Natumai wote tumeshamaliza 'Kuushangaa' Utezi wa Mama, sasa kama JF 'Great Thinkers' jibuni Maswali yangu haya....

Natumai wote tumeshamaliza 'Kuushangaa' Utezi wa Mama, sasa kama JF 'Great Thinkers' jibuni Maswali yangu haya....

Hizi ni asante tu na ccm wasione aibu kuiiga chadema(kama kawaida yao serikali),wabebe na hili LA majimbo (nchi kuendeshwa kimajimbo
 
Huyo mshamba alikuwa anapita kwangu ,Sasa Kuna brother mtoto wake alikuwa ana birthday na watoto wenzie wapo hapo ghafla akasimamisha gari yake akaamuru muziki uzimwe kila mtu arudi kwake saa 10 jioni hiyo.Kumfata anaanza kuleta habari za mnanijua mimi Nani? Tukamjibu hatukujui Mara akanyanyua simu polisi hawa hapa.Kufika kituoni ye yuko nyuma akadai tumemtukana na tunapiga makelele kwa majirani ( wakati hiyo birthday watoto wa majirani wote walikuepo na baadhi ya wazazi).Akashupaa tuwekwe ndani siku mbili ili akili ziturudi .Kwa bahati nzuri walikuwa na hekaheka za Mwenge mkuu wa mkoa akatukuta hapo kituoni akatuombea msamaha ndio ikawa salama yetu.Vinginevyo ningelala sakafuni siku hiyo.
Sasa yeye ndo akili zitamrudi vizuri mpaka ataomba po.
 
1. Je, Heshima ya Cheo cha Ukuu wa Wilaya imepanda au imeshuka?

2. Je, mwenye Umri wa Miaka kuanzia 45 au 50 anastahili kuitwa Kijana?

3. Je, Kuteua Makundi Maalum Kiuweledi ( Professionally ) kuwa Wakuu wa Wilaya ni Political Failure au Political Success?

4. Je, ni kweli kwamba kila Mtu tu ( ili mradi anapumua na kujamba 24/7 ) basi anapashwa kuwa Political Figure na Kuteuliwa?

5. Je, Teuzi za Ukuu wa Wilaya ni takwa la Uongozi wa Kisayansi au ni Gulio Maalum la Kulipana Fadhila?

6. Je, Teuzi zimezingatia Historia ya Kiutendaji ya Mteuliwaji na hata Uwezo wake wa Kifikra na Kupambanua 'Issues' zenye Kuhitaji Akili Kubwa?

7. Je, kama ' JF Great Thinkers' tumeshajiuliza ni kwanini Watanzania wametumia muda mrefu Kusubiria huu Uteuzi na kwanini baada ya Uteuzi kutoka tunajadili sana 'Personalities' na si Kazi ngumu iliyoko mbeleni mwa Wateuliwa huku wengine tukiona kwamba Walioteuliwa ndiyo wanaenda kuwa Msaada wetu wa Maisha yetu Magumu na Njaa tulizonazo mpaka katika Kope za Macho yetu?

Haya GENTAMYCINE nasubiri Majibu yenu kwa haya Maswali yangu Saba ( 7 ) tu hapa ila namalizia kwa Kusema Tanzania bado ina Safari ndefu kufika kule inakotaka kwenda na sasa pengine ni wakati Muafaka Watanzania wenye Kuitakia Mema nchi hii ili iondokane na 'Uswahili' huu ninaouona tukaungana na kuomba Katiba Mpya.

Dogo uliyeula 'Siha' usiniangushe huko.
Hayo maswali ungeanzia kuuliza kwa kipindi cha mwendazake
 
1. Je, Heshima ya Cheo cha Ukuu wa Wilaya imepanda au imeshuka?

2. Je, mwenye Umri wa Miaka kuanzia 45 au 50 anastahili kuitwa Kijana?

3. Je, Kuteua Makundi Maalum Kiuweledi ( Professionally ) kuwa Wakuu wa Wilaya ni Political Failure au Political Success?

4. Je, ni kweli kwamba kila Mtu tu ( ili mradi anapumua na kujamba 24/7 ) basi anapashwa kuwa Political Figure na Kuteuliwa?

