Nategemea hii ndio itakuwa story ya mwisho kuileta humu kumuhusu huyu mwanaume

Nategemea hii ndio itakuwa story ya mwisho kuileta humu kumuhusu huyu mwanaume

Habari zenu wana JF

Nimekuwa nikileta story ya huyu mwanaume ni kama huu ni uzi wake wa 4 ama wa 3 nikihitaji ushaurii kuhusu mahusiano yetu mimi na yeye.. ninafikiri Leo Hii ndio itakuwa mara ya mwisho kumjadili humu na maamuzi nitayafaya kupitia huu uzi wa Leo Hii ( kuachana ama kubaki nae )

Huu mwezi unaenda wa 5 niko na huyu Kijana nashindwa kumsoma kabisa sijui ni mahaba yamezidi kwake ama nimeanza kupoteza kujiamini..

Nilileta kisa kuwa huyu Kijana anatabia ya kuni ghost kiaina kitu ambacho kinaniweka dilemma..

Kwa upande wangu sijui kama nitakuwa ninakosea ama niko sawa

Hipo hivi, kutokana na mahusiano niliyopita nilishazoea hiki kitu kwamba mwanaume ndio ana jukumu la kupambania penzi haswa kwenye upande wa mawasiliano.. nimezoea kupigiwa simu, kutumiwa sms na kujaliwajaliwa.. sasa huyu mtu niliempata sasa ni tofauti kabisaa hali inayonifanya nijisikie vibaya nihisi kama hanipendi

Nisiwe Muongo, huyu Kijana mara nyingi amekuwa akinitafuta yeye kunisalimia na kuongeaongea blablah.. mimi humtafuta mara chache sana na hiyo kama nikiona amenichunia sana ndio namtafuta

Kinachoninyima raha zaidii huyu jamaa yeye hapigagi Simu zaidii ya sms tu.. yaani kuchat, na siku ukiona amekupigia simu ujue ni siku mnaenda kuonana ndio atapiga simu kukuelekeza alipo ama mtakapoonana zaidii ya hapo hutopokea simu yake.. na Kama ukimpigia simu huwa hapokei atakutumia sms am busy

Jamani huyo ni mpnz gani ambae hamiss sauti ya mpnz wake, yaani husuniano letu tangu tuanze ni hivohivo.. sikatai anaweza kuwa ni mtu ambae hapendi kuongea na simu but mara mojamoja kuna shida gani kama tutaongea.. mimi sio kwamba siwezi kumtafuta ni naweza sana ila kuna yake mazingira siyaelewi kwake,, yaani nahisi kama hanipendi najipendekeza kwake , kwaiyo napata ugumu sana kuwa namtafutatafuta

Navowaambia Leo ni siku ya 2 hatujawasiliana… mimi kwakweli sijui ni kiburi ama ni nini nashindwa kumtafuta kabisaa akili yangu inaniambia kama ananipenda yeye ndio aniangaikie sio mimi kumuangaikia yeye

Na kila nikisema namuacha unakuta ananitafuta basi Kuna vitu ananiambia ambavyo vinanifanya nimuonee huruma, utasikia kuna vitu napitia tukionana nitakwambia basi naghairi ila ndio hivyo mpk now sijaonana nae kutokana na sababu za kikazi

Naombeni ushaurii kwa Hii changamoto ninayopitia… je ninachofanya Mimi ni sahihi kumuacha yeye aniangaikie kwanza,, je Kuna mahusiano kweli hapa au napotezewa muda
Kweli mwanaume anaekupenda anaweza kukaa hajakutafuta siku 3 wala haongeagi na simu na mpnz wake maana Hii imekuwa mpya kwangu
Ukweli ni kwamba mwambie haya masikitiko yako uso kwa uso huku ukimpa makataa,kwamba hii ni mara ya mwisho asipobadilika muache,black namba zake za simu na wewe fata hamsininzako,utampata mwanaume wa nyota yako
 
Ukisikia wanawake ni wapumbavu na bora kutafuta bikira ndo hivi; wewe unataka leta mazoea yako ya wanaume uliokuwa unawafanya watumwa

“kupambania penzi haswa kwenye upande wa mawasiliano”

Kwa kifupi huna thamani unayofikiri unayo!
 
Habari zenu wana JF

Nimekuwa nikileta story ya huyu mwanaume ni kama huu ni uzi wake wa 4 ama wa 3 nikihitaji ushaurii kuhusu mahusiano yetu mimi na yeye.. ninafikiri Leo Hii ndio itakuwa mara ya mwisho kumjadili humu na maamuzi nitayafaya kupitia huu uzi wa Leo Hii ( kuachana ama kubaki nae )

Huu mwezi unaenda wa 5 niko na huyu Kijana nashindwa kumsoma kabisa sijui ni mahaba yamezidi kwake ama nimeanza kupoteza kujiamini..

