Natoa siku 14 kwa viongozi wa Tanesco walioshiriki kuninyima umeme mbezi beach!

Natoa siku 14 kwa viongozi wa Tanesco walioshiriki kuninyima umeme mbezi beach!

Mimi kama "Jicho la Mganga" nafikisha ujumbe huu kutoka kwa Wilfred kwenda kwa viongozi wa Tanesco! Wilfred anasema!

Takribani miezi miwili sasa Tanesco wananihangaisha!

Uungwana wangu hauna maana kwao!

Niliomba umeme pale tanesco tankibovu, kwa kufuata taratibu zote, wakaja kunipimia na kuniambia niwape laki tano ili waniletee umeme!
Nikawapatia ili wanipatie umeme, baadae nikashangaa tena wananitumia Bili ya kulipia ya zaidi ya milioni 3;
View attachment 2544270

Nikahoji ile laki tano mlichukua ya nini? Nikaona ni utapeli

Nikaamua kuripoti kwa viongozi wakubwa ili kupata msaada!

Wakubwa Wakamwamuru yule samweli na wenziwe aliyechukua ile laki tano wanirejeshee, wakaniita nikaifuata ile laki tano pale tanesco mbezi!

Baada ya hapo wale viongozi wakatuma mpimaji mwingine kutoka mikocheni, yule mpimaji akasema ile gharama inarekebishika, akadai imekuwa kubwa vile kwasababu ya kibanda,

Akashauri endapo kama kingejengwa chumba cha tofali gharama ingepungua angalau 1.6mil

Nikasema nikotayali kujenga na kulipa hiyo 1.6mil lakini siyo ile zaidi ya 3mil

Chumba cha tofali kilijengwa, na vifaa vya umeme tukafunga upya kwenye chumba kipya!

Nimeomba tena umeme upya tanesco!

Tanesco Wala hawajataka hata kuja kukagua bali wamenijibu juu kwa juu tu kwamba nilipie Ile bili kubwa ya zamani ya zaidi ya 3mil!
View attachment 2544255
Nilichogundua wananikomoa kwa kuwadai laki tano yangu pia wanalindana, viongozi wanawalinda hawa walionichukulia laki tano ndiyo maana hata sijarudishiwa repoti ya kipi kinaendelea zaidi ya kukomolewa tu!

Viongozi mikocheni hawajanisaidia zaidi wananiambia nirudi kwa walewale walionichukulia laki tano!
Nimetafakali nimegundua kama viongozi wanawakingia kifua wafanyakazi matapeli huenda ndiyo maana hawakuogopa kunitapeli ile laki tano!

Nimekuwa muungwana kuwafikishia malalamiko yangu viongozi, lakini badala ya kushukuru na kunishauri kwa hekima ya kunisaidia hawana zaidi ya kunikomoa ili walindane wao!

Sasa kwakuwa wanatumia mamlaka yao kunikomoa na kuninyima umeme ili walindane!

Nawapa siku 14 kwa viongozi wote tanesco niliowafikishia malalamiko yangu na hawataki na umeme wao!
Baada hapo namuachia Mungu atajua pa kuwapeleka na hili ni tamko la mwisho!
Cna hamu na Tanesco chanika walikula 150,000/yangu mpaka leo sijawahi patiwa huduma,,,kile kirimoti chao kiliharibika nikawa nashindwa ilipia umeme nikawafata Tanesco wakaniambia hivyo virimoti vimepitwa na wakati ,,ivo nilipie mita mpya,waje wanifungie nikafanya ivo ,baada ya kupewa controlNumber,,,.nikaambiwa ndan ya cku tatu ,watakuja mpaka ,,Mpaka leo kimya.nimefatilia nimechoka ikabid nimtafute fundi wa pale akakata mfuniko ivo nikitaka kuweka umeme mpaka nitumie ngaz,,,Nawachukia Tanesco toka moyoni mwangu
 
UliWafanyakazi ndiyo wataalam! Walisema ni laki tano ni ya umeme! Baada ya kutuma tena bili nyingine ndo ilishangaza laki tano walichukua ya nn!

