Usipokuwa makini watakuacha maskiniMama mkwe anaugua kansa,anamwezi tangu aje hapa kaenda kwa mwamposa na kakutana nae kushikwa kichwa zaidi ya mara tatu ila mambo ni zero, juzi kaambiwa kina kongamano komboa familia kaja na gia akauze kiwanja apate pesa ya huko, nawangalia na wife alafu na baki hiiiiiii
AiseeMama mkwe anaugua kansa,anamwezi tangu aje hapa kaenda kwa mwamposa na kakutana nae kushikwa kichwa zaidi ya mara tatu ila mambo ni zero, juzi kaambiwa kina kongamano komboa familia kaja na gia akauze kiwanja apate pesa ya huko, nawangalia na wife alafu na baki hiiiiiii
Huyo hana imani, ila kwa uwezo wa mungu kupitia mwamposa bas ataponaMama mkwe anaugua kansa,anamwezi tangu aje hapa kaenda kwa mwamposa na kakutana nae kushikwa kichwa zaidi ya mara tatu ila mambo ni zero, juzi kaambiwa kina kongamano komboa familia kaja na gia akauze kiwanja apate pesa ya huko, nawangalia na wife alafu na baki hiiiiiii
Nilkuwa simuamini,ila kwa aliyofanya songea kwasasa namuaminiTangu lin umemkataa mpaka leo uanze kumkubalii
Nilkuwa simuamini,ila kwa aliyofanya songea kwasasa namuaminiTangu lin umemkataa mpaka leo uanze kumkubalii
Hujaelewa wewe mazingaombwe yatokee wapi. Sisi home Nachingwea Lindi huko alafu mwamposa yupo darSasa huo ni uchawi na mazingaombwe, mbona watu wanafanya Sana, Angalia hata azam one, kuna kipindi cha kuonyesha mauzauza kama hayo nao wakiamua kuanzisha kanisa watawavuna Sana watu mamburula kama wewe
Kwan inashindikana Nini?Wote hawa wamelipwa?
View attachment 2387085
Tafuta MTU unamjua fika ni kilema au Ana shida Halafu mpeleke Kama atatoboa,,akitoboa amini vinginevyoo usibwabwaje hapa ,,,huoo mchongoooYani utapeli kivipi? Taja fact
Afu % kubwa ya magongo no mapyaWote hao wamelipwa? Magongo zaidi ya 100,
View attachment 2387086
Naomba unitag ukileta mrejeshoKuna jirani yetu hapa ni kiwete kapelekwa kwa mwamposa,akirudi anatembea basi nitatembea kwa magoti mbinga to Dar kumfuata mwamposa
HV hiz hela l anazopiga mwamposa kila siku mwasema anapiga pesa na hazijamtosha mpk Leo siyo kweli anapiga pesa jamaa Ana kitu ya kiungu ndani yake maimpuuze mkazanieni na mfatilie masoma yake na vitendo vyake vya kiiimaniKwa yule ninaemjua ni mlemavu akipona nitajua ni kweli, sio hawa wa kuletwa. Jamaa alikuwa anawapa watu ndevu za ajabu, na kuwapa mafunzo maalumu ili washuhudie walikuwa misukule na wamefufuka. Ni maujanja tu ya kupiga pesa kimazingira.
Yn mtu ni mlemavu na anahitaji uponyaji halafu hana imani.? Ww jamaa una gonjwa la akiliHauna imani
Kilema gani na kipofu unayemjua hapo Songea unayejua kwamba ametembea au kuona? Tutajie jina tu,sisi wengine wa hapahapa SongeaKama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
Ndio hapo sas na kwan hakina hat mmoja aliwai kutoka hasadharani na kulalamika kihusu kuongwa kutoa ushuhuda wa uongoWote hawa wamelipwa?
View attachment 2387085
Nitakujoin Madaba hapa..Kuna jirani yetu hapa ni kiwete kapelekwa kwa mwamposa,akirudi anatembea basi nitatembea kwa magoti mbinga to Dar kumfuata mwamposa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nitakuja kusimulia kituKama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
Kwa hiyo unamfananisha Mtume wa Mwenyezi Mungu aliyezaliwa bila baba na huyo tapeli?Hata yesu kuna watu hawakumuamini