Nategemea hii ndio itakuwa story ya mwisho kuileta humu kumuhusu huyu mwanaume

Kwaiyo hata simu hupigi tangu muanze husiano
 
Utamu kiasi gani kwa wanaume wako unao date nao unajua wewe, sie ushauri gani unataka, angalia yupi mtamu ww unajua mfuate
 
Nusu na nusu zikiungana inakua kitu kizima (weka tabia zako aweke zake mtengeneze ukamilifu na hii ndio maana halisi ya mahusiano).

And let's talk positively now...

Iko hivi, usichokijua ni kwamba watu hutofautiana kisifa kwahiyo unavyohama kutoka kwenye mahusiano ya zamani kwenda mapya inatakiwa sifa za yale ya zamani uachane nazo kabisa ili uweze kuanza upya.

Na unapoanza upya lazima utakutana na mapungufu tu, na kwenye hayo mapungufu yapo ambayo yanaweza kubadilika kwa haraka lakini yapo mengine ambayo yanahitaji muda kubadilika (kwahiyo ni wewe sasa kupima kama yanavumilika kwako au hayavumiliki kwa maana mwisho wa siku mapenzi ni maisha na ili uweze kufurahia lazima uwe comfortable).

Lakini pia mwanamume yeyote mwenye ndoto kubwa na anaechukua hatua thabiti kuzifikia ndoto zake usitegemee atakuwa anapatikana Kila wakati (tunapambania kombe na always tupo na vipaombele vyetu, kwahiyo ukiweka kwenye mzani mapenzi na pesa utagundua mapenzi yapo tu, usipoyapata ujanani utayapata, but vipi kuhusu pesa?).

Kwahiyo wanamume ambao wapo available Kila wakati ni wale ambao tayari walishatimiza ndoto zao au ni wale ambao hawana mishe za kufanya au ni wale ambao wamesharidhika na walichonacho au ni wale ambao wanakujaza ili wapate wanachotaka na wakishapata wanarudi kwenye default mode yao au ni low value man (so ukiona mpenzi wako yuko available sana inatakiwa ukae kitaalamu kidogo).

Lakini pia unapaswa ujiulize ya kwamba wanawake wanapenda sana kupewa attention so huo muda wa kubebishana ambao anakupa wewe hadi kukufanya uhisi furaha yako iko mikononi mwake anaouwezo wa kuwapa wanawake wengine kama wewe na wakajihisi kama unavyojihisi.

Ila mwanamume ambae Hana huo muda ni ngumu sana kudate na Kila mwanamke kwa maana wengi wanakua ni high value men.

NB:
Wadada wengi ambao wanasifiwa mara kwa mara kwamba wao ni wazuri au wale wadada ambao wako vizuri kiuchumi au wale wadada ambao wako na vyeo makazini au wale wadada ambao wako karibu sana na baba zao huwa wako na tabia ya aina hiyo.
 
Halafu ni kama mchawi vile nimemaliza tu ku post uzi huu ameshanitumia na sms unaeza kuta yupo humu nae ni team kataa ndoa
Hahahaha we sema na moyo wako,kuna watu wameumbwa ivo
 
Binti we angalia moyo wako tu,,npo na uyo jamaa ukipga asipopokea ole wako umuulize jibu utalopewa utajuta kuuliza,au asipojib mesej uliza uone🤣,na akikumis hakikisha upo active ole wako asikupate..........mambo ni mengi
Hakuna mapenzi hapo
 
Na mie natoa ushauri kwa mara ya mwisho :ANAKUTUMIA TU ACHANA NAE na ameshajua wewe ndio unampenda.
 
Akupambanie kukutafuta n kukupetipeti na bado awe anatumia hela yake kukuhudumia wewe Kama mtt wake, basi wewe pambania ama simamia limoja kati ya hayo.
Wewe ndio mnufaika mkubwa wa mahusiano mwanaume yeye anafaidika ngono tu Tena Muda machache mno, Ila wewe waweza kutunziwa kv kulishwa,kuvalishwa akakupa mbegu ukapata mtt, akajenga nyumba ukaishi na mwanao,akakusomeshea mwanao Mana mwishoni atakuwa anapiga stori na wewe na ataandika kwenye gari lake kuwa ni nani Kama mama,.
Yaani mie naona Kama mahusiano Yana faida kubwa kwako mno kuliko mwanaume, mwanaume yeye ni kukut00mba napo utataka ahangaike zaidi ili uridhike ama akukojoleshe Nako itabidi awaze namna ya kukupiga paipu,
Yaani wewe kuhangaika kitandani ukampa romance,ukaikatikia mpaka safari ama amalize round tatu yeye amelala tu anasikilizia utamu na unavyojituma Nina uhakika huwezi,yaani ukatike mwanaume akojoe vitatu utaawahi kujilaza kuwa umechoka, yaani hizi tamaa tulipewa za kuwa watumwa wenu, na ndio alioa mwingine unanuna na ilhali Kila kitu unapewa.
So pambana Mana hujui Kama utapata mwingine usiwe mbinafsi wa kupenda faida Kila eneo, pengine jitoe na wewe ,mhangaikie ama huna shida Naye unaweza ukaishi na dildo ama paka, haya bana najua mmependelewa
 
Nilishamzungumzia humu wala hajawai nihudumia hata mia hiyo sex tunafaidishana wala hanigharamikiii kwa chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…