Natoa siku 14 kwa viongozi wa Tanesco walioshiriki kuninyima umeme mbezi beach!

Natoa siku 14 kwa viongozi wa Tanesco walioshiriki kuninyima umeme mbezi beach!

Joined
Feb 12, 2023
Posts
97
Reaction score
150
Mimi kama "Jicho la Mganga" nafikisha ujumbe huu kutoka kwa Wilfred kwenda kwa viongozi wa Tanesco! Wilfred anasema!

Takribani miezi miwili sasa Tanesco wananihangaisha!

Uungwana wangu hauna maana kwao!

Niliomba umeme pale tanesco tankibovu, kwa kufuata taratibu zote, wakaja kunipimia na kuniambia niwape laki tano ili waniletee umeme!
Nikawapatia ili wanipatie umeme, baadae nikashangaa tena wananitumia Bili ya kulipia ya zaidi ya milioni 3;
IMG-20230310-WA0001.jpg


Nikahoji ile laki tano mlichukua ya nini? Nikaona ni utapeli

Nikaamua kuripoti kwa viongozi wakubwa ili kupata msaada!

Wakubwa Wakamwamuru yule samweli na wenziwe aliyechukua ile laki tano wanirejeshee, wakaniita nikaifuata ile laki tano pale tanesco mbezi!

Baada ya hapo wale viongozi wakatuma mpimaji mwingine kutoka mikocheni, yule mpimaji akasema ile gharama inarekebishika, akadai imekuwa kubwa vile kwasababu ya kibanda,

Akashauri endapo kama kingejengwa chumba cha tofali gharama ingepungua angalau 1.6mil

Nikasema nikotayali kujenga na kulipa hiyo 1.6mil lakini siyo ile zaidi ya 3mil

Chumba cha tofali kilijengwa, na vifaa vya umeme tukafunga upya kwenye chumba kipya!

Nimeomba tena umeme upya tanesco!

Tanesco Wala hawajataka hata kuja kukagua bali wamenijibu juu kwa juu tu kwamba nilipie Ile bili kubwa ya zamani ya zaidi ya 3mil!
IMG-20230310-WA0000.jpg

Nilichogundua wananikomoa kwa kuwadai laki tano yangu pia wanalindana, viongozi wanawalinda hawa walionichukulia laki tano ndiyo maana hata sijarudishiwa repoti ya kipi kinaendelea zaidi ya kukomolewa tu!

Viongozi mikocheni hawajanisaidia zaidi wananiambia nirudi kwa walewale walionichukulia laki tano!
Nimetafakali nimegundua kama viongozi wanawakingia kifua wafanyakazi matapeli huenda ndiyo maana hawakuogopa kunitapeli ile laki tano!

Nimekuwa muungwana kuwafikishia malalamiko yangu viongozi, lakini badala ya kushukuru na kunishauri kwa hekima ya kunisaidia hawana zaidi ya kunikomoa ili walindane wao!

Sasa kwakuwa wanatumia mamlaka yao kunikomoa na kuninyima umeme ili walindane!

Nawapa siku 14 kwa viongozi wote tanesco niliowafikishia malalamiko yangu na hawataki na umeme wao!
Baada hapo namuachia Mungu atajua pa kuwapeleka na hili ni tamko la mwisho!
 
Watu waajabu kabisa, Weng wanalaumu kwa kuambiwa wana laana Au kwa kuitwa manyani na sio kwamb wanaonewa ila ni Jambo la kweli. BLACKs ni Abnormal Human Being. Hapo wanafurah kumkomoa mwenzao kwa kutopewa Rushwa at first place as if it's something they deserve. Inhumanity na ignorance ndo mambo yametawala kwa Blacks and can't vanish ni Kama vile something inborn kutok Huyu Muumba wa Ulimwengu

Pole sana Mkuu
 
Mimi kama "Jicho la Mganga" nafikisha ujumbe huu kutoka kwa Wilfred kwenda kwa viongozi wa Tanesco! Wilfred anasema!

Takribani miezi miwili sasa Tanesco wananihangaisha!

Uungwana wangu hauna maana kwao!

Niliomba umeme pale tanesco tankibovu, kwa kufuata taratibu zote, wakaja kunipimia na kuniambia niwape laki tano ili waniletee umeme!
Nikawapatia ili wanipatie umeme, baadae nikashangaa tena wananitumia Bili ya kulipia ya zaidi ya milioni 3;
View attachment 2544270

Nikahoji ile laki tano mlichukua ya nini? Nikaona ni utapeli

Nikaamua kuripoti kwa viongozi wakubwa ili kupata msaada!

Wakubwa Wakamwamuru yule samweli na wenziwe aliyechukua ile laki tano wanirejeshee, wakaniita nikaifuata ile laki tano pale tanesco mbezi!

Baada ya hapo wale viongozi wakatuma mpimaji mwingine kutoka mikocheni, yule mpimaji akasema ile gharama inarekebishika, akadai imekuwa kubwa vile kwasababu ya kibanda,

Akashauri endapo kama kingejengwa chumba cha tofali gharama ingepungua angalau 1.6mil

Nikasema nikotayali kujenga na kulipa hiyo 1.6mil lakini siyo ile zaidi ya 3mil

Chumba cha tofali kilijengwa, na vifaa vya umeme tukafunga upya kwenye chumba kipya!

