Natoa siku 14 kwa viongozi wa Tanesco walioshiriki kuninyima umeme mbezi beach!

Yaani umetumia gharama uliyoukwepa
 
Panahitaji nguzo ngapi?
Umeme wa nyumbani/kiwanda au workshop?
 
Viongozi wote wanayo taarifa na wameamua kuipuuzia! Siku 14 zikiisha mmoja mmoja Mungu atashughulika naye!
Kwa sababu wao wa ndani wameshindwa kusuluhisha, inabidi taasisi zingine zenye mamlaka zisuluhishe. Kama una hofu, unaweza kuwasiliana na wakili yoyote ukampa hiyo kazi.
 
Uliposema unawapa siku 14 enhee nikajua sasa kinachofata hapo ni ubandidu [emoji4] but umenikata maini kabisa hapo mwisho uliposema unamuachia Mungu [emoji16][emoji16]
 
Ni kosa la jinai kutoa ama kupokea rushwa ama kushawishi rushwaaa
 
Ni kosa la jinai kutoa ama kupokea rushwa ama kushawishi rushwaaa
Wafanyakazi ndiyo wataalam! Walisema ni laki tano ni ya umeme! Baada ya kutuma tena bili nyingine ndo ilishangaza laki tano walichukua ya nn!
Mtaalam akisema lipa hivi nikupe ume e si utamuamini hata kama anakutapeli? Aliyetakiwa kumuelekeza mwenzake nani?
 
UliWafanyakazi ndiyo wataalam! Walisema ni laki tano ni ya umeme! Baada ya kutuma tena bili nyingine ndo ilishangaza laki tano walichukua ya nn!
Mtaalam akisema lipa hivi nikupe ume e si utamuamini hata kama anakutapeli? Aliyetakiwa kumuelekeza mwenzake nani?
Ulitoa 500k ukiwa unatambua ni kiwahonga ama ulikuwa hujui? Manake apa umeamua mwaga mboga nao watamwaga ugalii, upewapo majibu nasi tupe mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…