Natumai wote tumeshamaliza 'Kuushangaa' Utezi wa Mama, sasa kama JF 'Great Thinkers' jibuni Maswali yangu haya....

Natumai wote tumeshamaliza 'Kuushangaa' Utezi wa Mama, sasa kama JF 'Great Thinkers' jibuni Maswali yangu haya....

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Je, Heshima ya Cheo cha Ukuu wa Wilaya imepanda au imeshuka?

2. Je, mwenye Umri wa Miaka kuanzia 45 au 50 anastahili kuitwa Kijana?

3. Je, Kuteua Makundi Maalum Kiuweledi ( Professionally ) kuwa Wakuu wa Wilaya ni Political Failure au Political Success?

4. Je, ni kweli kwamba kila Mtu tu ( ili mradi anapumua na kujamba 24/7 ) basi anapashwa kuwa Political Figure na Kuteuliwa?

5. Je, Teuzi za Ukuu wa Wilaya ni takwa la Uongozi wa Kisayansi au ni Gulio Maalum la Kulipana Fadhila?

6. Je, Teuzi zimezingatia Historia ya Kiutendaji ya Mteuliwaji na hata Uwezo wake wa Kifikra na Kupambanua 'Issues' zenye Kuhitaji Akili Kubwa?

7. Je, kama ' JF Great Thinkers' tumeshajiuliza ni kwanini Watanzania wametumia muda mrefu Kusubiria huu Uteuzi na kwanini baada ya Uteuzi kutoka tunajadili sana 'Personalities' na si Kazi ngumu iliyoko mbeleni mwa Wateuliwa huku wengine tukiona kwamba Walioteuliwa ndiyo wanaenda kuwa Msaada wetu wa Maisha yetu Magumu na Njaa tulizonazo mpaka katika Kope za Macho yetu?

Haya GENTAMYCINE nasubiri Majibu yenu kwa haya Maswali yangu Saba ( 7 ) tu hapa ila namalizia kwa Kusema Tanzania bado ina Safari ndefu kufika kule inakotaka kwenda na sasa pengine ni wakati Muafaka Watanzania wenye Kuitakia Mema nchi hii ili iondokane na 'Uswahili' huu ninaouona tukaungana na kuomba Katiba Mpya.

Dogo uliyeula 'Siha' usiniangushe huko.
 
1. Je, Heshima ya Cheo cha Ukuu wa Wilaya imepanda au imeshuka?

2. Je, mwenye Umri wa Miaka kuanzia 45 au 50 anastahili kuitwa Kijana?

3. Je, Kuteua Makundi Maalum Kiuweledi ( Professionally ) kuwa Wakuu wa Wilaya ni Political Failure au Political Success?

4. Je, ni kweli kwamba kila Mtu tu ( ili mradi anapumua na kujamba 24/7 ) basi anapashwa kuwa Political Figure na Kuteuliwa?

5. Je, Teuzi za Ukuu wa Wilaya ni takwa la Uongozi wa Kisayansi au ni Gulio Maalum la Kulipana Fadhila?

6. Je, Teuzi zimezingatia Historia ya Kiutendaji ya Mteuliwaji na hata Uwezo wake wa Kifikra na Kupambanua 'Issues' zenye Kuhitaji Akili Kubwa?

7. Je, kama ' JF Great Thinkers' tumeshajiuliza ni kwanini Watanzania wametumia muda mrefu Kusubiria huu Uteuzi na kwanini baada ya Uteuzi kutoka tunajadili sana 'Personalities' na si Kazi ngumu iliyoko mbeleni mwa Wateuliwa huku wengine tukiona kwamba Walioteuliwa ndiyo wanaenda kuwa Msaada wetu wa Maisha yetu Magumu na Njaa tulizonazo mpaka katika Kope za Macho yetu?

Haya GENTAMYCINE nasubiri Majibu yenu kwa haya Maswali yangu Saba ( 7 ) tu hapa ila namalizia kwa Kusema Tanzania bado ina Safari ndefu kufika kule inakotaka kwenda na sasa pengine ni wakati Muafaka Watanzania wenye Kuitakia Mema nchi hii ili iondokane na 'Uswahili' huu ninaouona tukaungana na kuomba Katiba Mpya.