Nimeomba tena umeme upya tanesco!

Tanesco Wala hawajataka hata kuja kukagua bali wamenijibu juu kwa juu tu kwamba nilipie Ile bili kubwa ya zamani ya zaidi ya 3mil!
View attachment 2544255
Nilichogundua wananikomoa kwa kuwadai laki tano yangu pia wanalindana, viongozi wanawalinda hawa walionichukulia laki tano ndiyo maana hata sijarudishiwa repoti ya kipi kinaendelea zaidi ya kukomolewa tu!

Viongozi mikocheni hawajanisaidia zaidi wananiambia nirudi kwa walewale walionichukulia laki tano!
Nimetafakali nimegundua kama viongozi wanawakingia kifua wafanyakazi matapeli huenda ndiyo maana hawakuogopa kunitapeli ile laki tano!

Nimekuwa muungwana kuwafikishia malalamiko yangu viongozi, lakini badala ya kushukuru na kunishauri kwa hekima ya kunisaidia hawana zaidi ya kunikomoa ili walindane wao!

Sasa kwakuwa wanatumia mamlaka yao kunikomoa na kuninyima umeme ili walindane!

Nawapa siku 14 kwa viongozi wote tanesco niliowafikishia malalamiko yangu na hawataki na umeme wao!
Baada hapo namuachia Mungu atajua pa kuwapeleka na hili ni tamko la mwisho!
Tupe jina lako
Namba yako ya simu na namba ya mita.

TANESCO
 
Yani mashirika haya sijui ya kiserikali hovyo sana, ukidai haki yako wanakupa mabili ya kukukomoa zaidi..
yani wanataka wakisema million 3 utoe kama kondoo
Kunatakiwa kuwe na Ushindani wa mashirika binafsi na wao kwa kuliona hilo imekua ngumu naona..Maana kungekua na Tanesco wengine, dawasco wengine nk
 
magufuli fufuka tenaaaa.wajinga wameludiiiiii😅😅
yani misomi ya bongo bila kuongozwa Kama punda haiwezi chochote😅😅

mkuu pole sana hawawezi kukusaidia wee toa tuu hio hela kamaunayo na Kama unaharaka pia.
jiulize enzi za magu unawekewa umeme bure na kwaspidi ya mwanga😅lakini sasahivi unawapa **** laki tano na umeme hawaweki wanataka milioni tatu🤣🤣🤣🤣

bila udicteta Tanzania haifiki popote itazidi kurudi nyuma kinoma.
 
Yeah ila mtu si anaweza kuomba resurvey kama ameshahamisha DB kuweka sehemu ambayo itasaidia kupunguza route length?
kuhamisha DB unaokoa pesa kiduchu maana bado iko kwenye compound humohumo

inavyoonekana nyumba ni kubwa, so ni haki kuvuta fezi 3, mpaka hapo gharama zishapanda

kupata nguzo ya fez 3 iko mbali na nyumba, mf: mita 120 huko, so hapo gharama zinapanda tena kuvuta mpaka kwake, achilia mbali vikwazo vililivyo njiani line inapopita, gharama tena

kashauriwa ajenge kakibanda kadogo wapige wiring ili wamvutie 1 phase kupunguza gharama , alafu waongeze tatizo za Low Voltage 😬 baadaye huko
 
kuhamisha DB unaokoa pesa kiduchu maana bado iko kwenye compound humohumo

inavyoonekana nyumba ni kubwa, so ni haki kuvuta fezi 3, mpaka hapo gharama zishapanda

kupata nguzo ya fez 3 iko mbali na nyumba, mf: mita 120 huko, so hapo gharama zinapanda tena kuvuta mpaka kwake, achilia mbali vikwazo vililivyo njiani line inapopita, gharama tena

kashauriwa ajenge kakibanda kadogo wapige wiring ili wamvutie 1 phase kupunguza gharama , alafu waongeze tatizo za Low Voltage 😬 baadaye huko
Ni noma. Sema tu kwakuwa mazingira hatujayaona labda mtu ungeweza kumpa ushauri wa kitaalamu.
 
Yani mashirika haya sijui ya kiserikali hovyo sana, ukidai haki yako wanakupa mabili ya kukukomoa zaidi..
yani wanataka wakisema million 3 utoe kama kondoo
Kunatakiwa kuwe na Ushindani wa mashirika binafsi na wao kwa kuliona hilo imekua ngumu naona..Maana kungekua na Tanesco wengine, dawasco wengine nk
kiongozi wajuu ndio tatizo.enzi za magu hawatenesko tuliwasifu kwa ufanyaji kazi wao.

kiongozi wajuu shidaaa siasa nyingii ndio Mana magu alipiga lock siasa watu wakachapa kazi na matunda tuliyaona kwamda mfupi.wachache walilalamika wengi walifurahi
 
Back
Top Bottom