5. Je, Teuzi za Ukuu wa Wilaya ni takwa la Uongozi wa Kisayansi au ni Gulio Maalum la Kulipana Fadhila?

6. Je, Teuzi zimezingatia Historia ya Kiutendaji ya Mteuliwaji na hata Uwezo wake wa Kifikra na Kupambanua 'Issues' zenye Kuhitaji Akili Kubwa?

7. Je, kama ' JF Great Thinkers' tumeshajiuliza ni kwanini Watanzania wametumia muda mrefu Kusubiria huu Uteuzi na kwanini baada ya Uteuzi kutoka tunajadili sana 'Personalities' na si Kazi ngumu iliyoko mbeleni mwa Wateuliwa huku wengine tukiona kwamba Walioteuliwa ndiyo wanaenda kuwa Msaada wetu wa Maisha yetu Magumu na Njaa tulizonazo mpaka katika Kope za Macho yetu?

Haya GENTAMYCINE nasubiri Majibu yenu kwa haya Maswali yangu Saba ( 7 ) tu hapa ila namalizia kwa Kusema Tanzania bado ina Safari ndefu kufika kule inakotaka kwenda na sasa pengine ni wakati Muafaka Watanzania wenye Kuitakia Mema nchi hii ili iondokane na 'Uswahili' huu ninaouona tukaungana na kuomba Katiba Mpya.

Dogo uliyeula 'Siha' usiniangushe huko.
Uteuzi uko vizuri sana tena sana.
Kuteuliwa na Rais ni Heshima Kubwa sana.
Wote walio teuliwa ni watanzania wenzetu wa kuzaliwa hakuna mhamiaji wa kigeni, lkn pia wote walio teuliwa ni watu wenye uzoevu wa kuitumikia jamii ktk nafasi mbalimbali.
wote walio teuliwa ni watu wenye kuheshimika ktk jamii, hakuna mwizi wala muhuni, wanajiheshimu, hivyo nafasi ya U DC imeheshimishwa vilivyo, hakuna kasoro kwa wateuliwa.
tatizo la baadhi ya watanzania tulizoea au kudhani kuwa vyeo vya u DC au hata vingine ni kwa watu maaluum sana, hapana! kila mtanzania mwenye sifa ana uwezo wa kuwa kiongozi wa kulitumikia taifa lake, tuache mazoea na kudharauliana.
Pongezi kwa wateule wote, mara baada ya kula kiapo mchape kazi kwa bidii.tunawaamini sana kuwa mtaleta mabadiliko makubwa ya kimaendeleo.
 
Uwepo wangu 24/7 hapa JamiiForums na Mawazo yangu yenye Tafakuri Tunduizj ( Critical Thinking ) nyingi ambaye yameshatumika na Kusaidia mengi katika nchi yako hii GENTAMYCINE sina Hadhi ya Kuwa DC au RC na hata Ubunge, ila kwa Urais au kuwa Presidential Chief Advisor
ndiko naweza Kukuelewa na nina uhakika kwa jinsi nilivyobarikiwa na Mola ( Maulana ) nitakuwa Msaada mkubwa kwa Tanzania yako ( yetu )

Na naomba Mwenyezi Mungu siku moja niwe Rais wenu na mumpate Nyerere mwingine ili si tu Tanzania au Uganda au Rwanda ifaidike nami bali Bara zima la Afrika lifaidike na GENTAMYCINE ambapo nitapenda Kuongoza kwa miaka yangu Mitano ( 5 ) tu ila najua kwa mtakavyopenda 'Unyerere' wangu mtaniomba nitawale Tanzania mpaka nitakapochoka.
Mkuu ukiwa rais chondechonde hii ID yangu usiisahau unipe nami japo uDC,hakika sitakuangusha
 
Hivi yule aliekua DC Ukerewe Somebody Magembe nae kapata tena? Pia yule wa Sengerema.Naombeni majibu wanajukwaa
 
1. Je, Heshima ya Cheo cha Ukuu wa Wilaya imepanda au imeshuka?

2. Je, mwenye Umri wa Miaka kuanzia 45 au 50 anastahili kuitwa Kijana?

3. Je, Kuteua Makundi Maalum Kiuweledi ( Professionally ) kuwa Wakuu wa Wilaya ni Political Failure au Political Success?

4. Je, ni kweli kwamba kila Mtu tu ( ili mradi anapumua na kujamba 24/7 ) basi anapashwa kuwa Political Figure na Kuteuliwa?