Nilileta kisa kuwa huyu Kijana anatabia ya kuni ghost kiaina kitu ambacho kinaniweka dilemma..

Kwa upande wangu sijui kama nitakuwa ninakosea ama niko sawa

Hipo hivi, kutokana na mahusiano niliyopita nilishazoea hiki kitu kwamba mwanaume ndio ana jukumu la kupambania penzi haswa kwenye upande wa mawasiliano.. nimezoea kupigiwa simu, kutumiwa sms na kujaliwajaliwa.. sasa huyu mtu niliempata sasa ni tofauti kabisaa hali inayonifanya nijisikie vibaya nihisi kama hanipendi

Nisiwe Muongo, huyu Kijana mara nyingi amekuwa akinitafuta yeye kunisalimia na kuongeaongea blablah.. mimi humtafuta mara chache sana na hiyo kama nikiona amenichunia sana ndio namtafuta

Kinachoninyima raha zaidii huyu jamaa yeye hapigagi Simu zaidii ya sms tu.. yaani kuchat, na siku ukiona amekupigia simu ujue ni siku mnaenda kuonana ndio atapiga simu kukuelekeza alipo ama mtakapoonana zaidii ya hapo hutopokea simu yake.. na Kama ukimpigia simu huwa hapokei atakutumia sms am busy

Jamani huyo ni mpnz gani ambae hamiss sauti ya mpnz wake, yaani husuniano letu tangu tuanze ni hivohivo.. sikatai anaweza kuwa ni mtu ambae hapendi kuongea na simu but mara mojamoja kuna shida gani kama tutaongea.. mimi sio kwamba siwezi kumtafuta ni naweza sana ila kuna yake mazingira siyaelewi kwake,, yaani nahisi kama hanipendi najipendekeza kwake , kwaiyo napata ugumu sana kuwa namtafutatafuta

Navowaambia Leo ni siku ya 2 hatujawasiliana… mimi kwakweli sijui ni kiburi ama ni nini nashindwa kumtafuta kabisaa akili yangu inaniambia kama ananipenda yeye ndio aniangaikie sio mimi kumuangaikia yeye

Na kila nikisema namuacha unakuta ananitafuta basi Kuna vitu ananiambia ambavyo vinanifanya nimuonee huruma, utasikia kuna vitu napitia tukionana nitakwambia basi naghairi ila ndio hivyo mpk now sijaonana nae kutokana na sababu za kikazi

Naombeni ushaurii kwa Hii changamoto ninayopitia… je ninachofanya Mimi ni sahihi kumuacha yeye aniangaikie kwanza,, je Kuna mahusiano kweli hapa au napotezewa muda
Kweli mwanaume anaekupenda anaweza kukaa hajakutafuta siku 3 wala haongeagi na simu na mpnz wake maana Hii imekuwa mpya kwangu
Siku si nyingi unaenda kuwa mwehu! wanaume wote tupo zaidi ya milioni 30,mmoja ndio anakuchanganya hadi unajaza server za Jf
 
Uko kwa mahusiano na mume wa mtu ndomana inakua hivyo. Hemfikiri

1.Akiwa kazini haruhusiwi kupokea cm ( hii huenda nikweli)
Kazi ni masaa 12 tu hata kama ni binafsi au kuajiriwa

2.Kuna mda anahitaji kutuliza hakili hii labda kwa masaa ma wili au moja. Haitaji usumbufu wa mtu.(hii pia huenda nikweli) . Kunawakat unahitaj utulivu sana no stress no communication no eny thing zaid ya utulivu tu.

3. Mda ulio baki yuko kwake na mke wake. Hapa we ni mchepuko hupasi kupokelewa cm utaharibu ndoa ya watu. J3 had J3 yuko bize hujiongez unaomba ushauri. Kweli mapenz ni upofu ila inakubid ufumbue macho na kwakua mapenz hayashauriki na anaujua uzaifu wako. Chunga mana siku ukimbebea mimba ndo utajua kua kuna ulazima gan wakuchuchumaa wakati wa haja. Me niushauritu muamuz weww
 
Ukweli ni kwamba mwambie haya masikitiko yako uso kwa uso huku ukimpa makataa,kwamba hii ni mara ya mwisho asipobadilika muache,black namba zake za simu na wewe fata hamsininzako,utampata mwanaume wa nyota yako
Kumuonesha mwanaume kuwa namuhitaji sana ndio nilishindwa mkuu
 
Katika huo muda unaosubiri, jitulize badala ya kuhaha na mambo kama haya.
Ni mtu mzima wewe. Huchoki kubadili wanaume?
Una rundo la ma-ex na bado unajinadi kwamba una muda. Hopeless!
Una uhakika kuwa nina rundo la ma ex mkuu au unaropoka tu
 
Uko kwa mahusiano na mume wa mtu ndomana inakua hivyo. Hemfikiri

1.Akiwa kazini haruhusiwi kupokea cm ( hii huenda nikweli)
Kazi ni masaa 12 tu hata kama ni binafsi au kuajiriwa

2.Kuna mda anahitaji kutuliza hakili hii labda kwa masaa ma wili au moja. Haitaji usumbufu wa mtu.(hii pia huenda nikweli) . Kunawakat unahitaj utulivu sana no stress no communication no eny thing zaid ya utulivu tu.