Dogo uliyeula 'Siha' usiniangushe huko.
Mkuu kama umepaniki hivi jina lako halipo
 
Niko hapa kushuhudia comment za roho za kwann.hahahahah......
Mi naona kaz ya u Dc sio kaz ngum sana hao walioteuliwa kushindwa kuifanya...

Sasa mnataka apewe nan...?business as usual hamtak.bo yanabadilishwa hamtak..mnataka nin..ndomana unaambiwa..mtu yuko radhi ampe deal mtu wa mbal kuliko ampe deal rafik yake wa karib ambae muda wote yuko nae..roho za kwann achen ndugu zangu..tupambane sana.uchawa unafaida...nawew kuwa chawa..kulamba miguu kuna faida.nawew lamba..dunia nzima iko hvyo..hata ukienda kwa trump..hata obama hata biden..aliweka washkaj zake vitengo ili awe salama...hata ningekua mm..
 
1. Je, Heshima ya Cheo cha Ukuu wa Wilaya imepanda au imeshuka?

2. Je, mwenye Umri wa Miaka kuanzia 45 au 50 anastahili kuitwa Kijana?

3. Je, Kuteua Makundi Maalum Kiuweledi ( Professionally ) kuwa Wakuu wa Wilaya ni Political Failure au Political Success?

4. Je, ni kweli kwamba kila Mtu tu ( ili mradi anapumua na kujamba 24/7 ) basi anapashwa kuwa Political Figure na Kuteuliwa?

5. Je, Teuzi za Ukuu wa Wilaya ni takwa la Uongozi wa Kisayansi au ni Gulio Maalum la Kulipana Fadhila?

6. Je, Teuzi zimezingatia Historia ya Kiutendaji ya Mteuliwaji na hata Uwezo wake wa Kifikra na Kupambanua 'Issues' zenye Kuhitaji Akili Kubwa?

7. Je, kama ' JF Great Thinkers' tumeshajiuliza ni kwanini Watanzania wametumia muda mrefu Kusubiria huu Uteuzi na kwanini baada ya Uteuzi kutoka tunajadili sana 'Personalities' na si Kazi ngumu iliyoko mbeleni mwa Wateuliwa huku wengine tukiona kwamba Walioteuliwa ndiyo wanaenda kuwa Msaada wetu wa Maisha yetu Magumu na Njaa tulizonazo mpaka katika Kope za Macho yetu?

Haya GENTAMYCINE nasubiri Majibu yenu kwa haya Maswali yangu Saba ( 7 ) tu hapa ila namalizia kwa Kusema Tanzania bado ina Safari ndefu kufika kule inakotaka kwenda na sasa pengine ni wakati Muafaka Watanzania wenye Kuitakia Mema nchi hii ili iondokane na 'Uswahili' huu ninaouona tukaungana na kuomba Katiba Mpya.

Dogo uliyeula 'Siha' usiniangushe huko.
Mi nasubiri jina langu kwenye U-DED au U-DAS.

Inshallah Mungu atatenda..!!

#YNWA
 
1. Je, Heshima ya Cheo cha Ukuu wa Wilaya imepanda au imeshuka?

2. Je, mwenye Umri wa Miaka kuanzia 45 au 50 anastahili kuitwa Kijana?

3. Je, Kuteua Makundi Maalum Kiuweledi ( Professionally ) kuwa Wakuu wa Wilaya ni Political Failure au Political Success?

4. Je, ni kweli kwamba kila Mtu tu ( ili mradi anapumua na kujamba 24/7 ) basi anapashwa kuwa Political Figure na Kuteuliwa?

5. Je, Teuzi za Ukuu wa Wilaya ni takwa la Uongozi wa Kisayansi au ni Gulio Maalum la Kulipana Fadhila?

6. Je, Teuzi zimezingatia Historia ya Kiutendaji ya Mteuliwaji na hata Uwezo wake wa Kifikra na Kupambanua 'Issues' zenye Kuhitaji Akili Kubwa?

