HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Nguzo si bureYani mashirika haya sijui ya kiserikali hovyo sana, ukidai haki yako wanakupa mabili ya kukukomoa zaidi..
yani wanataka wakisema million 3 utoe kama kondoo
Kunatakiwa kuwe na Ushindani wa mashirika binafsi na wao kwa kuliona hilo imekua ngumu naona..Maana kungekua na Tanesco wengine, dawasco wengine nk