Ulitoa 500k ukiwa unatambua ni kiwahonga ama ulikuwa hujui? Manake apa umeamua mwaga mboga nao watamwaga ugalii, upewapo majibu nasi tupe mrejesho
Subili siku 14 kwani mbali basi! Si usubili! wao si wana mamlaka tutaona nani ana mamlaka zaidi
 
Mimi kama "Jicho la Mganga" nafikisha ujumbe huu kutoka kwa Wilfred kwenda kwa viongozi wa Tanesco! Wilfred anasema!

Takribani miezi miwili sasa Tanesco wananihangaisha!

Uungwana wangu hauna maana kwao!

Niliomba umeme pale tanesco tankibovu, kwa kufuata taratibu zote, wakaja kunipimia na kuniambia niwape laki tano ili waniletee umeme!
Nikawapatia ili wanipatie umeme, baadae nikashangaa tena wananitumia Bili ya kulipia ya zaidi ya milioni 3;
View attachment 2544270

Nikahoji ile laki tano mlichukua ya nini? Nikaona ni utapeli

Nikaamua kuripoti kwa viongozi wakubwa ili kupata msaada!

Wakubwa Wakamwamuru yule samweli na wenziwe aliyechukua ile laki tano wanirejeshee, wakaniita nikaifuata ile laki tano pale tanesco mbezi!

Baada ya hapo wale viongozi wakatuma mpimaji mwingine kutoka mikocheni, yule mpimaji akasema ile gharama inarekebishika, akadai imekuwa kubwa vile kwasababu ya kibanda,

Akashauri endapo kama kingejengwa chumba cha tofali gharama ingepungua angalau 1.6mil

Nikasema nikotayali kujenga na kulipa hiyo 1.6mil lakini siyo ile zaidi ya 3mil

Chumba cha tofali kilijengwa, na vifaa vya umeme tukafunga upya kwenye chumba kipya!

Nimeomba tena umeme upya tanesco!

Tanesco Wala hawajataka hata kuja kukagua bali wamenijibu juu kwa juu tu kwamba nilipie Ile bili kubwa ya zamani ya zaidi ya 3mil!
View attachment 2544255
Nilichogundua wananikomoa kwa kuwadai laki tano yangu pia wanalindana, viongozi wanawalinda hawa walionichukulia laki tano ndiyo maana hata sijarudishiwa repoti ya kipi kinaendelea zaidi ya kukomolewa tu!

Viongozi mikocheni hawajanisaidia zaidi wananiambia nirudi kwa walewale walionichukulia laki tano!
Nimetafakali nimegundua kama viongozi wanawakingia kifua wafanyakazi matapeli huenda ndiyo maana hawakuogopa kunitapeli ile laki tano!

Nimekuwa muungwana kuwafikishia malalamiko yangu viongozi, lakini badala ya kushukuru na kunishauri kwa hekima ya kunisaidia hawana zaidi ya kunikomoa ili walindane wao!

Sasa kwakuwa wanatumia mamlaka yao kunikomoa na kuninyima umeme ili walindane!

Nawapa siku 14 kwa viongozi wote tanesco niliowafikishia malalamiko yangu na hawataki na umeme wao!
Baada hapo namuachia Mungu atajua pa kuwapeleka na hili ni tamko la mwisho!
Hii taarifa PCCM waidake chap... Ili wafanye kazi yao
 
Naona JF imekuwa sehemu ya kupigana mikwara sasa..mwingine saa 72..wewe siku 14 .

Mimi ngoja nije na thread nitoe siku 10 tu kwa Benki waniwekee 100M kwenye akaunti yangu mimi run CMD baada ya hapo tusilaumiane
 
Mil 3 for what au umeme wa kiwandani,Mimi nililipia elfu 27,siku 14 wakawasha umeme,
Ila nakushauri lipia wacha Karma ifanye kazi yake,dunian hakuna haki tutalipana kwa muumba
Itakuwa jamaa wamemuona hamnazo
 
Unaweza kukuta malipo ni halali lakini kutokana na hiyo mizengwe hakuna anayewaamini tena.
Siyo kweli kutoka chumba kilipo hadi kwenye nguzo ya umeme ni hatua 25 tu! Na yule mpimaji wao wa pili alithibitisha hilo kwamba pakijengwa bei itakuwa chini! Lakini majibu ya TANESCO hapo juu ni dhahili amejibu yuleyule aliyekula laki tano
 
Mimi kama "Jicho la Mganga" nafikisha ujumbe huu kutoka kwa Wilfred kwenda kwa viongozi wa Tanesco! Wilfred anasema!