7. Je, kama ' JF Great Thinkers' tumeshajiuliza ni kwanini Watanzania wametumia muda mrefu Kusubiria huu Uteuzi na kwanini baada ya Uteuzi kutoka tunajadili sana 'Personalities' na si Kazi ngumu iliyoko mbeleni mwa Wateuliwa huku wengine tukiona kwamba Walioteuliwa ndiyo wanaenda kuwa Msaada wetu wa Maisha yetu Magumu na Njaa tulizonazo mpaka katika Kope za Macho yetu?

Haya GENTAMYCINE nasubiri Majibu yenu kwa haya Maswali yangu Saba ( 7 ) tu hapa ila namalizia kwa Kusema Tanzania bado ina Safari ndefu kufika kule inakotaka kwenda na sasa pengine ni wakati Muafaka Watanzania wenye Kuitakia Mema nchi hii ili iondokane na 'Uswahili' huu ninaouona tukaungana na kuomba Katiba Mpya.

Dogo uliyeula 'Siha' usiniangushe huko.
Jibu la maswali yako yote saba unalipata kwenye maana ya Mfumo wenu wa Kidemokrasia.

Lidurusi tena tamko hilo "Dmokrasia".
 
Ngoja nikwambie kitu u - dc ni kama urais tu yani kuangalia waraalamu wako wanafanya sahihi au si sahihi sasa hapo wewe unaona kuna lazi gani? Yeyote anaweza kuwa dc kwani unazungukwana professionals wanaokushauri na kukuongoza ufanye nini ukienda kichwa kichwa wanakutema unaishia kuonekana hutoshi unatoswa
 
Mkuu kama umepaniki hivi jina lako halipo
Uwepo wangu 24/7 hapa JamiiForums na Mawazo yangu yenye Tafakuri Tunduizi ( Critical Thinking ) nyingi ambaye yameshatumika na Kusaidia mengi katika nchi yako hii GENTAMYCINE sina Hadhi ya Kuwa DC au RC na hata Ubunge, ila kwa Urais au kuwa Presidential Chief Advisor
ndiko naweza Kukuelewa na nina uhakika kwa jinsi nilivyobarikiwa na Mola ( Maulana ) nitakuwa Msaada mkubwa kwa Tanzania yako ( yetu )

Na naomba Mwenyezi Mungu siku moja niwe Rais wenu na mumpate Nyerere mwingine ili si tu Tanzania au Uganda au Rwanda ifaidike nami bali Bara zima la Afrika lifaidike na GENTAMYCINE ambapo nitapenda Kuongoza kwa miaka yangu Mitano ( 5 ) tu ila najua kwa mtakavyopenda 'Unyerere' wangu mtaniomba nitawale Tanzania mpaka nitakapochoka.
 
Niko hapa kushuhudia comment za roho za kwann.hahahahah......
Mi naona kaz ya u Dc sio kaz ngum sana hao walioteuliwa kushindwa kuifanya...

Sasa mnataka apewe nan...?business as usual hamtak.bo yanabadilishwa hamtak..mnataka nin..ndomana unaambiwa..mtu yuko radhi ampe deal mtu wa mbal kuliko ampe deal rafik yake wa karib ambae muda wote yuko nae..roho za kwann achen ndugu zangu..tupambane sana.uchawa unafaida...nawew kuwa chawa..kulamba miguu kuna faida.nawew lamba..dunia nzima iko hvyo..hata ukienda kwa trump..hata obama hata biden..aliweka washkaj zake vitengo ili awe salama...hata ningekua mm..
Una IQ 'Kiduchu' ya Kuujadili huu Uzi unaotaka utulivu wa Akili ( ambazo bahati mbaya pia huna ) katika Kuujadili.

Tafadhali wapishe tu wale 'Great Thinkers' niliowakusudia Wajadili kwani hata Mtiririko wako Mbovu Kiuandishi unaakisi Upumbavu ulionao na uliokukomaa vyema Kichwani mwako.
 
Yaani ukiangalia list ni surprise kibao. Nimeiangalia najiuliza sana maswali, je baadhi yao wanatosha kuwa wenyeviti wa kamati ya ulinzi na usalama? Je wanatosha kusimamia team ya management ya wilaya? Mungu anajua na namuachia Mungu tu
 
Back
Top Bottom