3. Mda ulio baki yuko kwake na mke wake. Hapa we ni mchepuko hupasi kupokelewa cm utaharibu ndoa ya watu. J3 had J3 yuko bize hujiongez unaomba ushauri. Kweli mapenz ni upofu ila inakubid ufumbue macho na kwakua mapenz hayashauriki na anaujua uzaifu wako. Chunga mana siku ukimbebea mimba ndo utajua kua kuna ulazima gan wakuchuchumaa wakati wa haja. Me niushauritu muamuz weww
Kwenye kuwa mume wa mtu hapana ni mtu ambae tunafahamiana nae muda mrefu kabla ya mahusiano isitoshe ni bachelor boy ambae anaishi kigetogeto tu.. kubwa zaidi naloona ni kuwa hanipendi tu labda ana mtu wake anaempenda yeye ila hajaoa mkuu
 
Ukisikia wanawake ni wapumbavu na bora kutafuta bikira ndo hivi; wewe unataka leta mazoea yako ya wanaume uliokuwa unawafanya watumwa

“kupambania penzi haswa kwenye upande wa mawasiliano”

Kwa kifupi huna thamani unayofikiri unayo!
Okay vizuri
 
Habari zenu wana JF

Nimekuwa nikileta story ya huyu mwanaume ni kama huu ni uzi wake wa 4 ama wa 3 nikihitaji ushaurii kuhusu mahusiano yetu mimi na yeye.. ninafikiri Leo Hii ndio itakuwa mara ya mwisho kumjadili humu na maamuzi nitayafaya kupitia huu uzi wa Leo Hii ( kuachana ama kubaki nae )

Huu mwezi unaenda wa 5 niko na huyu Kijana nashindwa kumsoma kabisa sijui ni mahaba yamezidi kwake ama nimeanza kupoteza kujiamini..

Nilileta kisa kuwa huyu Kijana anatabia ya kuni ghost kiaina kitu ambacho kinaniweka dilemma..

Kwa upande wangu sijui kama nitakuwa ninakosea ama niko sawa

Hipo hivi, kutokana na mahusiano niliyopita nilishazoea hiki kitu kwamba mwanaume ndio ana jukumu la kupambania penzi haswa kwenye upande wa mawasiliano.. nimezoea kupigiwa simu, kutumiwa sms na kujaliwajaliwa.. sasa huyu mtu niliempata sasa ni tofauti kabisaa hali inayonifanya nijisikie vibaya nihisi kama hanipendi

Nisiwe Muongo, huyu Kijana mara nyingi amekuwa akinitafuta yeye kunisalimia na kuongeaongea blablah.. mimi humtafuta mara chache sana na hiyo kama nikiona amenichunia sana ndio namtafuta

Kinachoninyima raha zaidii huyu jamaa yeye hapigagi Simu zaidii ya sms tu.. yaani kuchat, na siku ukiona amekupigia simu ujue ni siku mnaenda kuonana ndio atapiga simu kukuelekeza alipo ama mtakapoonana zaidii ya hapo hutopokea simu yake.. na Kama ukimpigia simu huwa hapokei atakutumia sms am busy

Jamani huyo ni mpnz gani ambae hamiss sauti ya mpnz wake, yaani husuniano letu tangu tuanze ni hivohivo.. sikatai anaweza kuwa ni mtu ambae hapendi kuongea na simu but mara mojamoja kuna shida gani kama tutaongea.. mimi sio kwamba siwezi kumtafuta ni naweza sana ila kuna yake mazingira siyaelewi kwake,, yaani nahisi kama hanipendi najipendekeza kwake , kwaiyo napata ugumu sana kuwa namtafutatafuta

Navowaambia Leo ni siku ya 2 hatujawasiliana… mimi kwakweli sijui ni kiburi ama ni nini nashindwa kumtafuta kabisaa akili yangu inaniambia kama ananipenda yeye ndio aniangaikie sio mimi kumuangaikia yeye

Na kila nikisema namuacha unakuta ananitafuta basi Kuna vitu ananiambia ambavyo vinanifanya nimuonee huruma, utasikia kuna vitu napitia tukionana nitakwambia basi naghairi ila ndio hivyo mpk now sijaonana nae kutokana na sababu za kikazi

Naombeni ushaurii kwa Hii changamoto ninayopitia… je ninachofanya Mimi ni sahihi kumuacha yeye aniangaikie kwanza,, je Kuna mahusiano kweli hapa au napotezewa muda
Kweli mwanaume anaekupenda anaweza kukaa hajakutafuta siku 3 wala haongeagi na simu na mpnz wake maana Hii imekuwa mpya kwangu
Haya mambo ya kipumbavu Huwa mnapenda kuyajali sana hivi ndoa mtaziweza?
 