5. Je, Teuzi za Ukuu wa Wilaya ni takwa la Uongozi wa Kisayansi au ni Gulio Maalum la Kulipana Fadhila?

6. Je, Teuzi zimezingatia Historia ya Kiutendaji ya Mteuliwaji na hata Uwezo wake wa Kifikra na Kupambanua 'Issues' zenye Kuhitaji Akili Kubwa?

7. Je, kama ' JF Great Thinkers' tumeshajiuliza ni kwanini Watanzania wametumia muda mrefu Kusubiria huu Uteuzi na kwanini baada ya Uteuzi kutoka tunajadili sana 'Personalities' na si Kazi ngumu iliyoko mbeleni mwa Wateuliwa huku wengine tukiona kwamba Walioteuliwa ndiyo wanaenda kuwa Msaada wetu wa Maisha yetu Magumu na Njaa tulizonazo mpaka katika Kope za Macho yetu?

Haya GENTAMYCINE nasubiri Majibu yenu kwa haya Maswali yangu Saba ( 7 ) tu hapa ila namalizia kwa Kusema Tanzania bado ina Safari ndefu kufika kule inakotaka kwenda na sasa pengine ni wakati Muafaka Watanzania wenye Kuitakia Mema nchi hii ili iondokane na 'Uswahili' huu ninaouona tukaungana na kuomba Katiba Mpya.

Dogo uliyeula 'Siha' usiniangushe huko.
1. Ukuu wa Wilaya kiheshima bado uko pale ila wateuliwa hovyo, hawajielewi.
2. Miaka 45 mpaka 50 siyo kijana, ila aliyekuzidi ana haki ya kukuita kijana.
3. Kuteua makundi maalum its a political strategy.
4. Siyo kila mtu anastahili kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya..
5. Kwa sasa uteuzi ni kulipana fadhila au kutaka fadhila..
6. Wako waliostahili ila wengine hawakustahili, ila who are we kumpinga RAIS WA JMT..
7. Bado sijafikia ule u GT, ila uteuzi ndio unaotufanya kujadili ule u personality kuliko majukumu yanaowasubiri, we hope they know and are prepared to face those challenges ahead.
Jamaa aliyeteuliwa Siha anayo elimu, kiutendaji hatujuwi, ila tumpe moyo afanye yake bila kuwaangusha raia wa huko..
 
Mama ametumia mfumo wa malezi kwa watoto katika uteuzi. Ni mfumo usiobagua watoto hata kama watoto wawili kati ya kumi hawana elimu nzuri Na uzoefu. Yeye ameona wote ni watoto wake tu Na wanahaki sawa.

Mama akipata pension watoto wanapata mgawo vizuri sio kama baba . Mama ni mtu wa haki kwa watoto.

Na kiukweli mfumo huu wa malezi ya usawa kwa watoto unachangamoto nyingi sana . Tuwape nafasi nao wafanye kazi yao Na wakishindwa tutawajadili humu humu JF
 
Uteuzi uko vizuri sana tena sana.
Kuteuliwa na Rais ni Heshima Kubwa sana.
Wote walio teuliwa ni watanzania wenzetu wa kuzaliwa hakuna mhamiaji wa kigeni, lkn pia wote walio teuliwa ni watu wenye uzoevu wa kuitumikia jamii ktk nafasi mbalimbali.
wote walio teuliwa ni watu wenye kuheshimika ktk jamii, hakuna mwizi wala muhuni, wanajiheshimu, hivyo nafasi ya U DC imeheshimishwa vilivyo, hakuna kasoro kwa wateuliwa.
tatizo la baadhi ya watanzania tulizoea au kudhani kuwa vyeo vya u DC au hata vingine ni kwa watu maaluum sana, hapana! kila mtanzania mwenye sifa ana uwezo wa kuwa kiongozi wa kulitumikia taifa lake, tuache mazoea na kudharauliana.
Pongezi kwa wateule wote, mara baada ya kula kiapo mchape kazi kwa bidii.tunawaamini sana kuwa mtaleta mabadiliko makubwa ya kimaendeleo.
Well said, me naona tuwape muda tutaona utendaji wao, wahenga walisema umdhaniaye ndiye kumbe siye. I hope kati yao humo kuna viongozi wazuri tu.
 
Back
Top Bottom