HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mfufueni Maguhivi enzi za magu watu walifungiwa kwa Bei sawa na bure.sasa hivi kunashindikana Nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfufueni Maguhivi enzi za magu watu walifungiwa kwa Bei sawa na bure.sasa hivi kunashindikana Nini?
Yaani umetumia gharama uliyoukwepaTanesco kuna wala rushwa wakubwa
Siku moja niliulizia kwenye gari lao la emergency utaratibu wa kupata mita ya ziada
Bwanae wakaniambia epuka usumbufu kama una laki tano tukufungie sasa hivi nikawapa kweli wakafunga
Siku ya pili likaja lile Lori lao la nguzo wakaruka watano na kudai risiti za hiyo mita kama sina niwape laki nne au waing'oe na kunipeleka polisi kwa kukutwa na mita ya wizi,nikawapa laki na nusu wakaondoka. Nikatafuta kishoka akaimg'oa ni angalie zali kwanza ,wiki moja baadaye likaja lile half truck la wakiulizia iwapi ile mita sikuwajibu kitu wakaondoka
Nyumba imo ndani ndani sio hata barabarani
Tanesco Magomeni Mungu anawaona
Acha tu ndugu yanguPole sana ndugu inamaana huyo aliyechukua laki tano ndiyo kakujibu hivyo!
Kwanini tanesco wampe tena kazi yako ambaye unamtuhumu?
Sasa wewe unatumia umeme wa vijijiniMil 3 for what au umeme wa kiwandani,Mimi nililipia elfu 27,siku 14 wakawasha umeme,
Ila nakushauri lipia wacha Karma ifanye kazi yake,dunian hakuna haki tutalipana kwa muumba
HAPAHITAJI HATA NGUZO NI WAYA TUPanahitaji nguzo ngapi?
Umeme wa nyumbani/kiwanda au workshop?
Andika barua kwenda tanesco kupitia ofisi ya maadili, kuomba mchanganuo wa hiyo mil. 3HAPAHITAJI HATA NGUZO NI WAYA TU
Hakuna haja: wacha siku 14 ziishe! Wapate waoAndika barua kwenda tanesco kupitia ofisi ya maadili, kuomba mchanganuo wa hiyo mil. 3
Ukiwakomalia kwa barua, kati ya hao wazembe wapo watakaopoteza kazi, waje huu upande wa kujiajiri.Hakuna haja: wacha siku 14 ziishe! Wapate wao
Viongozi wote wanayo taarifa na wameamua kuipuuzia! Siku 14 zikiisha mmoja mmoja Mungu atashughulika naye!Ukiwakomalia kwa barua, kati ya hao wazembe wapo watakaopoteza kazi, waje huu upande wa kujiajiri.
Kwa sababu wao wa ndani wameshindwa kusuluhisha, inabidi taasisi zingine zenye mamlaka zisuluhishe. Kama una hofu, unaweza kuwasiliana na wakili yoyote ukampa hiyo kazi.Viongozi wote wanayo taarifa na wameamua kuipuuzia! Siku 14 zikiisha mmoja mmoja Mungu atashughulika naye!
Tusubili 14 ziishe wataelewa!Uliposema unawapa siku 14 enhee nikajua sasa kinachofata hapo ni ubandidu [emoji4] but umenikata maini kabisa hapo mwisho uliposema unamuachia Mungu [emoji16][emoji16]
Naam! [emoji4]Tusubili 14 ziishe wataelewa!
Wafanyakazi ndiyo wataalam! Walisema ni laki tano ni ya umeme! Baada ya kutuma tena bili nyingine ndo ilishangaza laki tano walichukua ya nn!Ni kosa la jinai kutoa ama kupokea rushwa ama kushawishi rushwaaa
huna akili.ulitoa rushwa ya laki tano, huna haki kuwadai , huna haki kulalamika pia
Ulitoa 500k ukiwa unatambua ni kiwahonga ama ulikuwa hujui? Manake apa umeamua mwaga mboga nao watamwaga ugalii, upewapo majibu nasi tupe mrejeshoMtaalam akisema lipa hivi nikupe ume e si utamuamini hata kama anakutapeli? Aliyetakiwa kumuelekeza mwenzake nani?