Umezoea kudate na vivulana umekutana na mwanaume sasa; enzi za kutukuza mbususu tulikuwa nazo tulipokuwa jobless mtaani
 
Muache huyo anakupotezea muda..!!
Pesa hakupi, muda wake hakupi ila yeye akitaka kipapa unakipeleka 😹😹
Pesa hampi? Kama mbususu ingekuwa yakulipia si angeenda tu riverside pale akapata ya bei chee
 
Ikiwa ulikuwa kwenye mahusiano mengine hapo awali, usijaribu kulinganisha uhusiano wako wa sasa na ule wa zamani. Watu hubadilika na kukua, na uhusiano wako wa sasa ni tofauti na ule wa zamani. Grow up girl.
 
Habari zenu wana JF

Nimekuwa nikileta story ya huyu mwanaume ni kama huu ni uzi wake wa 4 ama wa 3 nikihitaji ushaurii kuhusu mahusiano yetu mimi na yeye.. ninafikiri Leo Hii ndio itakuwa mara ya mwisho kumjadili humu na maamuzi nitayafaya kupitia huu uzi wa Leo Hii ( kuachana ama kubaki nae )

Huu mwezi unaenda wa 5 niko na huyu Kijana nashindwa kumsoma kabisa sijui ni mahaba yamezidi kwake ama nimeanza kupoteza kujiamini..

Nilileta kisa kuwa huyu Kijana anatabia ya kuni ghost kiaina kitu ambacho kinaniweka dilemma..

Kwa upande wangu sijui kama nitakuwa ninakosea ama niko sawa

Hipo hivi, kutokana na mahusiano niliyopita nilishazoea hiki kitu kwamba mwanaume ndio ana jukumu la kupambania penzi haswa kwenye upande wa mawasiliano.. nimezoea kupigiwa simu, kutumiwa sms na kujaliwajaliwa.. sasa huyu mtu niliempata sasa ni tofauti kabisaa hali inayonifanya nijisikie vibaya nihisi kama hanipendi

Nisiwe Muongo, huyu Kijana mara nyingi amekuwa akinitafuta yeye kunisalimia na kuongeaongea blablah.. mimi humtafuta mara chache sana na hiyo kama nikiona amenichunia sana ndio namtafuta

Kinachoninyima raha zaidii huyu jamaa yeye hapigagi Simu zaidii ya sms tu.. yaani kuchat, na siku ukiona amekupigia simu ujue ni siku mnaenda kuonana ndio atapiga simu kukuelekeza alipo ama mtakapoonana zaidii ya hapo hutopokea simu yake.. na Kama ukimpigia simu huwa hapokei atakutumia sms am busy

Jamani huyo ni mpnz gani ambae hamiss sauti ya mpnz wake, yaani husuniano letu tangu tuanze ni hivohivo.. sikatai anaweza kuwa ni mtu ambae hapendi kuongea na simu but mara mojamoja kuna shida gani kama tutaongea.. mimi sio kwamba siwezi kumtafuta ni naweza sana ila kuna yake mazingira siyaelewi kwake,, yaani nahisi kama hanipendi najipendekeza kwake , kwaiyo napata ugumu sana kuwa namtafutatafuta

Navowaambia Leo ni siku ya 2 hatujawasiliana… mimi kwakweli sijui ni kiburi ama ni nini nashindwa kumtafuta kabisaa akili yangu inaniambia kama ananipenda yeye ndio aniangaikie sio mimi kumuangaikia yeye

Na kila nikisema namuacha unakuta ananitafuta basi Kuna vitu ananiambia ambavyo vinanifanya nimuonee huruma, utasikia kuna vitu napitia tukionana nitakwambia basi naghairi ila ndio hivyo mpk now sijaonana nae kutokana na sababu za kikazi

Naombeni ushaurii kwa Hii changamoto ninayopitia… je ninachofanya Mimi ni sahihi kumuacha yeye aniangaikie kwanza,, je Kuna mahusiano kweli hapa au napotezewa muda
Kweli mwanaume anaekupenda anaweza kukaa hajakutafuta siku 3 wala haongeagi na simu na mpnz wake maana Hii imekuwa mpya kwangu
Mwanamke akishaona hastail kuteseka umalaya ndio unaanzia hapo.
 
Back
Top Bottom