siku zote kazi atakayokupa Mungu ndio utaifurahia, izo unazorandaranda kwa akili yako huwa hazidumu, unafukuzwa au unaifanya kwa machungu everyday. mwombe Mungu akupe kazi.Naam ni izi selection zilizoitwa juzi hapa za utumishi serikalini. Tunaenda pambana watu zaidi ya buku kusaka ajira za kudumu.
Gharama za nauli+chakula+malazi nenda rudi inakaribia 300k dah. Inaniuma lkn kwny maisha haya huwez pata kitu bila kurisk.
Ama kweli maisha bongo ni magumu sana, acha tukapambane.
Lak3 unaenda lima nin na ekar ngapa na wap huko.. huko bush unaenda kutokea wap? Unaenda na miguu au kwa usafir ganMkuu maisha ni Imani tu….na kuna mwengine hyohyo laki 3 anaingia nayo bush kulima
Acha ufala, JPM ndio takataka gani? We kichaa nini, yule mwehu alijaza wasukuma kila idara.Nyie mnaenda kusindokiza washawapata watu wao.
Jpm alikuwa ameweza huu upuuzi wa kujuana na kupeana kazi, watu walipata kazi kutokana na sifa zao sasa hivi aiiiiiii kazi mnayo.
Na vyeti feki watapata kazi hilo msisahau.
Nimesema maisha ni Imani mkuu….kuna mwengine anazama bush kulima uku kabeba mbegu na jembe tu……hyo laki tatu kubwa sanaaLak3 unaenda lima nin na ekar ngapa na wap huko.. huko bush unaenda kutokea wap? Unaenda na miguu au kwa usafir gan
Basi Nenda tena ukakoseMimi natumia laki 2 kwenda na nina hakika nitakosa hiyo kazi, last time nilitumia laki mbili pia
Ndio Tanzania yetu ilivyo, tunapiga hatua 2 mbele tunarudi 10 nyuma. Vyeti feki vipo sanaNyie mnaenda kusindokiza washawapata watu wao.
Jpm alikuwa ameweza huu upuuzi wa kujuana na kupeana kazi, watu walipata kazi kutokana na sifa zao sasa hivi aiiiiiii kazi mnayo.
Na vyeti feki watapata kazi hilo msisahau.
Unaweza kuthibitisha?Nyie mnaenda kusindokiza washawapata watu wao.
Jpm alikuwa ameweza huu upuuzi wa kujuana na kupeana kazi, watu walipata kazi kutokana na sifa zao sasa hivi aiiiiiii kazi mnayo.
Na vyeti feki watapata kazi hilo msisahau.
Sekretarieti ya Ajira wanatoa kazi kwa vigezo vya UDINI...
Vijana wanaoomba kazi ni wengi tena wa dini zote watakao itwa kazini kama ni 100 ni chini ya 10 tu ndo wa Dini X na 90 wa dini Y
Nyie mnaenda kusindokiza washawapata watu wao.
Jpm alikuwa ameweza huu upuuzi wa kujuana na kupeana kazi, watu walipata kazi kutokana na sifa zao sasa hivi aiiiiiii kazi mnayo.
Na vyeti feki watapata kazi hilo msisahau.