Takribani miezi miwili sasa Tanesco wananihangaisha!

Uungwana wangu hauna maana kwao!

Niliomba umeme pale tanesco tankibovu, kwa kufuata taratibu zote, wakaja kunipimia na kuniambia niwape laki tano ili waniletee umeme!
Nikawapatia ili wanipatie umeme, baadae nikashangaa tena wananitumia Bili ya kulipia ya zaidi ya milioni 3;
View attachment 2544270

Nikahoji ile laki tano mlichukua ya nini? Nikaona ni utapeli

Nikaamua kuripoti kwa viongozi wakubwa ili kupata msaada!

Wakubwa Wakamwamuru yule samweli na wenziwe aliyechukua ile laki tano wanirejeshee, wakaniita nikaifuata ile laki tano pale tanesco mbezi!

Baada ya hapo wale viongozi wakatuma mpimaji mwingine kutoka mikocheni, yule mpimaji akasema ile gharama inarekebishika, akadai imekuwa kubwa vile kwasababu ya kibanda,

Akashauri endapo kama kingejengwa chumba cha tofali gharama ingepungua angalau 1.6mil

Nikasema nikotayali kujenga na kulipa hiyo 1.6mil lakini siyo ile zaidi ya 3mil

Chumba cha tofali kilijengwa, na vifaa vya umeme tukafunga upya kwenye chumba kipya!

Nimeomba tena umeme upya tanesco!

Tanesco Wala hawajataka hata kuja kukagua bali wamenijibu juu kwa juu tu kwamba nilipie Ile bili kubwa ya zamani ya zaidi ya 3mil!
View attachment 2544255
Nilichogundua wananikomoa kwa kuwadai laki tano yangu pia wanalindana, viongozi wanawalinda hawa walionichukulia laki tano ndiyo maana hata sijarudishiwa repoti ya kipi kinaendelea zaidi ya kukomolewa tu!

Viongozi mikocheni hawajanisaidia zaidi wananiambia nirudi kwa walewale walionichukulia laki tano!
Nimetafakali nimegundua kama viongozi wanawakingia kifua wafanyakazi matapeli huenda ndiyo maana hawakuogopa kunitapeli ile laki tano!

Nimekuwa muungwana kuwafikishia malalamiko yangu viongozi, lakini badala ya kushukuru na kunishauri kwa hekima ya kunisaidia hawana zaidi ya kunikomoa ili walindane wao!

Sasa kwakuwa wanatumia mamlaka yao kunikomoa na kuninyima umeme ili walindane!

Nawapa siku 14 kwa viongozi wote tanesco niliowafikishia malalamiko yangu na hawataki na umeme wao!
Baada hapo namuachia Mungu atajua pa kuwapeleka na hili ni tamko la mwisho!
TANESCO mnaona mlivo matapeli.
Hii week toka imeanza umeme umekata mchana mara mbili usiku mara tatu.
Hii huu si upuuzi wa hali ya juu
 
Cna hamu na Tanesco chanika walikula 150,000/yangu mpaka leo sijawahi patiwa huduma,,,kile kirimoti chao kiliharibika nikawa nashindwa ilipia umeme nikawafata Tanesco wakaniambia hivyo virimoti vimepitwa na wakati ,,ivo nilipie mita mpya,waje wanifungie nikafanya ivo ,baada ya kupewa controlNumber,,,.nikaambiwa ndan ya cku tatu ,watakuja mpaka ,,Mpaka leo kimya.nimefatilia nimechoka ikabid nimtafute fundi wa pale akakata mfuniko ivo nikitaka kuweka umeme mpaka nitumie ngaz,,,Nawachukia Tanesco toka moyoni mwangu
Una moyo wa kipekee..mimi wangeirudisha hiyo hela
 
Mtu amepewa usafiri,nyumba,vocha na mshahara mnono halafu anakula rushwa kwa mvuja jasho.
Nchi inalaana ya rushwa. Wakikosea hawaadhibiwi bali wanahamishwa
Inaumiza sana mtu anakopa ili ajikwamue halafu anakwamishwa na watumishi waliotakiwa kumsaidia
 
Back
Top Bottom