Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Tafuta mtu Taesa tufanye mpango wa kibali cha kufanya kazi nje ya nchi..documents za mchongo..hapa dar wamenyooka hawataki kulamba asali
 
Hata wewe mhitaji wa kitambulisho cha NIDA,yawezekana uko mbali na DODOMA kwasasa,fanya mawasiliano uchukuliwe na utumiwe kama wenzako.
 
Waweza kuokoa gharama za muda na safari,kwa wewe kufanya mawasiliano kwenye 0765920855,badala ya kuja hadi DODOMA kwa jambo ambalo siyo lazima kufika sehemu ya kupatiwa huduma.
Hata wewe ambaye unapiga simu ofisi yoyote ambayo iko huku na hawapokei,usihangaike,waweza kufanya mawasiliano,ukasaidiwa kufikisha jambo lako sehemu husika.
 
Mimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wadau hasahasa wale wa mbali na Dodoma na hata waliopo Dodoma,kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku (Dodoma) au sehemu husika kama wapo hapahapa Dodoma.

Kwa kufanya hivyo, huwa wanaokoa gharama za usafiri na malazi na badala yake, huchangia kiasi cha fedha, nikishamaliza kuwashughulikia hayo matatizo na kuridhika na huduma niliyoombwa kuifanya.

Mfano wa huduma ambazo mara kadhaa huambiwa niwashughulikie ni kama kwenda kwenye Wizara mbalimbali kama wizara ya mambo ya ndani, wizara ya mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa,kupeleka barua za kuomba uanzishwaji wa viwanda vya vilipuzi, pia kwenda bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kuomba statements za mikopo yao, kwa wale wanaokuwa na lengo la kumaliza madeni yao (loan liquidation), kufuatilia barua za wale walioachishwa kazi na wameomba kurudishwa kazini, kufuatilia kwa wale waliostaafu mafao yao kwa kupeleka viambatanisho husika kwenye mifuko waliokua wanachangia, kufuatilia hati za viwanja, kuwachukulia leseni za udaktari (practicing licenses) pale Medical Council of Tanganyika (MCT), kuwachukulia transcripts baadhi ya wadau wanaozihitaji pale NACTE VET n.k

Endapo wewe ni mmoja wa wale wanaohitaji huduma zenye kushabihiana na nilizotolea mfano hapo juu na hata kuuliza tu, karibu PM au hapahapa, kama utakuwa na la kuuliza.

Asanteni.
Mawasiliano: 0765920855
Good idea ,kuna mmoja yupo dar naye anatoa huduma kama social service helper tuu yani unahitaji kununua chochote na huna muda una mpigia simu anakuletea ,una shida ya bidhaa analeta, unahita kwenda posta na hujisikii anaenda kutokana na utakavyo muelekeza, una mgeni wako wa kumpokea unamuunganisha anakupokelea mgeni wako na kukuletea hadi kwako, unahitaji kuagiza mzigo kutoka Dar na wewe upo mkoani ana kufanyia kila kitu hadi kukupakilia mzigo kwenye magari ,yani anaishi mjini kwa kazi hiyo tu , kweli watu wabunifu
 
Endelea kufanya mawasiliano kama wenzako,urahisishiwe kushughulikia suala lako ambalo halikulazimu kuwepo Dodoma sehemu ya kupatiwa huduma.Utasaidiwa kwa gharama nafuu kuliko kusafiri na kuja kulala loji,kupoteza muda na mengineyo,kusumbuliwa na hali ya hewa hasa kipindi hiki ambacho mvua inanyesha n.k
Namba ya mawasiliano ni ileile kwa kupiga au WhatsApp.0765920855 utasaidiwa kama wengine wengi.
 
JAMAa nilimpigia last month nadhani nimpe kazi,akasema ameacha hii ishu Yuko mwanza kwa Sasa.

Nashangaa Bado anapost anafanya hii ishu
Mkuu acha uongo,mbona huduma bado zinatolewa na ni wengi tu wanaendelea kuhudumiwa?
Acha uongo bhana kwa faida yako.Kama sipost huku inamaana nakua bize mimi na wenzangu,yaani kazi ni nyingi,siyo kila muda ntapost.
 

Attachments

  • IMG-20241203-WA0024.jpeg
    IMG-20241203-WA0024.jpeg
    1.2 MB · Views: 9
Mkuu acha uongo,mbona huduma bado zinatolewa na ni wengi tu wanaendelea kuhudumiwa?
Acha uongo bhana kwa faida yako.Kama sipost huku inamaana nakua bize mimi na wenzangu,yaani kazi ni nyingi,siyo kila muda ntapost.
Sio wewe nilikupigia ukasema umepata kazi mwanza?

Nilikupa ishu ya tra.
Ukasema utakuja huku ku update Uzi kuwa hufanyi tena?
 
Back
Top Bottom