upande wangu sijui kama nitakuwa ninakosea ama niko sawa
Hipo hivi, kutokana na mahusiano niliyopita nilishazoea hiki kitu kwamba mwanaume ndio ana jukumu la kupambania penzi haswa kwenye upande wa mawasiliano.. nimezoea kupigiwa simu, kutumiwa sms na kujaliwajaliwa.. sasa huyu mtu niliempata sasa ni tofauti kabisaa hali inayonifanya nijisikie vibaya nihisi kama hanipendi
Nisiwe Muongo, huyu Kijana mara nyingi amekuwa akinitafuta yeye kunisalimia na kuongeaongea blablah.. mimi humtafuta mara chache sana na hiyo kama nikiona amenichunia sana ndio namtafuta
Kinachoninyima raha zaidii huyu jamaa yeye hapigagi Simu zaidii ya sms tu.. yaani kuchat, na siku ukiona amekupigia simu ujue ni siku mnaenda kuonana ndio atapiga simu kukuelekeza alipo ama mtakapoonana zaidii ya hapo hutopokea simu yake.. na Kama ukimpigia simu huwa hapokei atakutumia sms am busy
Jamani huyo ni mpnz gani ambae hamiss sauti ya mpnz wake, yaani husuniano letu tangu tuanze ni hivohivo.. sikatai anaweza kuwa ni mtu ambae hapendi kuongea na simu but mara mojamoja kuna shida gani kama tutaongea.. mimi sio kwamba siwezi kumtafuta ni naweza sana ila kuna yake mazingira siyaelewi kwake,, yaani nahisi kama hanipendi najipendekeza kwake , kwaiyo napata ugumu sana kuwa namtafutatafuta
Navowaambia Leo ni siku ya 2 hatujawasiliana… mimi kwakweli sijui ni kiburi ama ni nini nashindwa kumtafuta kabisaa akili yangu inaniambia kama ananipenda yeye ndio aniangaikie sio mimi kumuangaikia yeye
Na kila nikisema namuacha unakuta ananitafuta basi Kuna vitu ananiambia ambavyo vinanifanya nimuonee huruma, utasikia kuna vitu napitia tukionana nitakwambia basi naghairi ila ndio hivyo mpk now sijaonana nae kutokana na sababu za kikazi
Naombeni ushaurii kwa Hii changamoto ninayopitia… je ninachofanya Mimi ni sahihi kumuacha yeye aniangaikie kwanza,, je Kuna mahusiano kweli hapa au napotezewa muda
Kweli mwanaume anaekupenda anaweza kukaa hajakutafuta siku 3 wala haongeagi na simu na mpnz wake maana Hii imekuwa mpya kwangu
Hahahaha we sema na moyo wako,kuna watu wameumbwa ivoHalafu ni kama mchawi vile nimemaliza tu ku post uzi huu ameshanitumia na sms unaeza kuta yupo humu nae ni team kataa ndoa
Ndoa mkuuNyie ni wapenzi watazamaji?
Ama ndio hadi ndoa?
Hakuna mapenzi hapoBinti we angalia moyo wako tu,,npo na uyo jamaa ukipga asipopokea ole wako umuulize jibu utalopewa utajuta kuuliza,au asipojib mesej uliza uone🤣,na akikumis hakikisha upo active ole wako asikupate..........mambo ni mengi
itapendeza coz nawewe si una kazi za kufanya, keep bize bwan weweNdio mimi napoelekea
Mimi ninavyo vya kuongea sema hanipigiiHuyo ni Mimi kabisaaaa!!! Unaweza Kuta mdada anakupigia simu muongeee lakini hana Cha kuzungumza, ujumbe Gani usiochstika
🙄 asante kwa kunikumbusha,,ila kwa tulipofikia mapenz yapo ila ni vile alivo hata ubinuke vip hawez badilika.Hakuna mapenzi hapo
Nilishamzungumzia humu wala hajawai nihudumia hata mia hiyo sex tunafaidishana wala hanigharamikiii kwa chochoteAkupambanie kukutafuta n kukupetipeti na bado awe anatumia hela yake kukuhudumia wewe Kama mtt wake, basi wewe pambania ama simamia limoja kati ya hayo.
Wewe ndio mnufaika mkubwa wa mahusiano mwanaume yeye anafaidika ngono tu Tena Muda machache mno, Ila wewe waweza kutunziwa kv kulishwa,kuvalishwa akakupa mbegu ukapata mtt, akajenga nyumba ukaishi na mwanao,akakusomeshea mwanao Mana mwishoni atakuwa anapiga stori na wewe na ataandika kwenye gari lake kuwa ni nani Kama mama,.
Yaani mie naona Kama mahusiano Yana faida kubwa kwako mno kuliko mwanaume, mwanaume yeye ni kukut00mba napo utataka ahangaike zaidi ili uridhike ama akukojoleshe Nako itabidi awaze namna ya kukupiga paipu,
Yaani wewe kuhangaika kitandani ukampa romance,ukaikatikia mpaka safari ama amalize round tatu yeye amelala tu anasikilizia utamu na unavyojituma Nina uhakika huwezi,yaani ukatike mwanaume akojoe vitatu utaawahi kujilaza kuwa umechoka, yaani hizi tamaa tulipewa za kuwa watumwa wenu, na ndio alioa mwingine unanuna na ilhali Kila kitu unapewa.
So pambana Mana hujui Kama utapata mwingine usiwe mbinafsi wa kupenda faida Kila eneo, pengine jitoe na wewe ,mhangaikie ama huna shida Naye unaweza ukaishi na dildo ama paka, haya bana najua mmependelewa