MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,281
- 1,251
Na ww umepona Yale matatizo yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushahidi gani huo, mbona hakuna mtu ambaye anaonekana clearly hapo? Kwani hakuna picha hata ya mmoja ambaye anaonekana vizuri kabisa? Hiyo picha huwezi mtambua yeyote na mmefanya makusudi mana mnajua mtaumbuka. Weka picha ambayo mtu anaonekana vizuri tukupe details zake hapa hapaUshahidi huo kwenye picha
Usanii mtupu, hao baadae wanalipwa kwa igizo hilo. Kuna manabii wananunua wheelchairs mpya kabisa na ku train watu waigize kuwa walemavu ili kupata attention za watu na kuvuna sadaka. Hawa ma chalartan, watakokota wengi motoni. My people are destroyed by the lack of knowledge Hosea 4 :6.Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
wewe kama mkazi wa songea ulienda na kilea unayemjuwa toka kwenye mtaa wako na ameponywa?Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
Hapana,ila niliona watu waliokuja vilema wakirud wazimawewe kama mkazi wa songea ulienda na kilea unayemjuwa toka kwenye mtaa wako na ameponywa?
Hudhuria kwenye mkutano utajishuhudiaUshahidi gani huo, mbona hakuna mtu ambaye anaonekana clearly hapo? Kwani hakuna picha hata ya mmoja ambaye anaonekana vizuri kabisa? Hiyo picha huwezi mtambua yeyote na mmefanya makusudi mana mnajua mtaumbuka. Weka picha ambayo mtu anaonekana vizuri tukupe details zake hapa hapa
Sasa kutoa 10m ili upate 300m kuna tatizo.?Walipwe watu 200?
Utasikia ''amefufuliwa'' , utaona magongo ya walemavu kama hayo, lakini katu hutaona mtu unayemfahamu ambaye alikuwa mlemavu halafu anatembea au mtu aliyefariki halafu akafufuka. Huwa nasema hawa watu ndiyo wanafanya watu wazidi kukata tamaa na imani za dini kwa sababu hii hali ya kudanganya haiwezi kuendelea hivi muda wote. Kuna kipindi watu wengi watakuja kushitukia.Ndiyo maana mimi naomba picha ya mmoja tu aliyepona
Unawafahamu hao.?Ushahidi huo kwenye picha
Kwani haiwezekani? Si kama tu tajiri anavyojitolea tiketi za watu elfu 3 waingie bure au uwanja mzima huku akitegemea kuvuna kwa njia nyingi na hapo hivyo hivyo.Wote hao wamelipwa? Magongo zaidi ya 100,
View attachment 2387086
Sina ndugu wakaribu wala jamaa ambao ni viwete...so sina huo ushahidi.Unaweza leta ushahidi wa mtu unayemfahamu kuwa alikuwa kiwete miaka yote lakini kwa sasa kaponywa?
Walikuja wakiwa viweteMkuu hao viwete uliwahi kuwaona kabla ya kupata uponyaji??
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku nlkuwa naangalia semina ya nabii flan simkumbuki jina, kuna mama alikuwa anatoa ushuhuda anasema alileta mtungi wa gesi miezi mitatu iliyopita na mpaka sasa bado anatumia kupikia kila kitu na gesi haijawahi kuisha.
Nitajie jina la huyo afisa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwangu imekuwa kinyume chake nilikuwa namuamini sana jamaa... Ila jana akiwa songea nimeshuhudia mtu anatoa ushuhuda eti ameponywa alikuwa hatembei miaka miwili wakati ni mkazi wa mbinga tena maarufu sana alikuwa afisa mazingira na hajawahi pata ulemavu hata siku moja... Nikafunguka akili namna pesa ilivokuwa ngumu.
Nchi Ina matahira wengi Sana, mmojawapo ni weweNilikua simuamini pia, alikuja Mbeya huku nilishuhudia mama wa demu wangu akipona na kuacha magongo palepale...
Wewe mjanja unafanya nini kwenye koment za matahira?Nchi Ina matahira wengi Sana, mmojawapo ni wewe