Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 735
- 667
- Thread starter
-
- #141
Hujaeleweka mkuuMimi nipo Songea , pana siri kubwa usiyoijua . Hongera kwa kumwamini na kumtumikia rasmi mnyama atokeaye nchi kavu . Atawapoteza wengi kwa ishara na
Miujiza . Yamkini hata wataule
Ila ni muuminiMkuu mm sio mfuas wa huyo
Haaaahaaaa.....wajinga ndio waliwao. Endeleeni tu kuliwa maana akili mmezihamishia sijui wapiKama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa mwamposa songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
MAFARISAYO na MIDEVU YAO hapa hayataaminiKama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa mwamposa songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
TayariKatoe sadaka sasa
Wewe endelea kutokuamnHaaaahaaaa.....wajinga ndio waliwao. Endeleeni tu kuliwa maana akili mmezihamishia sijui wapi
Wewe endelea kutokuamnHaaaahaaaa.....wajinga ndio waliwao. Endeleeni tu kuliwa maana akili mmezihamishia sijui wapi
Hao walioponywa, kuna uliyekuwa unamfahamu kabla kwamba alikuwa kiwete..!?Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa mwamposa songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
Utabakia kusema hivyo hivyo..injili inasonga mbele..na wengi wanafunguliwa na kuponywa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nabii anatokea mbeya ila wakristo ni mtihani sana
Hauko serious aiseeWote hawa wamelipwa?
Unavyojifanya unahuruma na hao watu utadhani walishakuja kwako kuomba hata mia..kaa kutulia.Nchi hii wajinga na wapumbav ni asilimia 90 ,unafikiri Una nchi hapo au misukule ? , yaani hivyo vichwa vilivyopo hapo na michango wanayotoa inajenga kiwanda kabisa ,yaani makanisa ya kipumbav na kitapeli yanaingiza pesa kuliko viwanda
Alifanya mkutqno eneo gani na huyo mlemavu aliyepona yupo mtaa ganiNilikua simuamini pia, alikuja Mbeya huku nilishuhudia mama wa demu wangu akipona na kuacha magongo palepale...
Acha ujinga inamaana hujui hata Kristo alisema mkiamini mnaweza tenda matendo makubwa zaidi..au unawekea mipaka miujiza..chochote kinaweza kutumia kupitishia mujiza..mafuta yalitumika kama upako..pia kirsto alisha mponya kipofu kwa kumpaka tope machoni pake na kumwambia akanawe kisha akaona.nani amekuambia ni nabii wa Mungu?!. hizi ni sababu chache ambazo nina dhibitisha bila dhahiri yeye si nabii wa mungu
1.nionyeshe sehemu ya biblia ambayo mafuta yanatumika kuponya badala ya nguvu za Roho mtakatifu?
2. anajipa yeye utukufu badala kumrudishia Mungu utukufu anapoponya hakuna binadamu yeyote mwny uwezo wa kuponya bali nguvu za Mungu utumika kumponya mtu
3. ukitaka ujionee kama anatumika na Mungu au lah fwatilia kwny matangazo yake na mikutano n.k hakuna sehemu anapopewa utukufu yesu kupitia nguvu za Roho mtakatifu la zaidi utaona mtu anajisifu mpk kujiita buldoza wakt buldoza pekee ni Yesu. binadamu hana uwezo wa kumponya yeyote bali mtumishi hutumika kama chombo tu
ijue kweli nayo itakuweka huru
Na ndio maana maccm Kila siku yanashinda kwa kishindo misukule ipo mingi sanaNchi hii wajinga na wapumbav ni asilimia 90 ,unafikiri Una nchi hapo au misukule ? , yaani hivyo vichwa vilivyopo hapo na michango wanayotoa inajenga kiwanda kabisa ,yaani makanisa ya kipumbav na kitapeli yanaingiza pesa kuliko viwanda
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Isijekuwa aliwapaka gundi huko alikotoka amekuja kuwabandulia hapo
Hao viwete wako Songea tu😅😅😅Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa mwamposa songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081